Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani

الإمام ناصر محمد اليماني
16 - ربيع الأول - 1438 هـ
15 - 12 - 2016 مـ
05:18 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
( Kulingana Na Kalenda Rasmi Ya Mama Wa Vijiji )
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=29434
ــــــــــــــــــــ


تحذيرٌ ونذيرٌ وبشيرٌ بنصرٍ كبيرٍفاستجيبوا لأمر الله يا معشر المسلمين وادخلوا في السلم كافةً للاستعداد لنفير قتالِ عدو الله وعدوّكم وجنودِه
Tahadharisho Na Onyo Na Bishara Kwa Nusra Karibuni Basi itikieni Amri Ya Allah Enyi Ma3ashara Ya Waislamu Na Muingie Kwenye Uwislamu Nyote Kujitayarisha Kutoka Kupigana Na Aduwi Wa Allah Na Aduwi Wenu Na Wana'Jeshi Wake...


Enyi Waislamu Enyi Waislamu Enyi Waislamu Sayari Ya Adhabu imekurubia Sayari Ya Adhabu imekurubia, Basi Mcheni Allah Enyi Wenye Akili Na Muitikie Kwa Mwaliko Wa Kuhukumiwa Kwa Kitabu Al'Quran Al3adhim, Na Muzingatie Na Adhabu Ya"Altanawush" Mvutano Kwa Sababu Ya Kukurubia Sayari Ya Adhabu Saqar,

Bismi Allah Al'Wahid Al'Qahar, Enyi Waislamu Enyi Waislamu Enyi Waislamu Sayari Ya Adhabu imekurubia Sayari Ya Adhabu imekurubia, Basi Mcheni Allah Enye Wenye Akili Na Muitikie Mwaliko Wa Kuhukumiwa Kwa Kitabu Allah Al'Quran Al3adhim, Na Muzingatie Na Adhabu Ya Al'Tanawush Mvutano Kwa Sababu Ya Kukurubia Sayari Ya Adhabu Saqar Moto Kabla Hajawangamiza Pamoja Na Ma'Shetani Watu Katika Wale Ambao imefika Asili 50% idadi Yao Katika Zama Hizi Na Walio Bakia Ni Makafiri Wako Kwenye Upotevu Ama Waislamu Wamepotea Na Kidogo Katila Waongofu, Na Nasema Kwa Waislamu Na Je Muna'Amini Kwa Kauli Ya Allah Ta3ala:
بقول الله تعالى:
{وَلَوْ تَرَىٰ إِذْ فَزِعُوا فَلَا فَوْتَ وَأُخِذُوا مِن مَّكَانٍ قَرِيبٍ ﴿٥١﴾ وَقَالُوا آمَنَّا بِهِ وَأَنَّىٰ لَهُمُ التَّنَاوُشُ مِن مَّكَانٍ بَعِيدٍ ﴿٥٢﴾ وَقَدْ كَفَرُوا بِهِ مِن قَبْلُ ۖ وَيَقْذِفُونَ بِالْغَيْبِ مِن مَّكَانٍ بَعِيدٍ ﴿٥٣﴾ وَحِيلَ بَيْنَهُمْ وَبَيْنَ مَا يَشْتَهُونَ كَمَا فُعِلَ بِأَشْيَاعِهِم مِّن قَبْلُ ۚ إِنَّهُمْ كَانُوا فِي شَكٍّ مُّرِيبٍ ﴿٥٤﴾} صدق الله العظيم [سبأ].

Allah Ta3sla Asema:{Na lau ungeli ona watapo babaika, basi hapana pa kukimbilia! Na itawapitia mahala pa karibu(51)Na watasema: Tunaiamini! Lakini Wapi Kwao Ulipo Kua Mvutano kutoka huko mahala mbali(52)Na hapo kabla yake waliikataa, na wakiyatupilia mbali maneno ya ghaibu kutoka mahali mbali(53)Na watatiliwa kizuizi baina yao na hayo wanayo yatamani, kama walivyo fanyiwa wenzao zamani. Hakika hao walikuwa na shaka ya kutia wasiwasi(54)}Sadaqa Allah Al3adhim[Sabaa].


Basi ikiwa Jawabu Kutoka Kwa Waislamu" Na Vipi Tusiamini Kwa Hi Kauli Na imetoka Kwa Mola Mlezi Wa Ulimwengu Tunaipata Katika Muhakam Al'Quran Al3adhim", Na Alafu Nasmamisha JuuYa Waislamu Hoja Na Nasema: Kwa Hivo Mumejua Kua iko Hatman "Al'Tanaush" Mvutano Baina Ya Ardhi Na Sayari Ya Adhabu Kabla Kupita Kwake Katika Mbingu Ya Ardhi Ya Watu, Alaa Kua Kubadilika Katika Manakh Hali Ya Hewa Yake Na Kijolojia Na Kahramagnatisia Ki'Umeme Na Falaki Angani Kwa Sababu Ya Kupatikana"Al'Tanaush"Mvutano Kutoka Kwa Sayari Ya Adhabu Pamoja Na Juwa Na Mwezi Na Ardhi, Na Je Munataka Kuweka Imani Yenu Na Kufwata Ukweli Kutoka Kwa Mola Wenu Mlezi Mpaka Iwachukuwe Pamoja Na Mashetani Watu Kutoka Mahali Karibu, Ama Awadhibu Pamoja Na Makafiri Kwa Adhabu Ya Kujuta? Na Je Munajua Kua Sayari Ya Saqar inatafautiana Na Sayari Zote? Hivi Hamujuwi Kua Yangalia Kilomo Ndani Ya Moyo Zenu Wakati Anapo Taka Allah Basi Itaona Nyoyo Zinazo Ngara Na itaona Nyoyo Zinao Kiza Na Itarusha Tete Kama Kasri, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ (1) الَّذِي جَمَعَ مَالًا وَعَدَّدَهُ (2) يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُ أَخْلَدَهُ (3) كَلَّا ۖ لَيُنبَذَنَّ فِي الْحُطَمَةِ (4) وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْحُطَمَةُ (5) نَارُ اللَّهِ الْمُوقَدَةُ (6) الَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى الْأَفْئِدَةِ (7)} صدق الله العظيم [الهمزة].

Allah Ta3ala Asema:{Ole wake kila safihi, msengenyaji(1 )Aliye kusanya mali na kuyahisabu(2) Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele(3)Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama(4) Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama(5)Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa(6) Ambao unapanda nyoyoni(7) Hakika huo utafungiwa nao(8) Kwenye nguzo zilio nyooshwa(9)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alhumaza].

Hivi Hamjuwi Kua inampenda Allah Mapenzi Makuu? Kwajili Ya Hivo inampenda Mwenye Kupendwa Na Allah Na inamchukia Anae Chukiwa Na Allah, Basi Nayo Inapenda Kwajili Ya Allah Na inachukia Kwajili Ya Allah Na Ina Chuki Juu Ya Ma'Aduwi Wa Allah Chuki Kuu.

Na Enye Ma3ashara Ya Wakanushaji, Na Je Hivi Mwaona Mwaweza Kuirudisha Wakati inapo Pita Juu Ya Mbingu Ya Ardhi Yenu? Na Je Munaona Munawza Kurudisha Juwa Juu Ya Ardhi Yenu Ikiwa Litakurubia Kwenye Ardhi Yenu? Kadhalika Sayari Ya Saqar Moja Kati Ya Makubwa! inapambazuka Juu Ya Ardhi Ya Watu Upande Wa Kusini Mwa Ardhi Na inazama Upande Wa Kazkazini Mwake, Na Mujuwe Kupambazuka Kwake Na Kuzama Kwake Sio Kama Baki Ya Ma'Sayari Mingine Na Juwa Na Mwezi Sababu Ya Mzunguko Wa Ardhi Kujizungukia Nafsi Yake; Bali Sababu Ya Kupambazuka Kwa Sayari Saqar Juu Ya Ardhi Ya Watu Kwa Sababu Ya Kutembea Kwake Kwenye
Anga Yake Anga Ya Polar Basi itapambazuka Kwa Watu Kutoka Kwa Kusini Mwa Ardhi Na itazama Kwa Upande Wa Kazkazini Mwake Kwa Upande Wa Nyota Ya Kushoto Polar Kwa Kidogo, Hivi Hamjuwi Ni Yenye Rangi Tatu Manjano Na Nyekundu Na Nyeusi? Basi Rangi Yake Ni Sehemu Tatu, Basi Haiwasaidi Juu Yenu Ma'Sayari Nyingine Chini Yake Kutokan Na Mroromo Wake, Na Inarusha Tete Kama Kasrii, Na Mwa'Dhani Vipi Utisho Wake Siku itakapo Piata?

Na Khitamu Ya Bayana Yangu Hi Nasema: Hakika Lana Ya Allah Juu Ya Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani ikiwa Ni Mrongo Mwenye Shari Anadangaya Watu Kwa Kupita Sayari Ya Moto Katika Zama Zangu Na Zama Zenu Katika Umma Huu, Ama Lana Ya Allah Juu Ya Mwenye Kukata Na Kufanya Kiburi Kwa Kufwata Ukumbusho Al'Quran Al3adhim? Basi Muzingatie Enyi Ma3ashara Ya Waislamu Kutokana Na Adhabu Ya Mvutano Sawa iwe Ni Ma'Zilzala Uonyaji Nyingi Huwenda isitangaze Ma'Chanel Za Habari ispokuwa Kido Kati Yake, Ama Zilzala inao Bomoa itangaze Ma'Chanel Za Habari, Ama Bahari inao Fura, Ama vimondo Ama Maburkani Ama Sawaika inampata Anae Taka Na inamwepuka Anae Mtaka, Ama Mapande Ya Majabali Ya Barafu itampata Anae Mtaka Na itamwepuka Anae Mtaka, Basi Yote Hayo Ni Adhabu Ya Allah Al'Wahid Al'Qahar, Basi Musiseme Ni Majanga Ya Kiasili Kama Mfano Ya Kauli Ya Makafiri; Bora Kwenu, Basi Musikanushe Kua Allah Ndio Anae Dominant Kuendesha Na Kudhibiti Juu Ya Mamlaka Yote! Na Ametukuka Kwa Wanao'Mshirikisha 3uluwan Kabiran !


Na Nawakumbusha Waumini Kwa Amri Ya Allah Juu Yao Katika Muhakam Al'Quran Al3adhim Katika Zama Za Kutumilizwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani Na Nwa'Hadharisha Viongozi Wa Ma'Viyama Vao Na Wafwasi Wao Kutokana Na Mwisho Wa Kukata Amri Ya Allah Juu Yao Kusmamisha Kupigana Baina Ya Waumini Na Kuwa Waingie Kwenye Uwislamu Wote ili ismame Umwagaji Damu Ya Waislamu Kuwafanya Safu Moja, Kusadikisha Kwa Amri Ya Allah Katika Muhakam Ya Kitabu Chake Al'Quran Al3adim Katika Kauli Yake Allah Ta3ala:
تصديقاً لأمر الله في محكم كتابه القرآن العظيم في قول الله تعالى:
{وَإِذَا قِيلَ لَهُ اتَّقِ اللَّهَ أَخَذَتْهُ الْعِزَّةُ بِالْإِثْمِ ۚ فَحَسْبُهُ جَهَنَّمُ ۚ وَلَبِئْسَ الْمِهَادُ (206) وَمِنَ النَّاسِ مَن يَشْرِي نَفْسَهُ ابْتِغَاءَ مَرْضَاتِ اللَّهِ ۗ وَاللَّهُ رَءُوفٌ بِالْعِبَادِ (207) يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا ادْخُلُوا فِي السِّلْمِ كَافَّةً وَلَا تَتَّبِعُوا خُطُوَاتِ الشَّيْطَانِ ۚ إِنَّهُ لَكُمْ عَدُوٌّ مُّبِينٌ (208) فَإِن زَلَلْتُم مِّن بَعْدِ مَا جَاءَتْكُمُ الْبَيِّنَاتُ فَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ عَزِيزٌ حَكِيمٌ (209)} صدق الله العظيم [البقرة].


Allah Ta3ala Asema:{Na akiambiwa: Mwogope Mwenyezi Mungu, hupandwa na mori wa kutenda madhambi. Basi huyo inamtosha Jahannam. Paovu mno hapo kwa mapumziko(206) Na katika watu yupo ambaye huiuza nafsi yake kwa kutaka radhi za Mwenyezi Mungu; na Mwenyezi Mungu ni Mpole kwa waja wake(207) Enyi mlio amini! Ingieni katika Uislamu kwa ukamilifu, wala msifuate nyayo za She'tani; hakika yeye kwenu ni adui aliye wazi(208) Na ikiwa mkateleza baada ya kukufikieni hoja zilizo wazi, basi jueni kuwa Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu na Mwenye hikima(209)} Sadaqa Allah Al3adhim[ Albaqara].

Ewe Mola Wangu Mlezi Nimebalighisha Ewe Mola Wangu Mlezi Basi Shuhudia, Na Salam Juu Ya Mitumi, Na Alhamdulillah Rabi Al3alamin..
Ndugu Yenu Al'imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
_______________