KUKUMBUSHA KUTOKA MUHAKAM ILIO WAZI MAANA YAKE UKUMBUSHO KWA WANAO’TUNGA UWAMUZI KATIKA WAISLAMU ..

AL’IMAM NASSER MUHAMMAD AL’YAMANI
الإمام ناصر محمد اليماني
02 - رمضان - 1439 هـ
17 - 05 - 2018 مـ
08:29 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
ــــــــــــــــــــــــ

تذكيـرٌ من محكم الذّكر لصُنّاع القرار من المسلمين ..
KUKUMBUSHA KUTOKA MUHAKAM ILIO WAZI MAANA YAKE UKUMBUSHO KWA WANAO’TUNGA UWAMUZI KATIKA WAISLAMU ..


Ukumbusho .. Basi itimu kurakiz juu ya Bayana hi kusadikisha Kauli ya Allah Ta3ala:

{وَذَكِّرْ فَإِنَّ الذِّكْرَىٰ تَنفَعُ الْمُؤْمِنِينَ ﴿٥٥﴾} صدق الله العظيم [الذاريات]،
{ Na ukumbushe hakika ukumbusho unafa waumini (55)} Sadaqa Allah Al3adhim [Aldhariyat],
Huwenda Allah akongoa Nayo nyoyo za viongozi wa waislamu warabu na ma ajemi, Na udhru kwa Mola Mlezi wenu na huwenda wakawa wachaji. Basi yatakiwa kuwafikishia kwa wote viongozi wa waislamu mwarabu wao na majemi wao, Basi inukeni muokowe mataifa ya waislamu enyi ma3ashara ya ma ansar katika pembe tafauti katika ma inchi .

ispokua Bayana za Al’Mahdi Al’Muntadhar Ni tarifa ya habari kuhusu mbinu ya ma’aduwi wa Allah ma shetani watu, Basi aya ipi ya Allah munai’kanusha enyi ma3ashara ya wakanushaji? Hakika sisi twa’watakia utukufu katika Ardhi kwa haki na uwadilifu na nyinyi munajitakia kwa nafsi zenu udhalilifu na kupokonywa enzi yenu na ufalme wenu na hivo ni kwasababu kukimbilia kumridhisha aduwi wa Allah na aduwi wenu, Fa Wallahi thuma Wallahi thuma Wallahi hawatotimizia walio’wahidi lau watashinda, Basi inajulikana sifa yao kupitia tarikhi yao nyeusi nayo ni kwamba wao wanazigeuka Ahdi za Allah baada kupeana mithaki ispokua musiwamini shari yao, Na wao wanataka shari kwa viongozi wa waislamu na mataifa yao yote na kuteka ardhi za waislamu na ku’uwa viongozi wao na wanazuoni wao na kuwaondosha matifa ya waislamu.

Na namtaradhilia Allah kwamba asiwa’wasaliti juu yenu kwa sababu kuasii Khalifa wa Allah, Basi kumbukeni kauli ya Allah Ta3ala:
{وَدُّوا لَوْ تَكْفُرُونَ كَمَا كَفَرُوا فَتَكُونُونَ سَوَاءً ۖ فَلَا تَتَّخِذُوا مِنْهُمْ أَوْلِيَاءَ حَتَّىٰ يُهَاجِرُوا فِي سَبِيلِ اللَّـهِ ۚ فَإِن تَوَلَّوْا فَخُذُوهُمْ وَاقْتُلُوهُمْ حَيْثُ وَجَدتُّمُوهُمْ ۖ وَلَا تَتَّخِذُوا مِنْهُمْ وَلِيًّا وَلَا نَصِيرًا ﴿٨٩﴾ إِلَّا الَّذِينَ يَصِلُونَ إِلَىٰ قَوْمٍ بَيْنَكُمْ وَبَيْنَهُم مِّيثَاقٌ أَوْ جَاءُوكُمْ حَصِرَتْ صُدُورُهُمْ أَن يُقَاتِلُوكُمْ أَوْ يُقَاتِلُوا قَوْمَهُمْ ۚ وَلَوْ شَاءَ اللَّـهُ لَسَلَّطَهُمْ عَلَيْكُمْ فَلَقَاتَلُوكُمْ ۚ فَإِنِ اعْتَزَلُوكُمْ فَلَمْ يُقَاتِلُوكُمْ وَأَلْقَوْا إِلَيْكُمُ السَّلَمَ فَمَا جَعَلَ اللَّـهُ لَكُمْ عَلَيْهِمْ سَبِيلًا ﴿٩٠﴾ سَتَجِدُونَ آخَرِينَ يُرِيدُونَ أَن يَأْمَنُوكُمْ وَيَأْمَنُوا قَوْمَهُمْ كُلَّ مَا رُدُّوا إِلَى الْفِتْنَةِ أُرْكِسُوا فِيهَا ۚ فَإِن لَّمْ يَعْتَزِلُوكُمْ وَيُلْقُوا إِلَيْكُمُ السَّلَمَ وَيَكُفُّوا أَيْدِيَهُمْ فَخُذُوهُمْ وَاقْتُلُوهُمْ حَيْثُ ثَقِفْتُمُوهُمْ ۚ وَأُولَـٰئِكُمْ جَعَلْنَا لَكُمْ عَلَيْهِمْ سُلْطَانًا مُّبِينًا ﴿٩١﴾} صدق الله العظيم [النساء].
Allah Ta3ala Asema:
{Wanapenda lau kuwa nanyi mnge kufuru kama walivyo kufuru wao, ili muwe sawa sawa. Basi msiwafanye marafiki miongoni mwao mpaka wahame kwa ajili ya Dini ya Mwenyezi Mungu. Na wakikengeuka basi wakamateni na wauweni popote mnapo wapata. Wala msimfanye rafiki katika wao wala msaidizi (89) Isipokuwa wale walio fungamana na watu ambao mna ahadi baina yenu na wao, au wanakujieni na vifua vyao vina dhiki kupigana nanyi, au kupigana na watu wao. Na lau angeli penda Mwenyezi Mungu angeli wasaliti juu yenu wakapigana nanyi. Basi wakijitenga nanyi, wasipigane nanyi, na wakakuleteeni amani, basi Mwenyezi Mungu hakukupeni njia kupigana nao (90) Mtawakuta wengine wanataka wapate salama kwenu na salama kwa watu wao. Kila wakirudishwa kwenye fitna hudidimizwa humo. Ikiwa hawajitengi nanyi, na wakakuleteeni salama, na wakazuia mikono yao, basi wakamateni na wauweni popote mnapo wakuta. Na juu ya hao ndio tumekupeni hoja zilizo wazi (91)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnisaa].

Nawausia mujahidina kwafanyia kheri kwa mayahudi wa Yemen na hivo hivo mayahudi wanao chukia siyasa ya kisahyuni ya kiulimwengu na wanamchukia Tramp, Basi musi’uwe yoyote moja kati yao kwa uwadui na dhulma na yeye hajawapigeni vita ndio mupate adhabu kutoka kwa Allah, Hakika Ya Allah Hapendi wanao fanya uwadui. Na hivo kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:

{وَقَاتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّـهِ الَّذِينَ يُقَاتِلُونَكُمْ وَلَا تَعْتَدُوا ۚ إِنَّ اللَّـهَ لَا يُحِبُّ الْمُعْتَدِينَ ﴿١٩٠﴾} صدق الله العظيم [البقرة].
Allah Ta3ala Asema:
{Na mupigane katika njia ya Allah wale wanao’wapigeni vita na wala musifanye uwaduwi hakika Allah Hapendi Wanaofanya uwaduwi (190)} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara].

Na enyi ma3ashara ya raia wa kifalastini, Hakika hamuna khiyari aidha mupigane wanao fanya uwaduwi kwa sehemu zenu takatifu nyinyi na ma nassara walio karibu kwa upendo ama asaliti Allah juu yenu aduwi wenu, Hata kama mutabaki katila nyumba zenu basi hakika atabomoa kwa ndege zake za kivita ma nyumba juu ya vichwa venu, Ama mwadhani kwamba itatimu kujengwa balozi la shetani na tosha kwa hivo? Bali nawajulisha kwa yale watakao kuyafanya; Bali wanataka kufukuza wafalastini waislamu wote, Na wabomowe kwa ndege zao kubomowa, Na wajenge makazi mapya katika Alquds na kwingineko, Alafu kuanza kutamba kulekea mataifa yanayo fwata,

ispokua nawajulisha kwa mipangilio yao kabla tokeo ili niende mbio kuzifelisha kwa idhini ya Allah, Lakini ikiwa hamutosadiki basi zitakua ama Anidhihirishe Allah kwa Adhabu ya mbinu kwenye siku ya dhiki juu ya wahalifu na wakanushaji, Na kumbusha hakika ya ukumbusho unafa waomini, Na Salam Juu Ya Mitume Na Al’hamdulillah Rabil3alamin.

Na mujuwe kujwa kwa yakini kwamba Yeye Allah Pekeyake mwenye kumiliki ufalme anpeana ufalme na anapokonya ufalme kwa amtakae - Wala sie Donald Tramp mwenye kupeana ufalme kwa amtakae - Na ampokonye ufalme wake katika wale ambao hawakumshukuru Mola Mlezi wao kwamba amemtumiliza Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani Katika umma wao na kwenye mahitajio zaidi mno walio nayo wao kwa kutumilizwa Khalifa wa Allah Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani ..

[ لمتابعة رابط المشاركـة الأصليّة للبيان ]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=287053
_______________________

اقتباس المشاركة 287053 من موضوع