الموضوع: Kuzidisha Katika Fatwa Kuhusu Wudhu Ulio Timia..

النتائج 1 إلى 1 من 1
  1. افتراضي Kuzidisha Katika Fatwa Kuhusu Wudhu Ulio Timia..

    Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
    الإمام ناصر محمد اليماني
    27 - رجب - 1441 هـ
    22 - 03 - 2020 مـ
    02:02 صباحاً
    ( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
    [ لمتابعة رابط المشاركة الأصلية للبيان ]
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=324968
    _______



    مزيدٌ من الفتوى عن الوضوء التام ..
    Kuzidisha Katika Fatwa Kuhusu Wudhu Ulio Timia..

    Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Na Salam Ju Ya Mitume Na Al'Hamdulillah Rabil3alamin, Asalam Alekom Wa Rahmatullahi Wa Barakatuhu Wapendwa Wangu Ma Anssar Na Waulizaji Watafiti Wa Haki..


    Na nawaona munajadiliana kuhusu fatwa katika Bayana kwa neno la wudhu ulio timia; Nayo ni kama vile munavo tawadha, Bali kusafisha pua inaingia katika nidhamu ya upande wa uso na mdomo, Na meno inaingia katika nidhamu ya upande wa uzuri wa uso, Na kupiga msiwaki inaingia upande wa nidhamu na uzuri wa uso na meno wakati wa kutabasamu na kuzungumza basi inakua pumzi za mdomo wake mzuri, Bali meno ni silaha ya kusaga chakula, Basi kiasi gani anajuta ambae aliopuza silaha yake wakati akikosa?! Na Kufuta nywele za kichwa na masikio mawili, Eee Hakika ya kusafisha pua na kusukutua ni katika kutimia wudhu ulio timia wala sio sharti mara tatu bali mpaka ahisi moja wenu kua yeye amesafisha uso wake kutokana na jasho lilio kauka na pua yake kutokana na makamasi na asuguwe meno yake kwa vidole vake wakati wa kutawadha na ku'osha kichwa chake na masikio yake kuanzia nyuma na mikunjiko yake na kwa ndani na usiseme kuhusu kupitisha mara tatu, Wala sio kuingiza maji ndani ya masikio bali kusafisha ili kuondosha najasa.


    Na kitu muhimu katika wudhu ni kufikia lengo ya nidhamu wala sio sharti kua isiwe ispokua mara tatu kuosha uso na kusafisha pua na kuskutua na zinginezo, Bali sharti nikufikia lengo la nidhamu kutokana mara tatu ama zaidi, ispokua kidogo yake ni mara tatu, Na tunakumbusha na tunakariri kua kitu muhimu kabisa kufikilia lengo la nidhamu nayo nikua ahisi amefikisha lengo la nidhamu basi hio ndio kutimisha wudhu ulio timia; Basi hio ndio wudhu ulio timia, Wala sijawakataza kabisa kuskutua na kusafisha pua basi hio ni katika upande wa kuosha uso na kilio zunguka nayo, Basi sidhani kua hayo inahitaji fatwa, Ama ingekua naona kuna makosa ndani yake nisinge'nyamaza nayo kwani hajasema Muhammad Mtume wa Allah sala Allahu aleyhi wa alihi walio wazuri na waislamu wote wa salam:
    [ Lau sio kuogopea kua nitawapa uzito umma wangu nige wamuru kupiga msiwaki kitika kila ya swala]
    Sadaqa Aleyhi Asalat Wa Asalam?,
    [ لولا أخاف أن أشقّ على أمّتي لأمرتُهم بالسّواك عند كل صلاة ]
    ؟ صدق عليه الصلاة والسلام.


    Basi katika kusafisha pua na kuskutua kuna hikma ilio timia kutoka kwa Allah, Na hivo ispokua tumewazidisha ilimu kuhusu wudhu ulio timia kutokana na kuhusu kufuta migu kua Yeye Anakusudia kusugua kwa mikono na kupitisha vidole va mkono kwenye vidole va migu kwakua inapatikana katiyake najasa baina vidole va mgu na haswa vidole vilio ambatana, Na hivo hivo kukata kucha kwa wanaume na wanawake sawa sawa haswa kucha za mikono, Wala hatukatazi rangi ya kucha ya wanawake kwa jili ya pambo sharti iwe rangi ya kucha imepakwa wakati kucha ziko na twahara kutokana na najasa, Wala haitozuwia rangi ya kucha kuondosha ile ilio ka ju ya kucha kutokana na najasa baada ya hapo kwakua rangi ya kucha haswa imepakwa ju ya kucha ilio na twahara na kile kitakao kuja upya kitakua kiko ju ya rangi ya kucha na wudhu itaondosha ilio kuja ju upya, Basi ju yenu kwa wudhu ulio timia.


    Ispokua nimewabainishia kwenu kukanusha kufuta mgu kama wanavo dai kufuta kwa mkono ulio na maji pek; Bali kyaosha, Na nimewabainishia kwenu kufuta kwenye maudhui hi ya migu kua Anakusudia kuyasugua kwa mkono kwa kua nayo ndio inaopatikana na najasa zaidi na hivo ili itimie lengo la usafi, Na mujuwe kua usafi ni kutokana na imani kwa yale Alio Wamuru Allah Nayo, Basi Sikizeni na mutii huwenda mukafaulu, Na Salam Ju Ya Mitume Na Al'Hamdulillah Rabil3alamin..


    Ndugu Yenu Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
    أخوكم الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
    _________

    اقتباس المشاركة 324968 من موضوع أسئلة و مبايعة فتيحة المشيشي

    الإمام ناصر محمد اليماني
    27 - رجب - 1441 هـ
    22 - 03 - 2020 مـ
    02:02 صباحاً
    ( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
    ______________




    مزيدٌ من الفتوى عن الوضوء التام ..



    بسم الله الرحمن الرحيم، وسلامٌ على المُرسَلين والحمدُ للهِ ربّ العالمين، وسلامُ الله عليكم ورحمة الله وبركاته أحبّتي الأنصار والسائلين الباحثين عن الحق..

    وأراكم تتجادلون في شأن فتوايَ في البيان بكلمة الوضوء التام: وهو كما تتوضّأون، بل الاستنشاق يدخل ضمن نظافة محتوى الوجه والفم، والأسنان تدخل ضمن نظافة وجمال الوجه، والسّواك يدخل ضمن نظافة وجمال الوجه للأسنان حين الابتسامة والتكلّم فيكون هواءُ فمهِ عذباً، بل الأسنان سلاحٌ لتفتيت الطعام، فكم يندم من أهمل في سلاحه حين يفقدهم! ومسح شعر الرأس والأذنين، ألا وإنّ الاستنشاق والمضمضة من استكمال الوضوء التام وليس شرطاً ثلاثَ مرّات بل حتى يشعر أحدكم بأنّه نظف وجهه من العرق الجاف وأنفه من الزلال وفرك أسنانه بإصبعه حين الوضوء ومسح رأسه وأذنيه من الوراء ومعاطفهما من الداخل لا تقل عن ثلاث مسحات، وليس إدخال الماء الى الأذنين بل مسحهم لإزالة النجاسة.

    وأهمّ شيءٍ في الوضوء بلوغ النظافة وليس شرطاً أن لا يكون إلا ثلاث مراتٍ غسل الوجه والاستنشاق والمضمضة وغيرها، بل الشرط بلوغ النظافة من ثلاث مرات وأكثر، وإنّما أقلّها ثلاث مراتٍ، ونُذكّر ونُكرّر أنّ أهمّ شيءٍ بلوغ النظافة وهو الاستشعار أنّه أحسّ ببلوغ النظافة فذلك تمام الوضوء التام؛ فذلك هو الوضوء التام، ولم أنهَكم قطّ عن المضمضة والاستنشاق فتلك من ضمن غسل الوجه وما حواه، فلا أظنّ ذلك يحتاج الى فتوى، ولو كنتُ أرى في ذلك خطأً لما سكتُّ عنه!
    ألم يقل محمدٌ رسولُ الله صلى الله عليه وآله الطيبين وجميع المسلمين وسلم:
    [ لولا أخاف أن أشقّ على أمّتي لأمرتُهم بالسّواك عند كل صلاة ]؟ صدق عليه الصلاة والسلام.

    ففي الاستنشاق والمضمضة حكمةٌ بالغةٌ من الله، ذلك
    وإنّما زدتُكم عِلماً عن تمام الوضوء عن مسح القدمين أنّه يقصد فركَها باليد وتخليل أصابع اليد بأصابع القدم كونها توجد نجاسة بين أصابع القدم وخصوصاً الأصابع المضمومة إلى بعضها، وكذلك تقليم الأظافر للرجال والنساء على حدٍّ سواءٍ خصوصاً أظافر اليد، ولا نمنع حامورة أظافر النساء للزينة شرط أن تكون الحامورة على طهارة الأظافر من النجاسة، ولن تمنع حامورة الأظافر إزالة ما علِق على الأظافر من نجاسة من بعد ذلك كون الحامورة أصلاً وُضِعت على ظفرٍ طاهرٍ وما علق مُجدّداً سيكون فوق الحامورة ويزيل ما علِق مجدّداً الوضوء، فعليكم بالوضوء التام.

    وإنّما بيّنتُ لكم نفي مسح القدم كما يزعمون بكفٍّ مبلّلةٍ فقط؛ بل غسلهما، وبيّنت لكم المسح في هذا الموضع للقدمين أنّه يقصد فركَهما باليد كونهما أكثر عُرضة للنجاسه وذلك لبلوغ النظافة، واعلموا أنّ النظافة من الإيمان بما أمركم الله به، فاسمعوا وأطيعوا لعلكم تفلحون، وسلامٌ على المُرسَلين والحمدُ للهِ ربِّ العالمين..

    أخوكم الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
    _____________

    [ لقراءة البيان من الموسوعة ]
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=324999
    اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..
    كُفيــتَ يا قلـــبُ بالنّعيـم تَقربــاً وما كانَ للقلب عن حبّه لَيحيدُ
    وَكلّما مالَت شغافُ القلبِ للدُّنيا كانَ الوريدُ إلى الحَبيب مُريدُ

المواضيع المتشابهه
  1. Kuzidisha Zaidi Katika Kubainisha Swala Kwa Waulizaji Katika Ma Anssar Walio Tangulia Walio Bora..
    بواسطة زينة الإسلام (فارسة الحق) في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 11-03-2019, 10:41 AM
  2. Fatwa Ya Al’Imam Al’Mahdi Kuhusu Zaidi Wanaopatikana Kurepiwa katika wanawake
    بواسطة الراضي برضوان الله في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 23-03-2018, 02:55 PM
  3. Fatwa Ya Al'Imam Al'Mahdi Kuhusu Mwili Ulio Wekwa Kwa Kiti Cha Nabi Allah Suleman ...
    بواسطة الراضي برضوان الله في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 01-03-2018, 06:29 PM
  4. ✅[{(Ma'Bayana Ya Al'Imam Katika Hukmu Ya Wudhu Na Swala Na Wakati
    بواسطة الراضي برضوان الله في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 16-02-2018, 02:10 PM
  5. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 13-02-2018, 09:11 PM
ضوابط المشاركة
  • لا تستطيع إضافة مواضيع جديدة
  • لا تستطيع الرد على المواضيع
  • لا تستطيع إرفاق ملفات
  • لا تستطيع تعديل مشاركاتك
  •