Al’Imam Nasser Muhammad Al’Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
18 - 07 - 1436 هـ
07 - 05 - 2015 مـ
04:40 صباحاً
ـــــــــــــــــــ


لا تتشدّد يا طلحة، وبشّر ولا تنفّر، واتّبع البيان الحقّ للذكر ..


Usiwe Shadidi Ewe Talhat, Na Bashiri Wala Usikimbize, Na Ufwate Bayana Ya Haki Ya Ukumbusho ..


Kushiriki Asili imeandikwa Kwa Njia Ya Talhat Alkher Hisham 3abdulmun3im


Bismillah Al’Rahman Al’Rahim Je itikadi ya waislamu ma Sunni Kwa Maombezi inawatoa kwenye uwislamu kwenda kwenye ukafiri mkuu ambao inakutoa katika mila? Na Jazakum Al’Na3im Al’A3dham Radhi Za Nafsi Yake .. Na Alhamdulillah Rabil3alamin Mwenye Huruma Kuliko Wenye Huruma .


Bismillah Al’Rahman Al’Rahim, Na Salam Juu Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabil3alamin, Ama Bada ya hapo ..
Basi Nasema: Swali Nyuma Yao ewe Talhat wala usiwe katika ma shadidi, Na Bashirieni wala musikimbize, Wala haitabikiki juu yao hukmu ya makafiri kwa Allah wenye akida ya maombelezi; Bali wao ni katika waumini lakini wamevisha imani yao kwa dhulma, Na Atawafanyia hisabu kwa hayo Mola Wao Mlezi Pindi wakitolewa waliomo makaburini na yakapatikana yaliomo vifuani, Wala sio juu yako kutokana na vitendo vao kitu wala sio juu yao kutokana na vitendo vako kitu, Basi Swala Yako Ni Yako Na Swala Yao Ni Yao.


Na ujuwe ewe Talhat kwamba Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani Anaenda Mbio katika ulinganizi wake kwajili ya umoja ya waislamu na kukusanya mtawanyiko wao mngongo wao uinuke basi sikufurishi yoyote moja kati yao, Basi fwata fatwa yetu ya haki mpendwa wangu kwa Allah Talhat, Na Bashiri wala usikimbize na chukuwa kwa kusamehe na uhutubie watu kwa jema na mawaidha mema, Na Wala musondoke misikitini wakati munapo sikia yale yanayo khalifu akida yenu ya haki wakati wa khutba ya Jumaa, Na Muwaombe msamaha ndani ya nafsi zenu na mulizeni Allah uongofu kwa walio potea kwa njia ilio nyoka, Na muswali na wao kama wanavo swali, Basi kitu muhimu zaidi ni iwe swala zenu na uhai wenu na kufa kwenu ni kwajili ya Allah Mola Mlezi wa Ulimwengu Pekeyake Hana Mshirika Nae, Wala Musimombe Mtu Yoyote Pamoja Na Allah Katika waja wake ili awaombeleze kuwaombea shafaa kama Wanavo omba wale ambao wamevisha imani yao kwa dhulma, Na Kuweni ni katika wakushukuru.


Na Salam Juu Ya Mitume, Na Al’Hamdulillah Rabilalamin ..
Ndugu’yenu; Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani .

وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
أخوكم؛ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.




اقتباس المشاركة 188092 من موضوع لا تتشدد يا طلحة، وبشّر ولا تنفّر، واتبع البيان الحقّ للذكر..

[ لمتابعة رابط المشاركة الأصليّة للبيان ]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=188088

الإمام ناصر محمد اليماني
18 - 07 - 1436 هـ
07 - 05 - 2015 مـ
04:40 صباحاً
ـــــــــــــــــــ


لا تتشدّد يا طلحة، وبشّر ولا تنفّر، واتّبع البيان الحقّ للذكر ..

اقتباس المشاركة : طلحة الخيرهشام عبدالمنعم
بسم الله الرحمن الرحيم هل اعتقاد المسلمين السنة بالشفاعة يخرجهم من الإسلام إلى الكفر الأكبر المخرج من الملة ؟ وما حكم الصلاة خلفهم ؟ وجزاكم النعيم الأعظم رضى نفسه.. والحمد لله رب العالمين أرحم الراحمين .
انتهى الاقتباس من طلحة الخيرهشام عبدالمنعم

بسم الله الرحمن الرحيم، وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين، أمّا بعد ..
فأقول: صلِّ وراءهم يا طلحة ولا تكن من المتشددين، وبشروا ولا تنفروا. ولا ينطبق عليهم حكم الكفار بالله أصحاب عقيدة الشفاعة؛ بل هم من المؤمنين ولكنّهم ألبسوا إيمانهم بظلمٍ، ويُحاسبهم على ذلك ربّهم إذا بُعثِر ما في القبور وحُصِّل ما في الصدور، وليس عليك من عملهم شيء وليس عليهم من عملك من شيءٍ، فصلاتك لك وصلاتهم لهم.

واعلم يا طلحة أنّ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني يسعى في دعوته إلى وحدة صفوف المسلمين ولمّ شملهم لتعود شوكتهم فلا نكفِّر أحداً منهم، فاتّبع فتوانا الحقّ حبيبي في الله طلحة. وبشِّروا ولا تنفِّروا وخذوا بالعفو وخاطبوا الناس بالحسنى بالموعظة الحسنة، ولا تنصرفوا من المساجد حين تسمعوا ما يخالف لعقيدتكم الحقّ أثناء خطبة الجمعة، واستغفروا لهم في أنفسكم وسلوا الله الهداية للضالين عن الصراط المستقيم، وصلّوا معهم كما يصلون. فأهم شيءٍ أن تكون صلاتُكم ومحياكم ومماتكم لله ربّ العالمين وحده لا شريك له، ألا لله الدين الخالص، فأهم شيءٍ عند الله الإخلاص لله وحده، ولا تدعوا مع الله أحداً من عباده ليشفع لكم كما يدعوا الذين ألبسوا إيمانهم بظلمٍ، وكونوا من الشاكرين.

وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
أخوكم؛ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
___________


اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..