-21-
Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani
24 - ذو الحجة - 1442 هـ
03 - 08 - 2021 مـ
11:28 صباحًا
(Kulingana Na Taqwimu Rasmi Ya Mama Wa Vijiji)
____



الحلُّ لقارعةِ حربِ كورونا والمناخ..
Suluhisho Ya Peke Ya Mtingisho Wa Vita Va Corona Na Hali Ya Hewa


Kutoka kwa Khalifa wa Allah Al’Mahdi Kwa Raisi wa Marekani (Jo Baidan) Na Raisi wa Chaina (Shi Jin) Na Wote Ma Raisi Wa Ulimwengu Na Ma Taifa Yao Yote, Kuweni mashahidi ju ya nafsi zenu na ju ya ma taifa yenu kwamba mimi nime wa balighisha kutoka miyaka kumi na sita kwamba hakika dunia yenu imeisha na imewajieni akhera yenu na imekaribia hisabu yenu na nyinyi muko kwenye mughafala mwakanusha, Na nimewajulisha kua mimi ni khalifa wa Allah Al’Mahdi Ju Yenu, Ameniteua Allah yeye ndio Mfalme wa Ufalme ambae anampa ufalme amtakae na anamondoshea ufalme kwa anae mtaka Huyo kwenu ni Allah Mola wangu mlezi na Mola wenu Mlezi basi mumabudu yeye pekeyake hana mshirika nae, Na munitii mimi ili niwaongoze kwa njia Ya Allah Mwenye Utukufu mwenye kuhimidiwa kwa basira kujua kutoka kwa Allah kitabu cha Allah Al’quran Al3adhim ambao imeteremka ju ya alio khitimisha ma Nabi Na Mitumie Nabi ambae sio msomi Muhammad Mtume wa Allah kwa Al’Quran Al3adhim kwa watu wote kwamba mumabudu Allah pekeyake hana mshirika wala rafiki mwanamke wala mtoto wala hakua nae moja yoyote.


Na enye ma3ashara ya wa’islamu na wa cristo na ma yahudi na wasio amini Mungu na watu wote, Mimi namshuhudisha Allah ju yenu kua nime wajulisha kuhusu syari ya adhabu ambao ilikua iko ndani ya anga kaskazini mwa sayari ya ardhi, Na imeanza kukaribia kwa ardhi yenu kutoka pahala mbali na itawapambazukia kutoka upeo kusini mwa ardhi na itafinika upepo wa ardhi kusini wakati wa kupambazuka kwake, Na hasa kutoka kusini mashariki kwenda kusini magharibi kwa usahihi usio na mwisho wa kueleza, Ndio utume kwa wanao maasi Allah na ma aduwi wa Mtume wake na ma aduwi wa khalifa wake Al’Mahdi naizaki ya moto, Hakika sisemi ju ya Allah ispokua haki na nani alio dhulumu kuliko yule alio mzulia Allah urongo?! Na najilinda kwa Allah niwe katika majahili ama katika wale wanao sema ju ya Allah wasio yajua.


Na namshuhudisha Allah Al’Wahid Al’Qahar mimi ni Khalifa wa Allah Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani Natangaza kukufuru kabisa kwa mtazamo wa ongezeko la joto duniani, Na imetangulia fatwa ya Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’yamani kutoka miyaka kumi na sita kwamba walimwengu pindi wakikanusha ulinganizi wa Khalifa wa Allah Al’mahdi Nasser Muhammad Al’yamani kwamba Allah Atatangaza vita ju yenu, Kuanzia vita va mvutano ya sayari ya adhabu kutoka pahala mbali na imekua karibu zaidi kuliko ilipo kua kabla ya miyaka kumi na sita na miyezi ya kuhisabu nayo hivi sasa inavutana na jua na mwezi na ardhi, Alinua kiwango cha mtingisho wa vita va Allah va ungezeko ya hali ya joto duniani angani na baharini na bara na kuongezea adhabu ya mbu fulani ambao hamuna ujuzi nae hio kwenu ni mbu wa damu enyi binadamu hio kwenu munao ita coronavirus wala sio corona bali viumbe viko hai ambazo ni smart zimelekezwa kwa maneno ya Allah waishi wenyewe katika bara na baharini na angani, Eee hakika ya corona ni katika mitingisho ya adhabu ya chini huwenda walimwengu wataregea kwa Allah na wa amini kwa Allah pekeyake na wamwabudu pekeyake hana mshirika nae na wa mtii Allah na Khalifa wake Al’mahdi Nasser Muhammad Al’yamani, Lakini kwa maskitiko haikuowaongezea adhabu ya Allah ya chini mpaka sasa ispokua kuzidi kufanya il7had kwa Allah Mola Mlezi wa Ulimwengu, Kama kwamba Allah hajakua kitu kipo - Subhanahu kwa yale wanao mshirikisha Ametukuka wa Ta3ala 3Uluwan Kabiran- Na kama kwamba nyinyi ndio mnao tawala ju ya ufalme wa mbingu na ardhi ili musmamishe mtingisho wa vita va Allah va ongezeko la hali ya joto duniani- Subhana Allah Al’3adhim- Basi Wallahi Kisha Wallahi hamutoweza kutawala ju ya ma askari wa Allh wadogo kabisa katika kitabu (mbu wa damu na kizazi chake chote) Na hapana na wala haitowafa quarantine baada ya leo! ispokua ametosheka mwanzo wa jambo kwa kuwafunga na kukata rizki yenu, Ama mwadhani kua nyinyi mutarudi tena quarantine na kufunga ndio awakhafifishie Allah ju yenu kama alivo fanya mara ya kwanza?! Na imetangulia nimewafahamisha kuwapa fatwa kwamba vita va kizazi ya mbu wa damu yule munao mwita corona nae anaongozwa na Allah moja kwa moja wanachukua amri kutoka kwa Mola Mlezi wao ndio watekeleza yale walio amirishwa, Na nawabashiri kua chanjo zenu hakika zitafeli kabisa bila ya faida yoyote na mutatupa chanjo zenu kwenye mapipa ya taka kwakua kwa urahisi sana hamtupata kwenu kutokana na adhabu ya Allah msaidizi awakinge wala kuzuwia kutokana na adhabu yake.


Na mukiwa mwataka suluhisho ambalo iwakinge kutokana na mtingisho wa vita va Allah ya ongezeko la joto duniani na mtingisho wa vita va ma askari wa Allah mmbu wa damu corona; Basi Mumtii Allah na Khalifa wake Al’mahdi Nasser Muhammad Al’yamani muitikie mlinganizi wa Allah kwa kumwabudu Allah pekeyake hana mshirika nae ju ya kujua kutoka kwa Allah Al’quran Al3adhim basi musiombe pamoja na Allah yoyote, Na yule ambae anae Mola Pasi na Allah basi amombe pasi na Allah ili awaondoshe maafa ya corona ikiwa nyinyi ni wakweli, Na wala hwatonufaisha ma Nabi wote wa Allah na ma imamu wa kitabu wala Khalifa wa Allah Al’mahdi kusadikisha Katika Kauli Ya Allah Ta3ala:
{قُلِ ادْعُوا الَّذِينَ زَعَمْتُم مِّن دُونِهِ فَلَا يَمْلِكُونَ كَشْفَ الضُّرِّ عَنكُمْ وَلَا تَحْوِيلًا ‎﴿٥٦﴾‏ أُولَٰئِكَ الَّذِينَ يَدْعُونَ يَبْتَغُونَ إِلَىٰ رَبِّهِمُ الْوَسِيلَةَ أَيُّهُمْ أَقْرَبُ وَيَرْجُونَ رَحْمَتَهُ وَيَخَافُونَ عَذَابَهُ ۚ إِنَّ عَذَابَ رَبِّكَ كَانَ مَحْذُورًا ‎﴿٥٧﴾‏ وَإِن مِّن قَرْيَةٍ إِلَّا نَحْنُ مُهْلِكُوهَا قَبْلَ يَوْمِ الْقِيَامَةِ أَوْ مُعَذِّبُوهَا عَذَابًا شَدِيدًا ۚ كَانَ ذَٰلِكَ فِي الْكِتَابِ مَسْطُورًا ‎﴿٥٨﴾‏} صدق الله العظيم [الإسراء].


Enye watu mcheni Allah na muamini kua jua kweli limefikilia mwezi kama vile imetokea katika mwezi wa dhi alhija ya mwaka wenu hu 1442 kabla ya kutangulia usiku mchana kwa sababu ya kupita sayari ya saqar, Na je aya ya kufikia jua kwa mwezi ispokua ni onyo kwa watu kwa sababu ya kukaribia sayari ya saqar kwa yule atakae miongoni mwenu kutangulia ama kuchelewa?!


Na enyi ma3ashara ya wana sayansi wa falaki wale ambao wanao zuwia ma ishara ya kufikiliwa ya ki ulimwengu ambao ni onyo kwa wanadamu kuzuwia pakubwa basi hakika ju yenu laana ya Allah ama ju y Nasser Muhammad Al’yamani ikiwa ni katika warongo.


Na ewe Daktari (Jad Alkadhi) Mkurugenzi wa kituo cha utafiti ya kifalaki na kijiofizikia ya ki Egyptian ambae amesubutu kukanusha ishara ya badr kukamilika ya Al’imam Al’mahdi ya mwezi wa dhi alhija ya mwaka hu 1442 na yule ambae kama yeye katika wana sayansi wa falaki katika wanadamu na dini wanao kanusha na wao wajua kua ni haki kutoka kwa Mola wao Mlezi hakika Atawateremshia ju yenu Allah lana yake na malaika wake na watu wote kwa sababu kuwazuwia waislamu kutoamini alama ya kufikiliwa ya ki ulimwengu, Fa Wallahi Thuma Wallahi hakika nyinyi mwajua kwamba haiwezekani kua usiku wa mwezi kua kamili “Albadr” wa mwezi wa dhi alhija ya mwaka wenu hu 1442 jioni ya siku ya juma usiku wa juma mosi kama mfano wa usowezekana kuona mwandamo wa dhi alhija jioni wa siku ya ijuma usiku wa juma mosi kwa watu wa kuchunguza mwandamo wa dhi alhija wa ufalme wa kiarabu saudia, Na sababu kwa urahisi sana kwakua wanasayansi wote wa falaki katika binadamu wanajua kwa yakini kua mwezi utazama kabla kuzama jua siku ya ijuma usiku wa juma mosi kabla tokeo la kushikana kituo cha kati ambao inafanyika katika sehemu ya kupotea kabisa ambao inakua giza kwa kumalizika mwangaza ilio bakia wa dhi alqaida ambao wanajua Wote wana sayansi wa falaki katika binadamu kua itafanyika sa kumi na dakika kumi na saba alfajiri ya juma mosi thalathini ya dhi alqaida kwa wakati wa makaa almukarama na baada kuwachana mwezi mashariki inaanza unywele wa mwangaza wa dhi alhija kubunika mpaka iwe mwandamo wa mwanzo wa mwezi ki falaki jioni ya siku ya juma mosi usiku wa juma pili (Basi hio ni mwanzo wa kutokezea dhi alhija ki falaki kifiziki jioni ya siku ya juma mosi usiku wa juma pili ) Basi hio ni kwa upande wa kifiziki ki falaki hawatafautiani ju yake wawili katika wana sayansi wa kifalaki katika binadamu wote kwamba mwanzo wa kubunika wa dhi alhija kifalaki ni jioni ya jumamosi usiku wa juma pili kulingana na kufanyika kushikana kituoni alfajiri ya juma mosi na kuzama mwandamo wa dhi alhija baada kuzama jua la siku ya juma mosi usiku wa juma pili kulingana na ilimu yenu, Na kwa kila hali yule ambae atafuta haki atakiwa ahakikishe mwenyewe kutokana na hi habari ya kifalaki kuhusu mwanzo wa kubunika dhi alhija ya kwanza kifalaki je nayo imekamilika sharti yake jioni ya siku ya juma usiku wa juma mosi ama jioni ya juma mosi usiku wa juma pili? Na mutaenda kukuta kisowezekana ki sayansi kwa ma hisabu ya falaki ya kifiziki kua haiwezekani katu jioni ya juma 29 dhi alhija usiku wa juma mosi yani kujulisha kutowezekana kua usiku wa juma mosi ni mwanzo wa mwezi wa dhi alhija kwa upande zote haiwezekani kwakua usiku wa juma mosi bado inahisabika ni miongoni mwa hisabu ya dhi alqaida kulingana na hisabu ya kifiziki ya falaki sawa muhakam kabisa.


Kwa hivo enyi ma3ashara ya binadamu natoa qasam kwa Allah Al’wahid Al’qahar haitakiwi iwe kukamilika mwezi “Badr” ya dhi alhija ya mwaka wenu hu 1442 jioni ya siku ya ijuma usiku wa jumaa mosi ispokua ipatikane tokeo la miujiza aya ishara ya kiulimwengu kwa amri ya Allah Mola Mlezi wa ulimwengu! Na nimetangaza ishara ya badar kutimia ya Al’imam Al’mahdi Nasser Muhammad Al’yamani kwa amri kutoka kwa Allah kwenye bayana ya kwanza kutokea kufwatana na dhi alqaida ya mwaka hu na ni kawajulisha kua ishara ya badar Al’imama Al’mahdi Nasser Muhammad Al’yamani itakua jioni ya siku ya jumaa usiku wa juma mosi (Usiku wa nusu wa mwezi wa dhi alhija) kulingana Alivo nifundisha Molaa wangu Mlezi kwa hisabu ya ishara ya kufikiliwa ya kiulimwengu, Mpaka pindi ikija ahdi yake na ikawa ju ya pua zao wanadamu wote na kwa wanasayansi wa falaki basi hakika hawatoweza kukanusha alama ya kutimia kikamilifu “Badar Atamam” jioni ya siku ya juma usiku wa juma mosi pamoja ya kua kwenye usiku wa juma mosi ilikua ni wakati wa kiabatisho na kukutana kituo cha kati, Kisha wakanza kupiga chenga wakachezea akili za watu wakawafanya wachanganyikiwe kufahu kuwa hili jambo la kawaida na wao wajua kabla na kwamba hakuna ihitilafu ya kifalaki wala hom ya7hzanun, Bali ju yao duwara la huzuni na maovu na akawalani Allah kwa kukufuru kwao na ghadhabu ya Allah ju yao na Amewandalia adhabu chungu.


Na toa Qasam kwa Allah kua wao wajua kua wao ni warongo na mutaona yale Atakayo Wafanyia Allah na Awalani laana kuu ispokua kwa wale walio tubu na wakabainisha ukweli kutoka kwa Mola wao Mlezi na wala hawakuficha aya ya kusadikisha ya kiulimwengu ya khalifa wa Allah Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani basi hakika Allah ni tawaab Mwenye Huruma, Na ama wenye kiburi katika wana sayansi wa falaki awu wale wanao ficha ukweli (Kuonekana mwandamo wa mwezi nao uko katika hali ya kufikiliwa) Basi hakika ameumia mwenye kuifinika na akaificha kwa walimwengu ili Asiokoe Allah walimwengu kwa kusadikisha kwa adhabu ya kudhalilisha hawo Atawalani Allah na watalaniwa na wenye kulani kwakua wao wanakadhibisha ukweli na ilhali wao wajuwa.


Na ala kuli hali enyi ma3ashara ya binadamu njoni ili ni waoneshe ju ya aya ingine itafanyika mwisho wa mwezi wa dhi alhija ya mwezi wenu hu kwa idhini ya Allah, Kwa vile jua limefikia mwezi kufikia pakubwa sana kwenye mwanzo wa mwezi wa dhi alhija ukazaliwa mwandamo wa dhi alhija wa mwaka wenu hu 1442 usiku wa juma ikakutana nae jua nae ni mwandamo usiku wa juma mosi; Basi hatimai kwa -idhini ya Allah- itafinika ki angazo cha unywele wa juma mosi shirini na nane dhi alhija basi aufute Allah kabisa ndio awufanye Allah kama uso za wakanushaji wa aya ya kiulimwengu ipambazuke mwezi umefichika mweusi! Kiasi ya wote wana sayansi wa falaki katika binadamu kwa nyumba ya shirini na nane ya dhi alhija juma mosi na kulingana na ilimu yao kabla kufikia jua mwezi kua mwandamo wa shirini na nane usiku wa juma mosi ya mwezi wa dhi alhija ya mwaka wenu hu 1442 ilio na punguzi bado itatokea kwenye wakati wa kuchelewa katika usiku sana alfajiri ya juma mosi na wajua kua bado wataona wote wanao angalia kutokezea kwake mwandamo umepungua kwa jicho la kawaida, Na hayo ndio mutaykuta katika kalenda zote za wana sayansi wa falaki na ju yao ni kalenda ya kituo cha falaki cha kimataifa kwa kuongozwa na muhandisi (Muhammad Shawukat Uda) Wanajua kwa ma hisabu ya kifalaki sahihi sana kua nyumba ya juma mosi shirini na nane dhi alhija bado itatokea mwandamo ambao inapunguwani usiku sana alfajiri ya juma mosi itaonekana kwa jicho la kawaida kote mashariki mwa ardhi ulimwenguni.


Lakini nipeni ruhusa enyi ma3ashara ya binadamu ambao ni watafiti wa ukweli wote kua nitangaze changamoto kwa uwezo wake Allah Mwenye Utukufu Mwenye Hikima kwa kiambatisho kumalizika uso wa mwezi kabla wakati wake ndio ipambazuke ikiwa haionekani kiza kabla kufikia kukutana kituo cha kati basi hakika hamutowona kwa idhini ya Allah alfajiri ya juma mosi pamoja ya kwamba mwezi utapambazuka mbele ya wanao angalia.


Lakini vipi mutaona mwandamo wa uso wa mwezi ambao umepotea kabla wakati wake hata kama wakati wa kupambazuka kwake uko kwenye kiza kabla kupambazuka jua? Basi vipi mutaona mwezi mweusi umefichika kutokana na mwangaza wa nuru ya miyandamo?! Ama mwadhani hilo ni tokeo la kawaida?! haihat haihat bali hio ni katika ma sharti ya kufikiwa ambao ni hususi ya aya ya Al’imam Al’mahdi Nasser Muhammad Al’yamani nayo ni ifichike kizani mwandamo wa mwisho wa mwezi kabla wakati wake na izaliwe kabla wakati wake na ikutane nae jua nao ni mwandamo, Na hukumu ni ya Allah mbora wa kufafanua ikiwa hakumzulia Allah Al’Imam Al’mahdi Nasser Muhammad Al’yamani kua awatangazie wanadamu kua jua limefikia mwezi ikazaliwa mwandamo kabla ya kusuf ikakutana nae ni mwandamo basi hakika Hatokhalifu Allah Ahdi Yake kwa Mja wake Hakika Yeye ni mwenye kusamehe Mrahimu.




Na Salam Ju Ya Mitume, Na Al’Hamdulillah Rabil3alamin ..
Khalifa Wa Allah Ju Ya Ulimwengu Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani.
وسلامٌ على المُرسَلين، والحمد لله ربّ العالمين ..
خليفة الله على العالمين الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ.
___

======== اقتباس =========

اقتباس المشاركة 357218 من موضوع سِلسِلة بيانات فَيروس كورونا وسِرّه المَكنون ..

- 21 -
الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني
24 - ذو الحجة - 1442 هـ
03 - 08 - 2021 مـ
11:28 صباحًا
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

[ لمتابعة رابط المشاركة الأصلية للبيان ]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=357163
____________



الحلُّ لقارعةِ حربِ كورونا والمناخ ..

من خليفة الله المهديّ إلى الرئيس الأمريكيّ ( جو بايدن ) ورئيس الصين ( شي جين ) وكافّة رؤساء العالمين وشعوبهم أجمعين..
كونوا شهداء على أنفسكم وعلى شعوبكم بأنّي أبلغتكم منذ ستة عشر عامًا بأنّها انتهت دُنياكم وجاءت آخرتكم واقترب حسابكم وأنتم في غفلةٍ مُعرِضون، وعلّمتكم أنّي خليفة الله المهديّ عليكم، اصطفاني الله مالك المُلك الذي يؤتي المُلك مَن يشاء وينزع المُلك مِمَّن يشاء ويُعزّ مَن يشاء ويُذلّ من يشاء؛ ذلكم اللهُ ربّي وربُّكم فاعبدوه وحده لا شريك له، وأطيعوني لنهدِيَكم إلى صراط الله العزيز الحميد على بصيرةٍ من الله كتاب الله (القرآن العظيم) الذي تنزَّل على خاتم الأنبياء والمُرسَلين النبيّ الأميّ محمد رسول الله بالقرآن العظيم إلى النّاس كافّة أن تعبدوا الله وحده لا شريك له لم يتَّخِذ صاحبةً ولا ولدًا ولم يكن له كفوًا أحد.

ويا معشر المسلمين والنّصارى واليهود والمُلحدين والنّاس أجمعين، إنّي أُشهد الله عليكم أنّي أبلغتكم بكوكب العذاب الذي كان بِعُمْق الفضاء الشّماليّ لكوكب الأرض، وبدأ في الاقتراب إلى أرضكم من مكانٍ بعيدٍ، ولسوف يشرق عليكم من آفاق جنوبِ الأرضِ ولسوف يسدّ أفق الأرض الجنوبيّ حين شروقه، وبالضبط من الجنوب الشرقيّ إلى الجنوب الغربيّ بدقّة متناهية في الوصف، فيرسل على عصاة الله وأعداء رُسُلِه وأعداء خليفته المهديّ شواظًا من نار، حقيقٌ لا أقول على الله إلا الحقّ ومن أظلم مِمّن افترى على الله كذبًا؟! وأعوذ بالله أن أكون من الجاهلين أو من الذين يقولون على الله ما لا يعلمون.

وأُشهد اللهَ الواحدَ القهّار أنّي خليفة الله الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني أُعلن الكفر المطلق بنظريّة الاحتباس الحراريّ، وسبقت فتوى الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني منذ ستة عشر عامًا بأنّ العالمين إذا أعرضوا عن دعوة خليفة الله المهديّ ناصر محمد اليماني فإنّ الله سوف يعلن الحرب عليهم بدءًا بحرب التّناوش بكوكب العذاب مِن مكانٍ بعيدٍ وصار أقربَ بكثيرٍ ممّا كان عليه من قبل ستة عشر عامًا وعدّة أشهر وهو الآن يتناوش مع الشّمس والقمر والأرض، فرفع معيارَ قارعةِ حربِ الله المناخيّة جوًّا وبحرًا وبرًّا إضافةً لعذاب بعوضةٍ ما لا تحيطون بها علمًا؛ ذلكم بعوضة الدّم يا بني آدم؛ ذلكم ما تسمّونه فيروس كورونا وما هو بكورونا بل كائنات حيّةٌ ذكيّةٌ مسوّمةٌ بكلمات الله تعيش بذاتها في البرّ والبحر والجوّ، ألا وإنّ كورونا من قوارع العذاب الأدنى لعلّ العالمين يرجعون إلى الله ويؤمنون بالله وحده لا شريك له ويعبدوه وحده لا شريك له ويطيعوا الله وخليفته المهديّ ناصر محمد اليماني، ولكن للأسف فلم يزِدْكم عذاب الله الأدنى إلى حدّ الآن إلّا إلحادًا بالله ربّ العالمين، وكأنّ الله لم يكن شيئًا مذكورًا - سبحانه عمّا يشركون وتعالى علوًّا كبيرًا - وكأنّكم أنتم المسيطرون على ملكوت السّماء والأرض لتوقيف قارعة حرب الله المناخيّة - سبحان الله العظيم - فوالله ثمّ والله لا تستطيعون السّيطرة على أصغر جنود الله في الكتاب ( بعوضة الدّم وسُلالاتها أجمعين ) ولا ولن تنفعكم الحجورات من بعد اليوم وإنّما اكتفى بادئ الأمر بحبسِكم وقطع أرزاقكم، أم تظنّون أنّكم سوف تعودون للحَجْر والإغلاق فيخفّف الله عنكم كما فعل من قبل؟! وسبق أن أفتيْناكم أنّ حربَ سُلالات بعوضة الدّم ( ما تسمّونها بكورونا ) هي بقيادة الله مباشرةً تتلقّى الأوامر من ربّها فيفعلون ما يؤمرون، وأبشّركم أنّ لقاحاتكم سوف تبوء بالفشل التّام دون جدوى ولسوف ترمون لقاحاتكم في الزّبالةِ كونه بكل بساطةٍ لن تجدوا لكم من عذاب الله من وليٍّ يمنعكم ولا واقٍ من عذابه.

فإن كنتم تريدون الحلّ الذي يقيكم من قارعة حربِ اللهِ المناخيّة وقارعةِ حرب جنود الله بعوضة الدَّم كورونا: فأطيعوا الله وخليفته المهديّ ناصر محمد اليماني واستجيبوا لداعيَ اللهِ إلى عبادة الله وحده لا شريك له على بصيرةٍ من الله القرآن العظيم، فلا تدعوا مع اللهِ أحدًا!! فمن كان له إلهٌ غيرُ الله فليَدعُه من دون الله ليكشفوا عنكم ضُرّ كورونا إن كنتم صادقين، فلن ينفعوكم كافّة أنبياءِ اللهِ وأئمّةِ الكتاب ولا خليفة الله المهديّ تصديقًا لقول الله تعالى: {قُلِ ادْعُوا الَّذِينَ زَعَمْتُم مِّن دُونِهِ فَلَا يَمْلِكُونَ كَشْفَ الضُّرِّ عَنكُمْ وَلَا تَحْوِيلًا ‎﴿٥٦﴾‏ أُولَٰئِكَ الَّذِينَ يَدْعُونَ يَبْتَغُونَ إِلَىٰ رَبِّهِمُ الْوَسِيلَةَ أَيُّهُمْ أَقْرَبُ وَيَرْجُونَ رَحْمَتَهُ وَيَخَافُونَ عَذَابَهُ ۚ إِنَّ عَذَابَ رَبِّكَ كَانَ مَحْذُورًا ‎﴿٥٧﴾‏ وَإِن مِّن قَرْيَةٍ إِلَّا نَحْنُ مُهْلِكُوهَا قَبْلَ يَوْمِ الْقِيَامَةِ أَوْ مُعَذِّبُوهَا عَذَابًا شَدِيدًا ۚ كَانَ ذَٰلِكَ فِي الْكِتَابِ مَسْطُورًا ‎﴿٥٨﴾‏}
صدق الله العظيم [الإسراء].

يا أيّها النّاس اتّقوا الله وصدِّقوا أنّ الشّمس حقًّا أدركتِ القمرَ كما حدث في شهر ذي الحجّة لعامكم هذا 1442 قبل أن يسبقَ اللّيلُ النّهار بسبب مرور كوكب سقَر، فهل آية إدراك الشّمس للقمر إلّا نذيرًا للبشر بسبب اقتراب كوكب سقَر لِمن شاء منكم أن يتقدَّم أو يتأخَّر؟!

ويا معشرَ علماءِ الفلك؛ يا مَن تصدّون عن آية الإدراك الكونِيّة (النّذير للبشر) صدودًا كبيرًا فإنّ عليكم لعنة اللهِ أو على ناصر محمد اليماني إن كنتُ من الكاذبين.

ويا أيّها الدكتور ( جاد القاضي ) رئيس مركز البحوث الفلكيّة والجيوفيزيقيّة المصريّة الذي تجرّأ على إنكار آية بدر الإمام المهديّ لشهر ذي الحجّة لهذا العام 1442 ومَن كان على شاكلته مِن علماء الفلك (في البشر) والدّين والمنكرين وهم يعلمون أنّه الحقّ من ربّهم، لسوف يحلّ الله عليكم لعنتهُ والملائكة والنّاس أجمعين بسببِ صدّ المسلمين عن التّصديق بآية الإدراك الكونيّةِ، فوالله ثم والله أنّكم لتعلمون أنّه يستحيلُ أن تكونَ ليلة القمرِ البدرِ لشهر ذي الحجّة لعامِكم هذا 1442 مساء يومِ الجمعةِ ليلة السّبت كمثل استحالة رؤية هلال ذي الحجّة مساءَ يومِ الجمعة ليلة السّبت من قِبَل أصحابِ التّحرّي لهلال ذي الحجّة بالمملكة العربيّة السّعوديّة، والسّبب بكل بساطةٍ كون كافّة علماء الفلك (في البشر) لَيعلمون علم اليقين أنّ القمر سوف يغربُ قبل غروب شمس يوم الجمعة ليلة السّبت من قبل حدوث الاقتران المركزيّ والذي يحدث في نقطة المُحاق النّهائيّ المُعتم بانقضاء بقيّة ضياء ذي القعدة الذي يعلم كافّةُ علماء الفلك (في البشر) أجمعون أنّه سوف يحدث السّاعة الرّابعة وسبعة عشر دقيقةً فجر السّبت ( ثلاثين ذي القعدة ) بتوقيت مكّة المكرّمة، وبعد انفصال القمر شرقًا تبدأ شعيرةُ ضياء ذي الحجّة بالتكوين حتى يصبح هلال أول الشهر فلكيًّا مساء يوم السّبت ليلة الأحد، فتلك غُرّة ذي الحُجّة الفلكيّة الفيزيائيّة مساء يوم السبت ليلة الأحد، فهذا من ناحية فيزيائيّة فلكيّة لا يختلف عليها اثنان مِن علماء الفلك في كافّة البشر بأنّ غرّة ذي الحجّة فلكيًّا هي مساء يوم السبت ليلة الأحد نظرًا لحدوث الاقتران المركزيّ فجر السّبت وغروب هلال ذي الحجّة بعد غروب شمس يوم السّبت ليلة الأحد حسب عِلمِكم، وعلى كلّ مَن يبحثُ عن الحقّ أن يتأكّد بنفسه من هذه المعلومة الفلكيّة في شأن غرّة ذي الحجّة الأولى فلكيًّا، فهل هي استكملت شروطها مساء يوم الجمعة ليلة السبت أم مساء يوم السبت ليلة الأحد؟ ولسوف تجدون المستحيل علميًّا بالحسابات الفلكيّة الفيزيائيّة شديدة المحال مساء يوم الجمعة 29 ذي القعدة ليلة السبت ممّا يعني استحالة أن تكون ليلة السبت غرّة شهر ذي الحجّة من كافّة النّواحي تستحيل! كون ليلة السّبت لا تزال من ضمن عدّة ذي القعدة بحسب الفيزياء الفلكيّة الدقيقة.

إذًا يا معشر البشر، أقسم بالله الواحد القهّار لا ينبغي أن يكون بدر ذي الحجّة لعامِكم هذا 1442 مساء يوم الجمعة ليلة السّبت إلا بحدوث معجزة آية كونيّة بأمر الله ربّ العالمين! وأعلنت بآية بدر الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ (بأمرٍ من الله) في صدور أوّل بيانٍ صدر توالي ذي القعدة لهذا العام، وعلَّمتكم أنّ آية بدر الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني سوف تكون مساء يوم الجمعة ليلة السّبت ( ليلة النّصف لشهر ذي الحجّة ) حسب ما علّمني ربّي بحساب آية الإدراك الكونيّة، حتى إذا جاء وعدها وحدثت رغم أنوف كافّة البشر وبالذّات علماء الفلك فلن يستطيعوا إنكار بدر التّمام مساءَ يومِ الجمعة ليلة السبت برغم أنّ في مثل ليلة السّبت كان ميعاد المُحاق والاقتران المركزيّ، فمِن ثمّ استخدموا المراوغة فاستخفوا بعقول النّاس وجعلوا يوهموهم أنّ هذا حدث طبيعيّ وأنّهم لَيعلمون به من قبلُ وأنّه لا يوجد خللٌ فلكيّ ولا هم يحزنون، بل عليهم دائرة الحزن والسَّوء ولعنهم الله بكفرهم وغضِب الله عليهم وأعدّ لهم عذابًا مُهينًا.

وأقسم بالله أنّهم ليعلمون أنّهم كاذبون ولسوف ترون ما يفعل الله بهم ويلعنهم لعنًا كبيرًا إلا الذين تابوا وبيَّنوا الحقّ من ربّهم ولم يُخفوا آية التّصديق الكونيّة لخليفة الله المهديّ ناصر محمد اليماني فإنّ الله توّابٌ رحيمٌ، وأمّا المُستكبرون من علماء الفلك أو الذين يخفون الحقّ ( رؤية هلال الشهر وهو في حالة إدراكٍ ) فقد خاب مَن دسّاها فأخفاها عن العالمين (حتى لا ينقذ الله العالمين بالتّصديق من العذاب المُهين) أولئك سيلعنهم الله ويلعنهم اللاعنون كونهم يُكَذِّبون بالحقّ وهم يعلمون.

وعلى كلّ حالٍ (يا معشر البشر) تعالوا لندلّكم على آية أخرى سوف تحدث نهاية شهر ذي الحجة لشهركم هذا بإذن الله، فبما أنّ الشّمس أدركت القمر إدراكًا كبيرًا في أوّل شهر ذي الحجّة فَوُلِد هلالُ ذي الحجّة لعامكم هذا 1442 ليلة الجمعة فاجتمعت به الشّمس وقد هو هلالًا ليلة السّبت؛ فحتمًا - بإذن الله - سوف يمتحِق ضياء منزلة السّبت (ثمانية وعشرين ذي الحجّة ) فيمحقُه الله تمامًا فيجعله الله كوجوه المُنكرين لِلآية الكونيّة فيشرق قمرًا معتمًا أسودًا! برغم أنّ كافّة علماء الفلك في البشر لَيعلمون أنّ منزلة ثمانية وعشرين ذي الحجّة السّبت، وحسب علمهم من قبل أن تدرك الشّمس القمر بأنّ هلال ثمانية وعشرين ليلة السبت لشهر ذي الحجّة لعامكم هذا 1442 المتناقص لا يزال سوف يظهر في وقتٍ متأخّرٍ من اللّيل بالسَّحَر فجرَ السّبت، ويعلمون أنّه لا يزال سوف يشاهده كافّة النّاظرين إلى شروقه هلالًا متناقصًا وبالعين المجرّدة، وهذا ما سوف تجدونه في كافّة تقاويم علماء الفلك وعلى رأسهم تقويم مركز الفلك الدولي برئاسة المهندس ( محمد شوكت عودة ) يعلمون بالحسابات الفلكيّة الدّقيقه أنّ منزلة السّبت ( ثمانية وعشرين ذي الحجّة ) لا يزال سوف يظهر الهلال المتناقص بالسَّحَر فجر السّبت؛ يُرى بالعين المجرّدة في كافّة مشارق الأرض في العالمين.

ولكن اسمحوا لي يا معشر البشر الباحثين عن الحقّ أجمعين أن أُعلنَ بالتّحدي بإذن الله العزيز الحكيم بمحاقِ وجهِ القمر قبل أوانه فيُشرق مُظلِمًا مُعتمًا من قبل حلول الاقتران المركزيّ؛ فلن ترونه بإذن الله فجر السّبت برغم أنّ القمر سوف يشرق أمام أعين الناظرين.

ولكن كيف تشاهدون هلال وجه القمر امتحق قبل أوانه حتى ولو كان ميعاد شروقه في الظّلام من قبل شروق الشّمس؟ فكيف تشاهدون قمرًا مُعتمًا من ضياء نور الأهلّة؟! أم تظنّون ذلك حَدَثًا طبيعيًّا؟! هيهات هيهات بل ذلك شرط الإدراك الخاصّ بآية الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني هو أن يمتحق هلال آخر الشّهر من قبل أوانه ويولَد قبل أوانه وتجتمع به الشّمس وقد هو هلالًا، والحكمُ لله خيرُ الفاصلين إذا لم يفترِ على الله الإمامُ المهديّ ناصر محمد اليماني (بأن يعلِن للبشر أنّ الشّمس أدركت القمر فَوُلِد الهلال من قبل الكسوف واجتمعت به وقد هو هلالًا) فلن يُخلِف الله وعده لِعبده وهو الغفور الرحيم.


وسلامٌ على المُرسَلين، والحمدُ للهِ ربّ العالمين..
خليفة الله على العالمين الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ.
_______________
اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..