Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani

-1-
[ لمتابعة رابط المشاركـــــــــــــة الأصليّة للبيــــــــــــــان ]
الإمام ناصر محمد اليماني
20 - 09 - 1434 هـ
27 - 07 - 2013 مـ
01:14 صبـاحاً
ـــــــــــــــــــــــ

الردّ على من يزعم أنّه هاشميٌّ معتَبرٌ من آل البيت المطَّهر وهو من شياطين البشر من الذين يُظهرون الإيمان ويُبطنون المكر ليصدّوا البشر عن اتّباع الذكر ..

Kurudisha Jibu Kwa Yule Ambae Anajita Hashimi Mu'utabaron Kutoka Al'Albeyt Walio'Tahirika Na Yeye Ni Katika Ma'Shetani Watu Katika Wale Wanao Dhirisha imani Na Wanaficha Mbinu ili Wazuwie Watu Kwa Kutofwata Ukumbusho..

Bismi Allah Al'Rahman Al'Rahim, Na Sala Na Salamu Juu Ya Wote Ma'Nabi Wa Allah Na Mitumi Wake Na Ahli Yao Walio Tahirika. Kutoka Mwanzo Wao Mpaka Khatim Wao Muhammad Mtume Wa Allah, Enyi Ambao Mulio'Amini Swalu Alihi Wa Salimu Tasliman, Ama Bada Hapo..


Na Ewe Ambae Adai Kua Yeye Ni Al'Hashimi Mu'Utabirun! Na Wala Hakua Katika Al Al'Beyti Walio Tahirika Bali Ni Katika Ma'Shetani Watu Katika Wale Wanao Dhihirisha imani Na Wanaficha Ukafiri Na Mbinu ili Wazuwie Watu Kwa Bayana Ya Haki Ya Ukumbusho, Na Ametujia ili Azuwie Kufwata Al'Mahdi Al'Muntadhar Na Anataka Kuvisha Haki Kwa Batili Na Akanushe Al'Bayan Al'Haq Ya Al'Quran Al3adhim, Na Anakata Awe Al'Rahman Hakimu Baina Wanao'ikhtalifiana Kutoka Muhakam Al'Quran Kwa Kua Al'Mu'utabar Anakata Kupitisha Ma'Hadithi Juu Ya Muhakam Ya Ukumbusho Na Anatoa Fatwa Kua Ukweli Ni Kila Mwenye Kujitahidi Ana Pato! Basi Aseme Juu Ya Allah Kutoka Kwa Nafsi Yake, Na Alafu Anasema:( Basi Nikipata Ni Kutoka Kwa Allah Na Nikikosa Ni Kutoka Nafsi Yangu Na Shetan)! Eee Wallah Hakika Hawakupotea Ma'Umma ila Kwa Sababu Ya Wale Walio Kuwa Kama Shakliyako Munaona Haki Ni Batil Na Batil Ni Haki.


Na Ewe Mu'Utabir Na Hakua Katika Al Albeyt Al'Mutahar- Basi Usizuwie Kwa Al'Bayan Al'Haq Ya Ukumbusho Basi Atakuadhibu Allah Adhabu Mbaya, Basi Mche Mungu Al'Wahid Al'Qahar Kabla Hawujatangulia Usiku Mchana Siku Itakapo Fika Nyoyo Kwenye Koo,

Na Ewe Mu'Utabir, Mimi Nakuona Unakata iwe Muhakam Al'Quran Ndio Maregeo ili ikashifu Ma'Hadithi Ambazo Ni Urongo Juu Ya Al'Nabi, Na Ewe Mwanamume, Na Je Umefahamu Fatwa Ya Al'Mahdi Al'Muntadhar Kua Nyinyi Mukitaka Kukashifu Ma'Hadithi Za Urongo Ju Ya Al'Nabi Basi Zipitisheni Juu Ya Muhakam Alkitab Basi Ambao Katika Hizo Ni Batili imezushwa Basi Mutapata Baina Yake Na Baina Ya Muhakam Al'Quran Utakuta ikhtilafu Nyingi Mno? Alaa Wallah Lau Nitakuta Ma'Hadithi Mapokezi Yake Ni Mutawatira Yani Wapokezi Wake Wanategemewa Kuhusu Kutumilizwa Al'Mahdi Al'Muntadhar; Na Basi Lau Tutakazo Pata ZimeKuja imekhalifu Muhakamu Ya Ukumbusho Nige'ibomoa Kuibomoa Na Umekua imamu Wa Umma Na Ukakanusha Kutumilizwa Al'Mahdi Al'Muntadhar, Lakini Hazi'Khalifu Muhakam Al'Quran Mpaka Nizibomowe Bali Haikhalifu Nae Kwa Kitu, Na Ewe Mwanamume ila Tu Nakanusha Mahadithi Ambazo Zimekuja Zina'Khalifu Kwa Muhakam Al'Quran Al3adhim Kwakua Hadithi Ya Kweli Ama iwe ije imetabikiana Na Yale Yalio Kuja Katika Al'Quran Ama Haikhalifu Al'Quran, Na Kuhusu Hadithi Hazikukhalifu Al'Quran Katika Kitu Basi Itatimu Kuirudisha Kwa Akili Kwakua Haitokimbizana Na Akili, Ama Mahadithi Ambazo Zimezushwa Basi Nazo Zinakuja Zimekhalifu Muhakam Al'Quran Al3adhim.


Na Ewe Mwanamume, Basi Hakika Mimi Nakuona Ni Katika Wale Ambao Hawatohidika Katika Wale Ambao Haitowaongeza Bayana Ya Haki ispokua Rijsi Ju Ya Rijsi Yao, Na Kadhalika Nasema:" Hakika Al'imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Amemzulia ifki Juu Ya Allah Kua Yeye Ana Majuto Kwa Nafsi Yake Juu Ya Waja Wake Walio Pata Majuto


Na Nasema: Bali Hakika Kua Allah Ni Mwenye Huruma Zaidi Kuliko Wenye Huruma, Basi Na Ndani Ya Nafsi Yake Majuto Na Huzuni kuu Ju Ya Waja Wake Wanao Juta Kwa Yale Walio Poteza Kwa Upande Wa Mola Wao Mlezi, Aku'Uwe Allah Ewe Aduwi Wa Allah, Basi Wallahi Wewe Unastahiki Nikuite Kwenye Mubahala Kuapizana Baina Yngu Na Baina Yako Lakini Ba'Ada Nikusmamishie Hoja Juu Yako Nithibitishe Kua Wewe Ni Katika Wale Ambao Hawaongoki Na Kua Wewe Ni Katika Wanao Zuwia Kuchukuwa Ridhwan Allah Ndio Lengo, Alakuli Hali Si Wa'Amini Kua Allah Ni Arhama Al'Rahimin Mwenye Huruma Zaidi Kuliko Wenye Huruma? Na Vipi Asiwe Ana Majutu Na Huzuni Hana Furaha Juu Ya Waja Wake Wale Ambao Wamekua Wna Majuto Kwa Walio Poteza Kwa Upande Wa Mola Wao Mlezi? Na Alhamdulillah Kwa Yule Ambae Amefanya Hi Fatwa Katika Muhakam Ya Kitabu Chake:
{ وَمَا أَنْزَلْنَا عَلَى قَوْمِهِ مِنْ بَعْدِهِ مِنْ جُنْدٍ مِنَ السَّمَاءِ وَمَا كُنَّا مُنْزِلِينَ (28) إِنْ كَانَتْ إِلَّا صَيْحَةً وَاحِدَةً فَإِذَا هُمْ خَامِدُونَ (29) يَا حَسْرَةً عَلَى الْعِبَادِ مَا يَأْتِيهِمْ مِنْ رَسُولٍ إِلَّا كَانُوا بِهِ يَسْتَهْزِئُونَ (30) أَلَمْ يَرَوْا كَمْ أَهْلَكْنَا قَبْلَهُمْ مِنَ الْقُرُونِ أَنَّهُمْ إِلَيْهِمْ لَا يَرْجِعُونَ (31)وَإِنْ كُلٌّ لَمَّا جَمِيعٌ لَدَيْنَا مُحْضَرُونَ (32)} صدق الله العظيم [يس].
Allah Ta3ala Asema:
{Na hatukuwateremshia kaumu yake baada yake jeshi kutoka mbinguni, wala si wenye kuteremsha(28) Hakukuwa ila ukelele mmoja tu; na mara walizimwa(29) Nawasikitikia waja wangu. Hawajii Mtume ila wao humkejeli(30) Je! Hawaoni umma ngapi tulizo ziangamiza kabla yao? Hakika hao hawarejei tena kwao(31) Na hapana mmoja ila wote watakusanywa waletwe mbele yetu(32)}Sadaqa Allah Al3adhim[Yasin].

Na Vipi Anasema;
{يَا حَسْرَةً عَلَى الْعِبَادِ} {Nawasikitikia waja wangu}, Na Alafu Munabadilisha Maneno Kutokana Na Mhala Pake Basi Munasema Ila Anakusudia Wanaskitika Juu Ya Nafsi Zao? Alafu Nasema Enyi Munao Potosha Maneno Kutoka Pahala Pake; Na Lakini Amesema Tayari Allah Ta3ala:
قالاللهتعالى: {يَاحَسْرَةًعَلَىالْعِبَادِ} {يَاحَسْرَةًعَلَىالْعِبَادِ} {يَاحَسْرَةًعَلَىالْعِبَادِ} {يَاحَسْرَةًعَلَىالْعِبَادِ} {يَاحَسْرَةًعَلَىالْعِبَادِ} {يَاحَسْرَةًعَلَىالْعِبَادِ}......
Allah Ta3ala Asema:
{{Nawasikitikia waja wangu} {Nawasikitikia waja wangu} {Nawasikitikia waja wangu} {Nawasikitikia waja wangu} {Nawasikitikia waja wangu} Nawasikitikia waja wangu}.....
Na Mbona Munabadilisha Neno Kutoka Pahala Pake inao Kusudiwa? Na Wala Sikanushi Kua Waja Wanaojuta Hivo Hivo Wanaskitika Kwa Yale Walio Poteza Kwa Upande Wa Mola Wao Mlezi, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى:
{أَن تَقُولَ نَفْسٌ يَا حَسْرَتَا عَلَىٰ مَا فَرَّطتُ فِي جَنبِ اللَّهِ وَإِن كُنتُ لَمِنَ السَّاخِرِينَ (56)} صدق الله العظيم [الزمر:56]
Allah Ta3ala Asema:
{Isije ikasema nafsi: Ee majuto yangu kwa yale niliyo poteza upande wa Mwenyezi Mungu, na hakika nilikuwa miongoni mwa wanao fanya maskhara} Sadaqa Allah Al3adhim [Alzumur:56].

Na Ama Al'Rahman Al'Rahim Basi Yeye Ana Huzuni Juu Ya Waja Wake Wale Ambai Wamekua Wanajuta Kwa Yale Walio Poteza Kwa Upande Wa Mola Wao Mlezi Ba'Ada Kuonja Adhabu Chungu, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى:
{إِنْ كَانَتْ إِلَّا صَيْحَةً وَاحِدَةً فَإِذَا هُمْ خَامِدُونَ (29) يَا حَسْرَةً عَلَى الْعِبَادِ مَا يَأْتِيهِمْ مِنْ رَسُولٍ إِلَّا كَانُوا بِهِ يَسْتَهْزِئُونَ (30) أَلَمْ يَرَوْا كَمْ أَهْلَكْنَا قَبْلَهُمْ مِنَ الْقُرُونِ أَنَّهُمْ إِلَيْهِمْ لَا يَرْجِعُونَ (31) وَإِنْ كُلٌّ لَمَّا جَمِيعٌ لَدَيْنَا مُحْضَرُونَ (32)}صدق الله العظيم.
Allah Ta3ala Asema:
{Na hatukuwateremshia kaumu yake baada yake jeshi kutoka mbinguni, wala si wenye kuteremsha(28) Hakukuwa ila ukelele mmoja tu; na mara walizimwa(29) Nawasikitikia waja wangu. Hawajii Mtume ila wao humkejeli(30) Je! Hawaoni umma ngapi tulizo ziangamiza kabla yao? Hakika hao hawarejei tena kwao(31) Na hapana mmoja ila wote watakusanywa waletwe mbele yetu(32)}Sadaqa Allah Al3adhim[Yasin].

Na Natoa Fatwa Kwa Haki Kua Yule Ambae Ajita Nafsi Yake Al'Hashimi Al'Mu'Utabar Hakua Ni Katika Al Albeyt Al'Mutahar; Bali Ni Katika Mashetani Watu Katika Wale Wanao Dhihirisha Imani Na Kuficha Ukafiri ili Wazuwie Kwa Ukumbusho Watowe Fatwa Kua Haki Ni Batili Na Batili Ni Haki, kwa Kila Hali imeharamishwa Juu Ya Wasmamizi Kua Wasimfute Huyu Shetani Kivovote Anavo Tukana Ama Ametusi Mpaka Nismamishe Juu Yake Burhan Kutoka Muhakam Al'Quran Niyamazishe Ndimi Yake Kunyamazisha, Na Hato Ongoka Kwa Hivo Kabisa.

Alaa Wallah Lau Nige Bainisha Kwake Bayana Ya Kitabu Chote Na Akawa Na Yakini Kwa Bayana Ya Al'Quran Yote Basi Yeye Haito'Mongeza Ispokua Rijsi Juu Ya Rijsi Yake, Na Ataenda Kuhukumu Allah Baina Yangu Na Baina Yake Kwa Haki Na Yeye Ni Mbora Wa Kuamuwa.

Na Salamon Juu Ya Mitumi, Na Al'Hamdulillah Rabi Al3alamin..
Aduwi Mkubwa Wa Mashetani Watu Wale Ambao Wanadhihirisha imani Na Wanaficha Ukafiri Na Mbinu ili Wazuwie Watu Kwa Kuto Fwata Ukumbusho; Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani.
ـــــــــــــــــــ


Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani

محمد اليماني
21 - 09 - 1434 هـ
28 - 07 - 2013 مـ
08:32 صبـاحاً
ـــــــــــــــــــــــ

{ وَلَوْ نَشَاءُ لَأَرَيْنَاكَهُمْ فَلَعَرَفْتَهُمْ بِسِيمَاهُمْ وَلَتَعْرِفَنَّهُمْ فِي لَحْنِ الْقَوْلِ وَاللَّهُ يَعْلَمُ أَعْمَالَكُمْ }
صدق الله العظيم ..
{Na Lau Tungetaka Tungekuonesha Wao Ungewajua Kwa Alamazao Na Ungewajua Katika Mazungumzo Yao Na Allah Ajua Vitendo Venu} Sadaqa Allah Al3adhim..
_______________

Bismi Allah Al'Rahman Al'Rahim, Na Sala Na Salam Juu Ya Wote Ma'Nabi Wa Allah Na Mitume Wake Na Ali Zao Na Wanao Fwata Njia Zao Mpaka Siku Ya Dini, Ama Bada Ya Hapo..

Na Ewe Mu'Utabir Katika Mashetani Watu, Na Je Ma'Hadithi Ya Kutumilizwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Zimekuja Zimekhalifu Muhakam Ya Ukumbusho? Kwa Kua Wewe Unaponda Kwa Msingi Wa Muhakam Ya Kitabu ili ikashifu Mahadithi imekadhibu Ambao Sio Kutoka Kwa Allah Kwakua Ma'Hadithi Ya Sunna Ya Bayana Kadhalika Ni Kutoka Kwa Al'Rahman, Na Haitakiwi Kwa Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Kua Atamke Kwa Dini Ya Allah Kwa Matamanio Kutoka Nafsi Yake, Kwajili Ya Hivo Akasema Allah Ta3ala:
قال الله تعالى:
{فَإِذَا قَرَأْنَاهُ فَاتَّبِعْ قُرْآنَهُ ﴿١٨﴾ ثُمَّ إِنَّ عَلَيْنَا بَيَانَهُ ﴿١٩﴾} صدق الله العظيم [القيامة].
Allah Ta3ala Asema:{Tunapo usoma, basi nawe fuatiliza kusoma kwake(18) Kisha ni juu yetu kuubainisha(19)} Sadaqa Allah Al3adim [Alqiyama].


Basi Nini Hio Bayana? Ni Ma''Hadithi za Haki Katika Sunna Ya Bayana kwa Muhanmad Mtume Wa Allah sallah Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Anaiteremsha Allah Kuifafanua Ma'Aya Katika Al'Quran Basi Aifanye Maelezo Katika Ma'Hadithi Sunna Ya Bayana Kwa Ulimi Wa Mtume Wake, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {وَأَنزَلْنَا إِلَيْكَ الذِّكْرَ لِتُبَيِّنَ لِلنَّاسِ مَا نُزِّلَ إِلَيْهِمْ وَلَعَلَّهُمْ يَتَفَكَّرُونَ} صدق الله العظيم [النحل:44].
Allah Ta3ala Asema:{Na Tukateremsha Kwako Ukumbusho ili Ubainishe Kwa Watu Yale Yalio Teremshwa Kwao Na Huwenda Wakatafakari} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnahal;44].

Na Kwa Njia Ya Mfano Amesema Allah Ta3ala;
قال الله تعالى: {هُوَ الَّذِي أَرْسَلَ رَسُوله بِالْهُدَى وَدِين الحقّ لِيُظْهِرهُ عَلَى الدّين كُلّه وَلَوْ كَرِهَ الْمُشْرِكُونَ} صدق الله العظيم [التوبة:33].
Allah Ta3ala Asema:{Yeye Ndio Ambae Alie Mtuma Mtumi Wake Kwa Uongofu Na Dini Ya Haki ili Aidhihirishe Juu Ya Dini Zote Hata Kama Watachukia Washirikina} Sadaqa Allah Al3adhim [Altauba:33].
Na Hi Ni Wa'Adii Ya Allah Kwa Mtumi Wake Muhammad Kua Ataidhihiri Dini Ya Kislamu Juu Ya Dini Zote Katika Ulimwengu Basi itakua Neno La Allah Ndio Liko Juu Na Anahukumu Na Hio Ulimwengu Kwa Yale Alio Teremsha Allah Katika Muhakam Al'Quran Al3adhim Na Hata Lau Watachukia Washirikina, Na Alafu Akawafundisha Mtumi Wake Katika Ma'Hadithi Ya Sunna Ya Bayana Vipi itakua Kusadikisha Hi Wadi Kutoka Kwa Allah Ambae Hakhalifu Wa'adi Wake, Kwajili Ya Hivo Amesema Aleyhi Alsalat Wa Alsalam:
قال عليه الصلاة والسلام: [أبشركم بالمهدي يُبعث في أمتي على اختلاف من النّاس وزلازل، فيملأ الأرض قسطاً كما مُلئت جوراً وظلماً].
Akasema Aleyhi Alsallat Wa Salam:[ Nwabashiria Kwa Al'Mahdi Atatumilizwa Katika Umma Wangu Juu Ya ikhtilafu Ya Watu Na Zilzala, Basi Ataeneza Kwenye Ardhi Usawa Kama Kulivo Enea Maonevu Na Dhulma].

Akasema Muhammad Mtume Wa Allah Sallah Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam:
وقال محمد رسول الله صلّى الله عليه وآله وسلّم: [لا تذهب الدنيا حتى يبعث الله تعالى رجلاً من أهل بيتي يواطئ اسمه اسمي، فيملأ الأرض عدلاً وقسطاً كما مُلئت ظلماً وجوراً].
Asema Mtumi Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam:[ Haito Ondoka Dunia Mpaka Amtumilize Allah Mwanamume Kutokana Na Ahli Wa Nyumba Yangu inawafikiana Jina Lake Jina Langu Ataeneza Ardhi Uwadilifu Na Usawa Kama Kulivo Jawa Na Maonevu Na Dhulma].


Basi Hadithi Hi imekuja Kusadikisha Waadi Wa Allah Katika Muhakam Ya Kitabu Chake Kua Hukmu Ya Allah Basi italinda Juu Ya Wote Watu Kwa Nuur Ya Allah Basi ihukumu Kwa Watu Wa Ardhi Kwa Yale Alio Teremsha Allah Basi Atajaza Katika Ardhi Uwadilifu Kama Kulivo Ja maonevu Na Dhulma. Basi Hio Ndio Bayana kaulo Yake Allah Ta3ala:
قول الله تعالى: {{هُوَ الَّذِي أَرْسَلَ رَسُولَهُ بِالْهُدَى وَدِينِ الحقّ لِيُظْهِرَهُ عَلَى الدّين كُلِّهِ وَ كَفَى بِاللَّهِ شَهِيداً}} صدق الله العظيم [الفتح:28]
Allah Ta3ala Asema:{ Yeye Ndio Ambae Alie Mtuma Mtumi Wake Kwa Uongofu Na Dini Ya Haki ili Aidhihirishe Juu Ya Dini Zote Na Tosha Kwa Allah Kua Shahidi} Sadaqa Allah Al3adhim [Al'Fath:28].


Basi Hio Ni Waadi Kutoka Kwa Allah Atatumiliza Mwanamume Basi Atamfanya Nasseran Li Muhammad Mtumi Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Basi Ataidhihirisha Naae Dini yake Juu Ya Dini Zote Katika Ulimwengu Akaifanya Hukmu Ya Haki Baina Ya Waja Wake, Na Tayari imekuja Waadi Wa Kutimiza Nuur Ya Allah Katika Ulimwengu, Lakini Muutabir Ni Katika Wale Ambao Wanataka Kuzima Nuur Ya Allah! Na Tunatosheka Kwa Jawabu Kutoka Kwa Mola Mlezi Kutoka Kwa Muhakam Ya Kitabu Juu Ya muutabir Na Mafano Wake Katika Ma'Shetani Watu, Aksema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {يُرِيدُونَ أَنْ يُطْفِئُوا نُورَ اللَّهِ بِأَفْوَاهِهِمْ وَيَأْبَى اللَّهُ إِلَّا أَنْ يُتِمَّ نُورَهُ وَلَوْ كَرِهَ الْكَافِرُونَ (32)} صدق الله العظيم [التوبة]،].
Allah Ta3ala Asema:{Wanataka Kuzima Nuur Ya Allah Kwa Midomo Yao Na Anakata Allah ila Atimize Nuur Yake Hata Kama Watachukia Makafiri(32)} Sadaqa Allah Al3adhim[Altauba:32], Na Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {يُرِيدُونَ لِيُطْفِئُوا نُورَ اللَّهِ بِأَفْوَاهِهِمْ وَاللَّهُ مُتِمُّ نُورِهِ وَلَوْ كَرِهَ الْكَافِرُونَ} صدق الله العظيم [الصف:8].
Allah Ta3ala Asema:{Wanataka ili Wazime Nuur Ya Allah Kwa Midomo Yao Na Allah Atatimiza Nuur Yake Hata Kama Watachukia Makafiri}Sadaqa Allah Al3adhim[Alsaf:8].

Na Hio Ni Waadi Kutoka Kwa Mola Mlezi Wa Ulimwengu Atamtumiliza Nasser Muhammad, Na Labda Anataka Al'Muutabir Kusema:"Taratibu Taratibu Ewe Nasser Muhammad, Basi ikowapi Dalili Kwa Kutumilizwa Nasser Muhammad?" Na Alafu Narudisha Juu Yake Kwa Haki Na Niseme: Basi Nini Kinacho Kusudiwa Kwa Waadi Wa Allah Katika Muhakam Ya Kitabu Chake Katika Kauli Yake Ta3ala:
في قوله تعالى: {هُوَ الَّذِي أَرْسَلَ رَسُولَهُ بِالْهُدَى وَدِينِ الحقّ لِيُظْهِرَهُ عَلَى الدّين كُلِّهِ وَ كَفَى بِاللَّهِ شَهِيداً} صدق الله العظيم

Allah Ta3ala Asema:{Yeye Ndio Ambae Alie Mtuma Mtumi Wake Kwa Uongofu Na Dini Ya Haki ili Aidhihirishe Juu Ya Dini Zote Na Tosha Kwa Allah Kua Shahidi} Sadaqa Allah Al3adhim? Hivi Hi Si Waadi Kwa Mtume Wake Kua Atadhihirisha Amri Yake Juu Ya Dini Zote Yani Kwa Ulimwengu Wote Mzima? Na Hivi Kwani Sio Manake Kua Allah Atamtumiliza Nassern Li Muhammaden Mtumi Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Basi Ataeneza Ardhi Kwa Hi Dini Ambao Alio kuja Nayo Khatimu Wa Ma'Nabi Muhammad Mtumi Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Basi Aeneze Ardhi Uwadilifu Kama Kulivo Jawa Na Maonevu Na Dhulma? Na Tunacho Taka Kufikia Ewe Muutabar Ni: Je iko Ikhtilafu Baina Kauli Ya Allah Ta3al:
قول الله تعالى: {يُرِيدُونَ أَنْ يُطْفِئُوا نُورَ اللَّهِ بِأَفْوَاهِهِمْ وَيَأْبَى اللَّهُ إِلا أَنْ يُتِمَّ نُورَهُ وَلَوْ كَرِهَ الْكَافِرُونَ (32) هُوَ الَّذِي أَرْسَلَ رَسُولَهُ بِالْهُدَى وَدِينِ الحقّ لِيُظْهِرَهُ عَلَى الدّين كُلِّهِ وَلَوْ كَرِهَ الْمُشْرِكُونَ (33)} صدق الله العظيم [التوبة].
Allah Ta3ala Asema:{Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize Nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia(32) Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya Haki ipate kushinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia(33)} Sadaqa Allah Al3adhim [Altauba].

Akasema Allah Ta3ala Pia:
وقال الله تعالى أيضاً: {هُوَ الَّذِي أَرْسَلَ رَسُولَهُ بِالْهُدَى وَدِينِ الحقّ لِيُظْهِرَهُ عَلَى الدّين كُلِّهِ وَ كَفَى بِاللَّهِ شَهِيداً} صدق الله العظيم [الفتح:28].
Allah Ta3ala Asema:{Yeye Ndio Ambae Alie Mtuma Mtumi Wake Kwa Uongofu Na Dini Ya Haki ili Aidhihirishe Juu Ya Dini Zote Na Tosha Kwa Allah Kua Shahidi} Sadaqa Allah Al3adhim [Alfath:28].


Na Kulingana Na Hi Waadi Kutoka Mola Mlezi Katika Muhakam Ya Kitabu Chake Al'Quran Al3adhim Basi Kwajili Ya hivo Amewabashiria Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam:
أبشِّرُكم بالمهدي يُبعث في أمتي على اختلاف من النّاس وزلازل، فيملأ الأرض قسطاً كما مُلئت جوراً وظلماً] صدق عليه الصلاة والسلام.
Mtumi Sala Allahu Aleyhi Wa alihi Wasalam Asema: [ Nawabashiria Kwa Al'Mahdi Atatumilizwa Katika Umma Wangu Katika ikhtilaf Ya Watu Na Zilzal Basi Ata'Eneza Usawa Kama Kulivo Jawa Na Maonevu Na Dhulma] Sadaqa Aleyhi Asalat Wasalam.

Je si Hi Aya Na Hadithi Ni Waadi Kutoka Kwa Allah Na Mtume Wake Kwa Kuinusuru Dini Yake Ya Haki Na Kuidhihirisha Juu Ya Watu Wote? Basi ikowapi ikhtilafu Eee Muutabir Katika Muhakam Ya Ukumbusho Baina Ya Waadi Ya Allah Katika Muhakama Ya Qurani Yake Kwa Waadi Wa Allah Katika Sunna Ya Bayana Yake Katika Ma'Hadithi Ya Bishara Ya Kutumilizwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Ambae Ata'Eneza Ardhi Usawa Na Uwadilifu Kama Kulivo Jawa Na Maonevu Na Dhulma Basi Atahukumu Ardhi Kwa Hukmu Ya Allah Ya Uwadilifu Katika Muhakam Ya Al'Quran Al3adhim? Na Nakariri Na Nasema: Basi ikowapi ikhtilafu Ewe Muutabir Baina Waadi Wa Allah Wa Haki Katika Muhakama Ya Al'Quran Na Katika sunna Ya Bayana Mpaka Utake Kubomoa Msingi Wa Qurani ili ikashifu Mahadithi Ya Urongo Na Unakanusha Kuzipitisha Katika Muhakam Al'Quran, Na Je inaikhalifu Kwa Kitu? Na Je Tumiona ikhtilafu Baina Ya Waadi Zote Mbili ili Kudhihirisha Dini Ya Uwadilifu? Lakini Msingi Wa Ki'Qurani ili ikashifu Ma'Mhadithi Ya Urongo Amasema Allah Nayo Hakika Ya Hadithi Ya Batili Ambazo Ni Za Urongo Juu Ya Nabi Katika Sunna Ya Bayana Utakuta Baina Yake Na Baina Ya Ma'Aya Katika Muhakam Al'Quran ikhtilafu Nyingi, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {مَّن يُطِعِ الرَّسُولَ فَقَدْ أَطَاعَ اللَّهَ وَمَن تَوَلَّىٰ فَمَا أَرْسَلْنَاكَ عَلَيْهِمْ حَفِيظًا (80) وَيَقُولُونَ طَاعَةٌ فَإِذَا بَرَزُوا مِنْ عِندِكَ بَيَّتَ طَائِفَةٌ مِّنْهُمْ غَيْرَ الَّذِي تَقُولُ وَاللَّهُ يَكْتُبُ مَا يُبَيِّتُونَ فَأَعْرِضْ عَنْهُمْ وَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّهِ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ وَكِيلًا (81) أَفَلَا يَتَدَبَّرُونَالْقُرْآنَ وَلَوْ كَانَ مِنْ عِندِ غَيْرِ اللَّهِ لَوَجَدُوا فِيهِ اختلافاً كَثِيرًا (82) وَإِذَا جَاءَهُمْ أَمْرٌ مِّنَ الْأَمْنِ أَوِ الْخَوْفِ أَذَاعُوا بِهِ وَلَوْ رَدُّوهُ إِلَى الرَّسُولِ وَإِلَىٰ أُولِي الْأَمْرِ مِنْهُمْ لَعَلِمَهُ الَّذِينَ يَسْتَنبِطُونَهُ مِنْهُمْ وَلَوْلَا فَضْلُ اللَّهِ عَلَيْكُمْ وَرَحْمَتُهُ لَاتَّبَعْتُمُ الشَّيْطَانَ إِلَّا قَلِيلًا (83)} صدقالله العظيم [النساء

Allah Ta3ala Asema:{Mwenye kumt'ii Mtume basi ndio amemt'ii Mwenyezi Mungu. Na anaye kengeuka, basi Sisi hatukukutuma wewe uwe ni mlinzi wao(81) Na wanasema: Tunat'ii. Lakini wanapo toka kwako kundi moja miongoni mwao hupanga njama usiku kinyume na unayo yasema. Na Mwenyezi Mungu anayaandika yote hayo wanayo yapangia njama za usiku. Basi waachilie mbali, na umtegemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha(81) Hebu hawaizingatii hii Qur'ani? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu bila ya shaka wangeli kuta ndani yake khitilafu nyingi(82) Na linapo wafikia jambo lolote lilio khusu amani au la kitisho wao hulitangaza. Na lau kuwa wangeli lipeleka kwa Mtume na kwa wenye mamlaka kati yao, wale wanao chunguza wangeli lijua. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema yake mngeli mfuata Shet'ani ila wachache wenu tu(83)} Sadaqa Allah Al3adhum [Alnisaa].

Na Mimi Nakuona Adui Wa Allah Na Kitabu Chake Na Kwajili Ya Hivo Unakata iwe Muhakam Al'Quran Ni Maregeo Na Hakimu Kwa Yale Mulikuwa Muna ikhtalifiana Ndanj Yake, Na Kutoka Hapo Alafu Nikajua Kua Wewe Ni Katika Wale Wanao Zuwia Kufwata Ma'Aya Ya Kitabu Kuzuwia Na Unaitaka Kombo, Na ikiwa Unaniona Nimikudhilumu Bila Ya Haki Basi Njo Kwa Mubahala Kuapizana Ewe Muutabir ili Allah Ahukumu Baina Yangu Na Baina Yako Kwa Haki, Na Nakuahidi Ahdi Sio Ya Urongo Namshuhudisha Ndani Yake Allah Na Ma'Anssar ikija Kutangulia Kwa Mubahala Basi Mimi Sitorejea Nyuma Na Hivi ili Tu'ibtihal kuapizana Pamoja:

{فَنَجْعَل لَّعْنَةَ اللّهِ عَلَى الْكَاذِبِينَ} [آل عمران:61]
{Tufanye Lana Ya Allah Juu Ya Warongo} [Alimran:61]. Basi Ukiniona Niko Katika Batili Na Mu'Utabir Yuko Kwa Haki Basi Hukmu Ni Ya Allah, Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {وَمِنَ النّاس مَنْ يُجَادِلُ فِي اللَّهِ بِغَيْرِ عِلْمٍ وَيَتَّبِعُ كُلَّ شَيْطَانٍ مَرِيدٍ ﴿٣﴾ كُتِبَ عَلَيْهِ أَنَّهُ مَنْ تَوَلَّاهُ فَأَنَّهُ يُضِلُّهُ وَيَهْدِيهِ إِلَىٰ عَذَابِ السَّعِيرِ ﴿٤﴾} صدق الله العظيم [الحج].
Allah Ta3ala Asema:{Na miongoni mwa watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila ya ilimu, na wanamfuata kila shet'ani aliye asi(3) Ameandikiwa kwamba anaye mfanya kuwa rafiki, basi huyo hakika atampoteza na atamwongoza kwenye adhabu ya Moto mkali(4)} Sadaqa Allah Al3adhim [ Alhaj ].


Na Bado Munazali Enyi Ma3ashara Ya Mashetani Watu Mwaipiga Vita Hili Jambo Usiku Na Mchana Na Nyinyi Hamuchoki Wala Hauvunjiki Moyo Na Najua Kiwango Cha Mamuzi Wenu Mkobwa Juu Ya Kuzima Nuur Ya Allah Basi Nayo Ni Kama Mamuzi Ya Al'Mahdi Al'Muntadhar Na Ma'Anssar ili itimu Nuur Ya Allah Kwa Ulimweng, Alafu Natosheka Kwa Jibu La Allah Kwenu Waadi Wake Wa Haki:
{يُرِيدُونَ أَنْ يُطْفِئُوا نُورَ اللَّهِ بِأَفْوَاهِهِمْ وَيَأْبَى اللَّهُ إِلا أَنْ يُتِمَّ نُورَهُ وَلَوْ كَرِهَ الْكَافِرُونَ (32) هُوَ الَّذِي أَرْسَلَ رَسُولَهُ بِالْهُدَى وَدِينِ الحقّ لِيُظْهِرَهُ عَلَى الدّين كُلِّهِ وَلَوْ كَرِهَ الْمُشْرِكُونَ (33)} صدق الله العظيم [التوبة].
Allah Ta3ala Asema:{Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize Nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia(32) Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya Haki ipate kushinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia(33)} Sadaqa Allah Al3adhim [Altauba].

Na Salam Juu Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabi Al3alamin...
Hasimu Mkuu Wa Ma'Shetani Watu; Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani.
ـــــــــــــــــــ


Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
22 - 09 - 1434 هـ
29 - 07 - 2013 مـ
09:22 صبـاحاً
ـــــــــــــــــــــــ

ispokua Amefanya Allah Burhan Ya Kutumilizwa Al'imam Al'Mahdi Katika Ma'Siri Ya Al'Quran, Na Hivo Ni Kwajili Hatowajia Kwa Kitabu Kipya Bali Anawahoji Watu Kwa Al'Quran Al'Majid..

Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Na Sala Na Salam Juu Ya Khatimu Wa Ma'Nabi Na Mitumi Muhammad Mtumi Wa Allah Sala Allah Aleyhi Wa Alihi Wa Salam, Ama Ba'Ada Hapo..
Lakini Mutajua Uhakika Wa Kutumilizwa Al'imam Al'Mahdi Katika Ma'Siri Ya Al'Quran Mfano Wa Kauli Ya Allah Ta3ala:
قول الله تعالى:
{وَيَقُول الَّذِينَ كَفَرُوا لَسْت مُرْسَلًا قُلْ كَفَى بِاَللَّهِ شَهِيدًا بَيْنِي وَبَيْنكُمْ وَمَنْ عِنْده عِلْم الْكِتَاب} صدق الله العظيم [الرعد:43].
Allah Ta3ala Asema:{Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu} Sadaqa Allah Al3adhim [Al'Raad:43].


Basi Yule Ambae Atampa Allah ilimu Ya Kitabu Basi Atamfanya Shahidi Juu Ya Ulimwengu Basi Atawahoji Kwa Al'Quran Al'Majid Ndio Awaongoze Kwenye Njia Ya Al3aziz Al'Hamid Basi Kwenu Huyo Ndio Al'Mahdi Al'Muntadhar Wa Haki Kutoka Mola Wenu Mlezi Ambae Anawalingania Walimwengu Kwa Kufanya Ridhwan Ya Allah Ndio Ni Lengo ili ipatikane Kinyume Na Lengo La Shetani(Ndio Aridhike) Wala Haridhiki Allah Kwa Waja Wake Kufru Bali Anaridhika Kwao Kushukuru, Kwajili Ya Hivo Asema Allah Ta3ala:
ولذلك قال الله تعالى: {وَلَا يَرْضَىٰ لِعِبَادِهِ الْكُفْرَ وَإِنْ تَشْكُرُوا يَرْضَهُ لَكُمْ} صدق الله العظيم [الزمر:7].
Asema Allah Ta3ala:{Wala Haridhiki Kwa Waja Wake Kukufuru Na ikiwa Watashukuru Ataridhika Na Nyinyi} Sadaqa Allah Al3adhim [Alzumur:7].

Kwajili Ya Hivo Mutamkuta Al'imam Al'Mahdi Na Ma'Ansser Wake Wanaenda Mbio Usiku Na Mchana Na Wao Hawachoki ili Wawafanye Watu Umma Moja Juu Ya Kushukuru Allah Kwakua Allah Anaridhika Kwa Waja Wake Kushukuru Na Sisi Tumefanya Ridhwan Nafsi Ya Allah Ni Lengo, Lakini Al'Shetan Na Hizbu Yake Mutawakuta Wanaenda Mbio Usiku Na Mchana Na Wao Hawachoki ili Wafanye Watu Umma Moja Kwa Kufru Kwa Kua Wamejuwa Kua Allah Haridhiki Kwa Waja Wake Kufuru Bali Anaridhika Kwao Kushukuru, Kwajili Ya Hivo Amesema Shetani:
قال الشيطان الرجيم: {ثُمَّ لَآَتِيَنَّهُمْ مِنْ بَيْنِ أَيْدِيهِمْ وَمِنْ خَلْفِهِمْ وَعَنْ أَيْمَانِهِمْ وَعَنْ شَمَائِلِهِمْ وَلَا تَجِدُ أَكْثَرَهُمْ شَاكِرِينَ (17)} صدق الله العظيم [الأعراف].
Allah Ta3ala Asema:{ Alafu Nitawajia Baina Ya Mikono Yao Na Nyuma Kwao Na Kuliani Mwao Na Kushoto Kwao Na Wala Hutopata Wengi Wao Wakishukuru}.


Basi Vipi Watakua Kwenye Upotevu Ulio Wazi Kaumu Anawa'Wapenda Allah Na Wanampenda Allah Wanaenda Mbio Kwa Kupatikane Kutimu Lengo Ambalo Ni Kinyume Na Lengo La Ma'Shetani Basi Hivi Hamutafakari? Kwa Kua Al'Shetan Na Hizbu Yake Wanaenda Mbio ili ipatikane Lengo Kwenye Nafsi Ya Allah Nayo Ni Asiwe Radhi Allah Juu Ya Waja Wake Nayo Ni Lengo Kinyume Na Lengo La Al'Mahdi Al'Muntadhar Na Hizbu Yake, Kwakua Siri Katika Ulinganizi Wa Al'Mhahdi Al'Muntadhar Jina La Allah Kuu; Sifa Ya Ridhwan Nafsi Ya Allah Juu Ya Waja Wake, Na Kwajili Ya Hivo Amewaumba, Na Ataenda Kuwaongoza Allah Kwajili ipatikane Lengo La Al'Mahdi Al'Muntadhar ili itimu Lengo La Ku'Umbwa Kwao Wafanye Ridhwan Ya Allah Ni Matakwa Yao Na Ghaya Yao,Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {وَلَوْ شَاءَ رَبُّكَ لَجَعَلَ النّاس أمّةً واحدةً وَلَا يَزَالُونَ مُخْتَلِفِينَ (118) إِلَّا مَنْ رَحِمَ رَبُّكَ وَلِذَلِكَ خَلَقَهُمْ وَتَمَّتْ كَلِمَةُ رَبِّكَ لَأَمْلَأَنَّ جَهَنَّمَ مِنَ الجنّة وَالنّاس أَجْمَعِينَ (119)} صدق الله العظيم [هود].
Allah Ta3ala Asma:{Na Lau Angetaka Mola Wako Angefanya Watu Umma Moja Na Bado Wanazali Wana'ikhtalifiana(118) ila Ambae Ame'Rehemewa Na Mola Wako Mlezi Na Kwajili Ya Hivo Kawaumba Na imetimu Maneno Ya Mola Wako Mlezi Nitawajaza Jahanam Katika Ma'Jini Na Watu Wote(119)} Sadaqa Allah Al3adhim [Huud].

Na Kwa Bayana Ya Haki Basi Kauli Ya Allah Ta3ala:
قول الله تعالى: {وَلَوْ شَاءَ رَبُّكَ لَجَعَلَ النّاس أُمّةً واحِدَةً}،Kauli Yake Ta3ala:{Angeli taka Mola wako Mlezi wangeli amini wote waliomo katika ardhi}, Basi Mutakuta Bayana Katika Kauli Ya Allah Ta3ala:
قول الله تعالى: {وَلَوْ شَاءَ رَبُّكَ لَآَمَنَ مَنْ فِي الْأَرْضِ كُلُّهُمْ جَمِيعاً} صدق الله العظيم [يونس:99].
Allah Ta3ala Asema:{ Na Lau Atataka Mola Wako Mlezi Wange Amini Walioko Katika Ardhi Wote} Sadaqa Allah Al3adhil [Yunis:99].


Na Ama Bayana Ya Haki Kwenye Kauli Yake Ta3ala:
لقوله تعالى: {وَلَا يَزَالُونَ مُخْتَلِفِينَ} Kauli Yake Ta3ala{Na Bado Wanazali Wanaikhtalifiana} Na Akusudia Katika Zama Za Kutumilizwa Mitumi Basi Kutoka Wakwanza Wao Mpaka Khatimu Wao Basi Haikutimu Kupatikana Uwongofu Juu Ya Umma Wote Katika Zama za kutumilizwa Mitumi, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {فَرِيقًا هَدَىٰ وَفَرِيقًا حَقَّ عَلَيْهِمُ الضَّلَالَةُ إِنَّهُمُ اتَّخَذُوا الشَّيَاطِينَ أَوْلِيَاءَ مِنْ دُونِ اللَّهِ وَيَحْسَبُونَ أَنَّهُمْ مُهْتَدُونَ ﴿٣٠﴾} صدق الله العظيم [الأعراف].
Allah Ta3ala Asema:{Kundi Limiongoka Na Kundi Limistahiki Juu Yao Upotevu Wamefanya Ma'Shetani Mawali Pasi Na Allah Na Wanahisabu Kua Wao Wamiongoka(30)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alaaraf].

{كَانَ النَّاسُ أُمَّةً وَاحِدَةً فَبَعَثَ اللَّـهُ النَّبِيِّينَ مُبَشِّرِينَ وَمُنذِرِينَ وَأَنزَلَ مَعَهُمُ الْكِتَابَ بالحقّ لِيَحْكُمَ بَيْنَ النَّاسِ فِيمَا اخْتَلَفُوا فِيهِ وَمَا اخْتَلَفَ فِيهِ إِلَّا الَّذِينَ أُوتُوهُ مِن بَعْدِ مَا جَاءَتْهُمُ الْبَيِّنَاتُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ فَهَدَى اللَّـهُ الَّذِينَ آمَنُوا لِمَا اخْتَلَفُوا فِيهِ مِنَ الْحَقِّ بِإِذْنِهِ وَاللَّـهُ يَهْدِي مَنيَشَاءُ إِلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ ﴿٢١٣﴾ أَمْ حَسِبْتُمْ أَن تَدْخُلُوا الجنّة وَلَمَّا يَأْتِكُم مَّثَلُ الَّذِينَ خَلَوْا مِن قَبْلِكُم مَّسَّتْهُمُ الْبَأْسَاءُ وَالضَّرَّاءُ وَزُلْزِلُوا حَتَّىٰ يَقُولَ الرَّسُولُ وَالَّذِينَ آمَنُوا مَعَهُ مَتَىٰ نَصْرُ اللَّـهِ أَلَا إِنَّ نَصْرَ اللَّـهِ قَرِيبٌ ﴿٢١٤﴾} صدق الله العظيم [البقرة].
Allah Ta3ala Asema:{Watu wote walikuwa ni umma mmoja. Mwenyezi Mungu akapeleka Manabii wabashiri na waonyaji. Na pamoja nao akateremsha Kitabu kwa Haki, ili kihukumu baina ya watu katika yale walio khitalifiana. Na wala hawakukhitalifiana ila wale walio pewa Kitabu hicho baada ya kuwafikia hoja zilizo wazi, kwa sababu ya uhasidi baina yao. Ndipo Mwenyezi Mungu kwa idhini yake akawaongoa walio amini kwendea haki katika mambo waliyo khitalifiana. Na Mwenyezi Mungu humwongoa amtakaye kwenye Njia Iliyo Nyooka(213) Mnadhani kuwa mtaingia Peponi, bila ya kukujieni kama yaliyo wajia wale walio pita kabla yenu? Iliwapata shida na madhara na wakatikiswa hata Mtume na walio amini pamoja naye wakasema: Lini nusura ya Mwenyezi Mungu itakuja? Jueni kuwa nusura ya Mwenyezi Mungu ipo karibu(214)} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara].

Ama Bayana Ya Haki Kwenye Kauli Ya Allah Ta3ala:
لقول الله تعالى: {إِلَّا مَنْ رَحِمَ رَبُّكَ وَلِذَلِكَ خَلَقَهُمْ وَتَمَّتْ كَلِمَةُ رَبِّكَ لَأَمْلَأَنَّ جَهَنَّمَ مِنَ الجنّة وَالنّاس أَجْمَعِينَ} صدق الله العظيم،

Allah Ta3ala Asema: {ila Ambae Amerehemu Mola Wako Mlezi Na Kwajili Ya Hivo Amewaumba Na imetimu Neno La Mola Wako Mlezi Nitawajaza Jahanam Katika Ma'Jini Na Watu Wote} Sadaqa Allah Al3adhim, Na Hhivo Ni Al'imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Ambae Amefanya Ridhwani Nafsi Ya Mola Wake Mlezi Ni Lengo, Na Vipi Allah Atakua Ameridhika Katika Nafsi Yake Kwa Ulimwengu? Na Hivi ili Mpaka Awafanye Watu Umma Moja Kwenye Njia ilio Nyoka Basi Ataridhika.

Na Ama Kauli Ya Allah Ta3ala:
قول الله تعالى: {وَلِذَلِكَ خَلَقَهُمْ}
{Na Kwajili Ya Hivo Amewaumba} Kwa Kua Siri Ya Ku'Umbwa Ni Katika Ulinganizi Wa Al'Mahdi Al'Muntadhar Yule Ambae Analingania Watu ili Wachukuwe Ridhwani Nafsi Ya Allah Ni Lengo Wala Sio Wasila Njia ili ipatikane Neema Ndogo Kwa Kua Ridhwan Allah Ni Neema Kuu Kuliko Neema Ya Pepo, Na Vipi Mutachukuwa Neema Kuu Ni Njia ili ipatikane Neema Ya Pepo Ndogo? Hivi Hakusema Allah Ta3ala:
قال الله تعالى: {وَعَدَ اللَّهُ الْمُؤْمِنِينَ وَالْمُؤْمِنَاتِ جَنَّاتٍ تَجْرِي مِنْ تَحْتِهَا الأَنْهَارُ خَالِدِينَ فِيهَا وَمَسَاكِنَ طَيِّبَةً فِي جَنَّاتِ عَدْنٍ وَرِضْوَانٌ مِنَ اللَّهِ أَكْبَرُ ذَلِكَ هُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ (72)} صدق الله العظيم [التوبة].
Allah Ta3ala Asema:{Amewahidi Waumini Wanaume Na Waumini Wanawake Mabustani Ya Pepo Yapita Chini Yake Mito Milele Ndani Yake Na Maskani Mzuri Katika Bustani La Adan Na Ridhwani Kutoka Kwa Allah Ni Kuu Na Hio Ndio Ushindi Mkubwa(72)}Sadaqa Allah aal3adhim [Altauba].

Basi Amewapa Fatwa Allah Katika Muhakam Ya Kitabu Chake Kua Ridhwan Ya Allah Juu Ya Waja Wake Ni Neema Kuu Kuliko Neema Ya Bustani Yake Na Hio Ndio Bayana Ya Haki Kwa Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَعَدَ اللَّهُ الْمُؤْمِنِينَ وَالْمُؤْمِنَاتِ جَنَّاتٍ تَجْرِي مِنْ تَحْتِهَا الأَنْهَارُ خَالِدِينَ فِيهَا وَمَسَاكِنَ طَيِّبَةً فِي جَنَّاتِ عَدْنٍ وَرِضْوَانٌ مِنَ اللَّهِ أَكْبَرُ ذَلِكَ هُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ (72)} صدق الله العظيم [التوبة].
Allah Ta3ala Asema:{ Amewahidi Waumini Wanaume Na Waumini Wanawake Mabustani Ya Pepo Yapita Chini Yake Mito Milele Ndani Yake Na Maskani Mzuri Katika Bustani La Adan Na Ridhwani Kutoka Kwa Allah Ni Kuu Na Hio Ndio Ushindi Mkubwa(72)}Sadaqa Allah aal3adhim [Altauba].

Kwakua Allah Amewaumba ili Wachukuwe Ridhwan Ya Mola Wao Mlezi Ni Lengo Basi Watakua Wana'Mwabudu Yeye Na Wala Hakuwaumba Kwajili Ya Pepo Yake Bali Amiumba Pepo Kwajili Yao Na Akawaumba Wao Kwajili Ya Lengo Katika Nafsi Ya Allah Mola Wao Mlezi Nayo Ni Dhati Ya Lengo Ambao Anawalingania ili ipatikane Kutimu Al'imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Ambae Atatimiza Allah Kwa Mja wake Nuuru Yake Juu Ya Ulimwengu Hata Kama Watachukia Makatili Kudhirika Kwake, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {هُوَ الَّذِي أَرْسَلَ رَسُولَهُ بِالْهُدَى وَدِينِ الحقّ لِيُظْهِرَهُ عَلَى الدِّينِ كُلِّهِ وَلَوْ كَرِهَ الْمُشْرِكُونَ} صدق الله العظيم [التوبة:33].
Allah Ta3ala Asema:{Yeye Ndie Ambae Ametuma Mtumi Wake Kwa Uwongofu Na Dini Ya Haki ili Aidhirishie Juu Ya Dini Zote Hata Kama Watachukia Washirikina} Sadaqa Allah Al3adhim [Altauba:33].

Na Kauli Ya Allah Ta3ala:
وقول الله تعالى: {ن وَالْقَلَمِ وَمَا يَسْطُرُونَ ﴿١﴾ مَا أَنتَ بِنِعْمَةِ رَبِّكَ بِمَجْنُونٍ ﴿٢﴾ وَإِنَّ لَكَ لَأَجْرًا غَيْرَ مَمْنُونٍ ﴿٣﴾ وَإِنَّكَ لَعَلَىٰ خُلُقٍ عَظِيمٍ ﴿٤﴾ فَسَتُبْصِرُ وَيُبْصِرُونَ ﴿٥﴾ بِأَييِّكُمُ الْمَفْتُونُ ﴿٦﴾ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ وَهُوَ أَعْلَمُ بِالْمُهْتَدِينَ ﴿٧﴾} صدق اللهالعظيم [القلم].
Allah Ta3ala Asema:{Nun ( ن ) Na Kalamu Na Wanao Andika(1) Wala Wewe Kwa Neema Ya Mola Wako Mlezi Ni Mwandazimu(2) Na Hakika Una Ujira Usokuwa Na Kifani(3) Na Hakika Wewe Uko Na Tabia Njema Kuu(4) Basi Hakika
Utaona Na Wataona(5) Yupi Katiyenu Amefitiniwa(6) Hakika Mola Wako Mlezi Anajua Yule Ambae Amepotea Katika Njia Yake Na Yeye Anajua Kwa Walio Ongoka(7)}
Sadaqa Allah Al3adhim [Al'Qalam].

Na Wala Haimhusu Al'Mahdi Al'Muntadhar Katika Sura Ya Al'Qalam ila Harufu Ya Nun ( ن ) Ambae Amitoa Qasam Kwa Hio Herufu Kwa Muhammad Mtumi Wa Allah Atamnusur Nayo Basi itatimu Kwa Kutumilizwa Kwake Nuuru Yake Kwa Ulimwengu Hata Kama Watachukia Wahalifu Kudihiri Kwake Basi Ataidhihiri Juu Ya Dini Zote Katika Mashariki Ya Ardhi Na Magharibi Yake.

Na Kadhalika inapatikana Ushuhuda Burhan Ya Kutumilizwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Katika Ma'Aya Nyengi Lakini Katika Ma'Siri Ya Al'Quran Kwa Wanao'Peleleza Wanye Kutafakari, Na Wala Hakufanya Allah Burhan Ya Kutumilizwa Al'iMam Al'Mahdi Katika Muhakam Al'Quran Bali Katik Ma'Siri Ya Al'Quran, Bali Ameifanya Al'Burhan Ilio Bainika Kwa Kutumilizwa Al'imama Al'Mahdi Kwenye Sunna Ya Bayan, Na Hikma Kutokana Na Hio Ni Kwajili Ya Al'IMAM Al'Mahdi Hatowajia Kwa Kitabu Kipya BAli Atahoji Watu Kwa Al'Quran Al'Majid, Basi Mwenye Kukufuru Ulinganizi Wake Basi Amekufuru Kwa Yale Yalio Teremshwa Juu Ya Muhammad Mtumi Wa Allah Sallah Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam, Kwakua Al'imam Al'Mahdi Analingania Kwa Kitabu Cha Allah Na Sunna Za Mtumi Wake Za Haki, Wala Sina Kitu Pasi Na Hio.


Na Ewe Mu'Utabir; Katika Ma'Aduwi Wakuu Mno Kwa Ulinganizi Wa Ukumbusho, Hakika Ya Msingi Wa Kukashifu Ma Ahadithi Zilizo'Kadhibu Ni Moja imiunganishwa Kwa Pamoja Katika Bayana Zote Basi ile Tutakao Pata imekuja imekhalifu Muhakam Ya Kitabu Basi Ni Hadithi Ya Uzushi Juu Ya Allah Na Mtumi Wake Katika Ma'Hadithi Ya sunna Ya Bayana, Kwajili Ya Hivo Utamkuta Al'imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Anawalingania Wote Wanazuoni Wa Waislamu Kutabikisha Namus Hi Katika Muhakam Al'Kitab ili ikashifu Ma'Hadithi Zilizo'Kadhibu, Na Huo Msingi Uko Katika Muhakam Al'Quran Hukmu Kutoka Kwa Allah Baina Wanao khitalifiana Kua Ma'Ahdithi Zilio Zushwa Katika Sunna Ya Bayana Utakuta Wataona Baina Yake Na Baina Ya Muhkam Al'Quran Mgongano Na khitilafu Kubwa, Hi Msingi Wa Kukashifu Ma'Hadithi Zilizo'Kadhibu Hajaileta Nasser Muhammad Kutoka Kwake, Bali Allah Mwenye Kuwamuru Na Hayo Kua Mufanye Mupitishe Ma'Hadithi Zilizo'Kadhibu Za Alnabawia Juu Ya Muhakam Al'Quran Na Akawafundisha Allah Kua ile Ambao Katika Hizo Zimezushwa Juu Ya Nabi Kua Nyinyi Mutakuta Baina Yake Na Baina Ya Muhakam Al'Quran khitilafu Nyingi, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {مَّنْ يُطِعِ الرَّسُولَ فَقَدْ أَطَاعَ اللّهَ وَمَن تَوَلَّى فَمَا أَرْسَلْنَاكَ عَلَيْهِمْ حَفِيظاً (80) وَيَقُولُونَ طَاعَةٌ فَإِذَا بَرَزُواْ مِنْ عِندِكَ بَيَّتَ طَآئِفَةٌ مِّنْهُمْ غَيْرَ الَّذِي تَقُولُ وَاللّهُ يَكْتُبُ مَا يُبَيِّتُونَ فَأَعْرِضْ عَنْهُمْ وَتَوَكَّلْ عَلَى اللّهِ وَكَفَى بِاللّهِ وَكِيلاً (81) أَفَلاَيَتَدَبَّرُونَ الْقُرْآنَ وَلَوْ كَانَ مِنْ عِندِ غَيْرِ اللّهِ لَوَجَدُواْ فِيهِ اختلافاً كثيراً (82) } صدق الله العظيم [النساء].
Allah Ta3ala Asema:{Mwenye kumt'ii Mtume basi ndio amemt'ii Mwenyezi Mungu. Na anaye kengeuka, basi Sisi hatukukutuma wewe uwe ni mlinzi wao(80) Na wanasema: Tunat'ii. Lakini wanapo toka kwako kundi moja miongoni mwao hupanga njama usiku kinyume na unayo yasema. Na Mwenyezi Mungu anayaandika yote hayo wanayo yapangia njama za usiku. Basi waachilie mbali, na umtegemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha(81)Hebu hawaizingatii hii Qur'ani? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu bila ya shaka wangeli kuta ndani yake khitilafu nyingi(82)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnisa].

Na Ewe Mu'Utabir, Kua Kitabu Cha Allah Na Hadithi Za Bayana Katika Sunna Ya Mtumi Wake hapana Shaka Wala Utetanizi Kua Ni kutoka Kwa Allah ispokua Nawalingania kwa Kuhukumu Kwa Kitabu Cha Allah Al'Quran Al3adhim Juu Ya Hu Msingi Kua Ambae Tutakuta Katika Mahadithi imekuja imekhalifu Muhakam Al'Quran, Basi Hapa Mutajua Kwa Yakini Kua Ile Hadithi Ni Ya Uzushi Haina Shaka Ndani Yake Wala Utetanishi.


Na Ewe Mu'Utabir, Na Wala Hata Hujamkuta Al'imam Al'Mahdi Anasema Mengine Na Hayo Katika Bayana Zote, Na Suali Linajitokeza Lenyewe Katika Ku'Hukmu Ma'Hadithi Ya Haki Zinazo Bashiria Kwa Kutumilzwa Al'imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Basi Tutakao Pata Yamekuja Yakhalifu Kwa Yoyote Katika Ma'Aya Ya Kitabu Ambazo Ni Muhakamat Basi Hadithi Ni Ya Uzushi imezushwa, Basi Ba'Ada Kupitisha Msingi Ya Kukashifu Ma'Hadithi Zilizo'Kadhibu Basi Je Umipata Hadithi Zilizo Bashiria Kutumilizwa Al'imam Al'Mahdi imekuja imekhalifu Hata Japokua Aya Moja Katika Muhakam Al'Quran Al3adhim? Nilete ikiwa Wewe Ni Katika Wa Kweli.

Kwahivo Ewe Muutabir Basi ikiwa Ma'Hadithi Za Bishara kua Allah Atatumiliza Al'imam Al'Mahdi Basi ikiwa Haikukhalufu Al'Quran Kwa Kitu Basi Vipi Umizi'Hukumu Kua Ni Batil? Na Labda Muutabir Anataka Kusema:" Hakika Mimi Sijazihukumu Kwa Batil Ewe Nasser Muhammad Basi Mimi Ni Mumin Kwa Kitabu Cha Allah Al'Quean Al3adhim Kwa Mahadithi Za Sunna Alnabawi Na Mojawapo Ni Hi Hadithi Nao Kujadili Nayo
كل مجتهد مصيب فإن أصاب فله أجران وإن أخطأ فله أجر)
(Kila Mwenye Kujitahidi Ni Mwenye'Kupata Basi Akipata Atapata Ujira Mbili Na Akikosa Basi Atapata Ujira Moja)". Na Alafu Anarudisha Kwake Jibu Al'imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Na Nasema: Bali Ana Dhambi Na Dhambi Ya Wale Ambao Wamemfwata Mpaka Siku Ya Kiyama: Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {لِيَحْمِلُواْ أَوْزَارَهُمْ كَامِلَةً يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَمِنْ أَوْزَارِ الَّذِينَ يُضِلُّونَهُم بِغَيْرِ عِلْمٍ أَلاَ سَاء مَا يَزِرُونَ} صدق الله العظيم [النحل:25].
Allah Ta3ala Asema:{ili Wabebe Ma'Dhambi Yao Kamilu Siku Ya Kiyama Na Katika Ma'Dhambi Ya Wale Walio Wapoteza Bila ilimu Hakika Eee Baya Dhambi Wanalo Lifanya} Sadaqa Allah Al3ashim [Alnhl:25].

Kwakua Yule Atakae Sema Juu Ya Allah Asicho Kijua Kwa Yakini Kua Ni Haki Kutoka Mola Wake Mlezi Haina Shaka Wala Utetanishi Basi Amet'ii Amri Ya Shetani Ambae Anawa'Amuru Museme Juu Ya Allah Musiokijua, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {إِنَّمَا يَأْمُرُكُم بِالسُّوءِ وَالْفَحْشَاءِ وَأَن تَقُولُوا عَلَى اللَّهِ مَا لَا تَعْلَمُونَ (169)} صدق الله العظيم [البقرة].
Allah Ta3ala Asema:{ispokua Anawamuru Kwa Mabaya Na Uchafu Na Kua Museme Juu Ya Allah Yale Ambayo Hamuyajuwi(169)}Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara].

Na Lakini Kauli Juu Ya Allah Bila Utawala Wa ilimu Imebainika Kutoka Mola Wao Hio Ni Katika Makuba Ya Madhambi Katika Muhakam Ya Kitabu Ameharamisha Allah Juu Ya Waumini, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {قُلْ إِنَّمَا حَرَّمَ رَبِّيَ الْفَوَاحِشَ مَا ظَهَرَ مِنْهَا وَمَا بَطَنَ وَالإِثْمَ وَالْبَغْيَ بِغَيْرِ الحقّ وَأَن تُشْرِكُواْ بِاللَّهِ مَا لَمْ يُنَزِّلْ بِهِ سُلْطَانًا وَأَن تَقُولُواْ عَلَى اللَّهِ مَا لاَ تَعْلَمُونَ} صدق الله العظيم [الأعراف:33].
Allah Ta3ala Asema:{ Sema ispokua Mola Wangu Mlezi Ameharamisha Machafu Yale Yalio Dhihiri Kati Yake Na Yalio Fichika NA kutenda Dhambi Na Kubaghi Bila Ya Haki Na Kua Mumshirikishe Allah Ambao Hajateremsha Nayo Utawala Na Kua Museme Juu Ya Allah Yale Musio'Yajuwa} Sadaqa Allah Al3adhim [Alaraf:33].

Na Je Wajua Kuhusu Bayana Ya Haki Kwenye Kauli Ya Allah Ta3ala:
لقول الله تعالى: {وَأَن تَقُولُوا عَلَى اللَّهِ مَا لَا تَعْلَمُونَ}
{Na Museme Juu Ya Allah Muso'Kijua}? Yani imeharimishwa Juu Ya Waumini Kua Waseme Juu Ya Allah Waso'Kijua Kua Ni haki kutoka Kwa Mola Wao Hakuna Shaka Wala Utetanishi Ndani Yake Kwa Kua Yale Ni Kufwata Dhana Na Dhana Haisaidi Mbele Ya Haki Kitu Kwakua Kuteleza Kwa Mwanachuoni Ni Kuteleza Watu Wote, Basi Sio Kua Kosa La Kusema Kwa Dini Ya Allah Bila Ya Haki Ni Makosa Sahali Na Kua Madhara Yake itampata Mwanachuoni Pekeyake Bali unakua Sababu Ya Kupoteza Umma Wote Wanamfwata, Basi Vipi Atapata Ujira Mwenye Kusema Juu Allah Kwenye Dini Yake Kwa Dhana Ambao Haisaidi Mbele Ya Haki Kitu? Akasema Allah Ta3ala:
وقال الله تعالى: {وَإِنْ تُطِعْ أَكْثَرَ مَنْ فِي الأَرْضِ يُضِلُّوكَ عَنْ سَبِيلِ اللَّهِ إِنْ يَتَّبِعُونَ إِلا الظنّ وَإِنْ هُمْ إِلا يَخْرُصُونَ (116)} صدق الله العظيم [الأنعام].
Allah Ta3ala Asema:{Na ukiwat'ii wengi katika hawa waliomo duniani watakupoteza na Njia ya Mwenyezi Mungu. Hawa hawafuati ila dhana tu, na hawakuwa ila ni wenye kusema uwongo tu(116)}Sadaqa Allah Al3adhim [Alanaam].

Kwakua Kauli Ya Mufti Katika Dini Ya Allah Na Yeye Anadhani Kua Kauli Yake Yaweza Pata Na Yaweza Kosa Basi Hio Ndio Dhana Ambae Haisaidi Mbele Ya Haki Kitu, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {وَمَا يَتَّبِعُ أَكْثَرُهُمْ إِلَّا ظَنًّا إِنَّ الظنّ لَا يُغْنِي مِنَ الحقّ شيئاً إِنَّ اللهَ عَلِيمٌ بِمَا يَفْعَلُونَ} صدق الله العظيم [يونس:36].
Allah Ta3ala Asema:{Na Wala Hawafwati Wengi Wao ila Dhana Na Dhana Haifali Mbele Ya Haki Kitu Hakika Ya Allah Mujuzi Kwayale Wanao Yafanya} Sadaqa Allah Al3adhim [Yunus:36].

Basi Hapana Budi Kwenu Muitike Kwa Ulinganizi Wa Kuwahukumu Kwa Kitabu Cha Allah Al'Quran Al3adhim ili Wapitishe Ma'Hadithi Ya Sunna Al'Nabawia Kwa Msingi Wa haki Kama Alivo Hukumu Allah Baina Walio ikhtilifiana, Basi ile Tutakao Pata imekuja imekhalifu Kwa Muhakam Al'Quran Katika Ma'Hadithi Za Ki Nabawi Basi Hadithi Hio imezishwa Kutoka Sio Kwa Allah Na Mtumi Wake, Na Sikuwalingania ispokua Kwajili Ya kutabikisha Namus Katika Muhakam Ya Al'Quran Al3adhim Kutoka Mwanzo Wa Ulinganizi Wa Ki Mahdia, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {مَّنْ يُطِعِ الرَّسُولَ فَقَدْ أَطَاعَ اللّهَ وَمَن تَوَلَّى فَمَا أَرْسَلْنَاكَ عَلَيْهِمْ حَفِيظاً (80) وَيَقُولُونَ طَاعَةٌ فَإِذَا بَرَزُواْ مِنْ عِندِكَ بَيَّتَ طَآئِفَةٌ مِّنْهُمْ غَيْرَ الَّذِي تَقُولُ وَاللّهُ يَكْتُبُ مَا يُبَيِّتُونَ فَأَعْرِضْ عَنْهُمْ وَتَوَكَّلْ عَلَى اللّهِ وَكَفَى بِاللّهِ وَكِيلاً (81) أَفَلاَ يَتَدَبَّرُونَالْقُرْآنَ وَلَوْ كَانَ مِنْ عِندِ غَيْرِ اللّهِ لَوَجَدُواْ فِيهِ اختلافاً كثيراً (82)} صدق الله العظيم [النساء].
Allah Ta3ala Asema:{Mwenye kumt'ii Mtume basi ndio amemt'ii Mwenyezi Mungu. Na anaye kengeuka, basi Sisi hatukukutuma wewe uwe ni mlinzi wao(80) Na wanasema: Tunat'ii. Lakini wanapo toka kwako kundi moja miongoni mwao hupanga njama usiku kinyume na unayo yasema. Na Mwenyezi Mungu anayaandika yote hayo wanayo yapangia njama za usiku. Basi waachilie mbali, na umtegemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha(81) Hebu hawaizingatii hii Qur'ani? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu bila ya shaka wangeli kuta ndani yake khitilafu nyingi(82)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnisaa].

Na Ewe Muutabir, ikiwa Wewe Unakanusha Ma'Hadithi Ya Bishara Ya Kutumilizwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Basi Lazma Juu Yako Uthibitishe Kua imikuja imikhalifu Kwa Yoyote Katika Ma'Aya Muhakama Ambazo Zimebaini ikiwa Wewe Ni Katika Wakweli.

Na Ewe Muutabir, Sisi Ni Kaumu Anawapenda Allah Na Wanampenda Tuna'Amini Kwa Kitabu Cha Allah Na Ma'Ahadithi Ya Mtumi Wake Za Haki Kwenye Sunna Ya Bayana Na Wala Hatutafautishi Baina Ya Kitabu Cha Allah Na Sunna Za Mtumi Wake; Nuur Juu Ya Nuur, ila Tu Twakanusha ile ilio Kuja Katika Ma'Hadithi Zaki'Nabawi imekhalifu Muhakam Al'Quran Al3adhim, Na Una'Nini Hujafahamu Habari Ewe Muutaibr Yule Ambae Ataka Kuvisha Haki Kwa Batil Na Yeye Ni Katika Ma'Adui Wakuu Wa Ulinganizi Wa Kuhukumu Kwa Kitabu Cha Allah Al'Quran Al3adhim? Bali Tena Anatuhoji Kwa Ma'Hadithi Ya Kutumilizwa Al'imam Al'Mahdi Al'Muntadhar ! Na Alafu Narudisha Jibu Kwa Muutabir Na Nasema: Yale Yalio Kuja Kati'Yao inakhalifu Muhakam Al'Quran Al3adhim Basi Hio Hadithi Ni Batili imezushwa Juu Ya Allah Katika Sunna Ya Mtumi Wake.

Na Ewe Muutabar, Hivi Nitakupa Fatwa Kwa Haki Kwa Nini Haikuja Bishara Ya Kutumilizwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Kwenye Ma'Aya Ambao imibainika Kwa Wanazuoni Wa Umma Na Waislamu Kwa Jumla Katika Muhakam Al'Quran Al3adhim; Na Hivi Nitakupa Fatawa Kuhusu Sababu Kwa Haki, Na Kwa Hivo Ni Kwa Jili Ya Khatim Ya Ma'Nabi Na Mitumii Ni Muhammad Mtumi Wa Allah- Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam- Basi Hakuna Kitabu Kipia Ba'Ada Ya Al'Quran ispokua Atamtumiliza Allah Al'imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad ili Awahoji Kwa Hi Al'Quran Al3adhim Ambao imeteremka Juu Ya Khatim Wa Ma'Nabi Na Mitumi Muhammad Mtumi Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Sala, Na Hivo Kwajili Mpaka iwe Al'Quran Al3adhim Ni Hoja Baina Yenu Na Baina Ya Al'imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad, Na Mukitika Ulinganizi Wa Al'imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser MuhammD Basi Mumeitikia Mwito Wa Kufwata Kitabu Cha Allah Na Sunna Za Mtumi Wake Za Haki Kwa Kua Hatowaletea ispokua Yale Yaliomo Katika Kitabu Cha Allah Na Sunna Za mtumii Wake Za Haki, Na Mukikadhibisha Basi Mumikadhibisha Kitabu Cha Allah Na Sunna Za Mtumi Wake Za Haki Kwakua Hakumtumiliza Allah Kwa Wahiyu Mpya Wala Kwa Neno Moja ispokua Yale Katika Kitabu Cha Allah Na Sunna Za Mtumi Wake, Lakini Wewe Ni Katika Wale Ambao Wanazuwia Katika Kitabu Cha Allah Na Sunna Za Mtumi Wake Za Haki Kuzuwia Na Wataka Waislamu Wafungane Na Ma'Hadithi Za Al'Shetani Al'Rajim Zile Ambazo Zimekhalifu Muhakam Kitabu Allah Na Sunna Za mtumi Wake Za Haki, Na Juu Ya Hayo Kwahivo Atatoa Fatwa Al'imam Al'Mahdi Ju Ya Almuutabir Bila Dhulma Kwa idhini Ya Allah: Basi Mutamkuta Enyi Ma3ashara Ya Alanssar Daima Kama ifwatavo Ni Mwenye Kukhalifu Muhakam Kitabu Alllah Al'Quran Al3adhim Na Kwajili Ya Hivo Mutakuta Atafungana Na Ma'Hdithi Zote Kuhusu Shafa Ya Waja Mbele Ya Mikono Ya Mola Mwenye Kuabudiwa, Na Hivo Mutakuta Amejifunga Na Hadi Ya Kupurwa Mawe Kwa Mzinifu Ambae Ame'owa Kwakua imekuja imekhalifu Muhakam Al'Quran Al3adhim,Na Kadhalika Mutamkuta Amejifunga Na Ma'Hadithi Zote Za Adhabu Ya Kaburi, Na Hivo Mutamkuta Amejifunga Na Kuzidisha Kupitisha Kumtukuza Mtumi Wa Allah Na Anaharamisha Kushindana Na Wao Kwa Kumpenda Allah Na Kua Karibu Nae Na Ana'Waharamisha Waislamu Kutamani Moja Wao Kua Yeye Ndio Mja Alio Karibu Na Anae Pendwa Zaidi Kuliko Mitumi Wote, Alafu Awambie Nyinyi Kua Hamutakiwi Kutamani Kua Moja Wenu Awe Yeye ndio mja Anaependwa Na Allah Zaidi Na Kuwa Karibu Nae Kuliko Mitumi Wake Kwakua Anajua Kua Mwenye Kuitakidi Kua Haijuzu Kushindana Na Mitume Na Manabi Katika Kumpenda Allah Na Kua Karibu Nae Basi Amemshirikisha Allah Kwasababu Kutukuza Kupitisha Ziada Bila Ya Haki Juu Ya Mitumi Wa Allah Na Anatarajia Shafaa Yao Mbele Ya Mikono Ya Allah.

Na Ala Kuli Hali Hakika Mimi Nakupa Changamoto Ewe Muutabir Uwe Uwitikie Kwa Ulinganizi Wa Kuhukumiwa Kwa Muhakam Ya Ukumbusho Al'Quran Al3adhim ili Kupitisha Ma'Hadithi Ya Sunna Ya Bayana Na Hivo Kwa Lengo La Kukashifu Kwa Mahdithi Zilizokadhibu Juu Ya Nabii Basi Na Tutakae Pata Katika Ma'Hadithi Ya Sunna Ya Bayana imekjua imekhalifu Muhkam Al'Quran Basi Tayari imebainika Kwenu Kua Hio Hadithi Ni Kutoka Kwa Shetani Rajim Anataka Kuwazuwia Kufwata Kitabu Cha Allah Na Sunna Za Mtumi Wake Wa Haki, Na Namshuhudisha Allah Katika Dunia Na Akhera Kua Ma'Hadithi Za Al'Sunna Al'Nabawia Za Haki Ni Kutoka Kwa Allah Kam Vile Qurani Ni Kutoka Kwa Allah Na Wala Hamutonipata Nikikanusha Kati Yake ispokua Zilio Kuja Katiyake Zimikhalifu Muhakam Kitabu Allah Al'Quran Al3adhim, Na Nakariri Na Nasema Hamutonipata Nakanusha Katiyake ila Zile Zilio Kuja Kinyume Na Muhakam Al'Quran Al3adhim, Na Nakariri Kwa Mara Ya Milioni Mara Tena; Hakika Ya Al'imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Hakanushi Katika Ma'Hadithi Ya Sunna Al'Nabawia ispokua ilio Kuja imikhalifu Muhakam Al'Quran Al3adhim.


Na ikiwa Atasema Al'Muutabir:" Hakika Ya Mahdithi Ya Kutumilizwa Al'Mahdi Al'Muntadhar zimekuja zimekhalifu Muhakam Al'Quran Al3adhim", Na Alafu Anarudisha Jibu Kwake Al'imam Nasser Muhammad Na Nassma ile Alio Amirisha Allah Kwa Watu Mfano Wako:
{قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ ﴿١١١﴾} [البقرة].
Allah Ta3ala Asema:{Sema Leteni Ushuhuda Wenu ikiwa Nyinyi Ni Wa Kweli(111)} [Albaqara].

Na Mshuhudisha Allah Kua Hadithi Yoyote Kuhusu Jambo La Al'imam Al'Mahdi imekuja imekhalifu kwa Muhakam Al'Quran Al3adhim Basi Hio Hadithi Ni Ya Uzushi, Na Tumezipitosha Ma'Hadithi Ambazo Za Husu Jambo La Al'imam Al'Mhadi Juu Ya Muhakam Kitabu Cha Allah Tukakuta Ziko Katiyake Zahaki Na Kati Yake Za Batili Uzushi, Na Alafu Nikabomoa Batili Kuzibomoa Kwa Ma'aya Ambazo Ni Muhakama Zilizo Bainika Na Nikazivurndua Na Kiayatu Cha Mgu Wangu Wala Sijali, Na Wala Hutoponyoka Na Mubahala Kuapiza Ya Al'Mahdi Al'Muntadhar Ewe Muutabir Ba'Ada Ya Kumaliza Majadiliano Yetu Kwa ilmu ile Alio Nipa Allah, Na Sitokurudishia Jibu Kwa Kitu tayari iko Fatwa Yake Tumitoa, Ni Juu Ya Ma'Anssar Wakupe Kwako Wakuchapie Kopi Majibu Kwa Nukta Hio Hio Ama Wakufanye iqtibas Katika Sehemu Ya Bayana Sharti iwe iqtibas Imikamilika Kutokana Na Bayana, Na ikiwa Sitokulinda Na Kukuzidi Juu Yako Kwa Utawala Wa iLIMU Kutoka Muhakam Kitabu Cha Allah Na Sunna Za Mtumi Wake Za Haki Basi Mimi Si Al'imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Naseer Muhammad Al'Yamani.

Na Labda Anataka Muutabir Kusema:" Na Nani Alikuambia Wewe Ewe Nasser Muhammad Kua Jina La Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad? Na Alafu Anarudisha Jibu Juu Yake Al'imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Na Nasema: Hakika Hi Ndio Kitu Pekeyake Ambao Wamesikizana Wanazuoni WA Umma Kwa Ikhtilafu Ya Madhehebu Zao Wote Juu Yake Basi Utawakuta Wana'Amini Kwamba Atamtumiliza Allah Al'imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser'an Lii Muhammad Mtume WA Allah Sala Allahu Aleyhi WA Alihi WA Salam, Na Wala Hutowakuta wanaitakidi Kuwa Allah Atamtumiliza Al'Mahdi Al'Muntadhar Ni Nabii Moya Kwa Kitabu Kipya Bali Waitakidi Ispokua Atamtumiliza Allah Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser'An Muhammad'an Sala Allahu Aleyhi WA salim Tasliman WA Alihi WA Sahabatihi Walio Bora, Na Umche Allah Ewe Mu'utabir Wala Usizuwie Watu Kwa Kufwata Bayana Ya Haki Kwa Ukumbusho, Na Namshuhudisha Allah Na Tosha Kwa Allah Kua Shahidi Baina Yangu Na Baina Yako Kua Wewe Ni Katika Ma'Aduwi Wakubwa WA Al'Mahdi Al'Muntadhar WA Haki Sawa Awe Al'imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Ama Mwengine, Basi Lau Utampata Al'Imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Ewe Mutabar Ungemfanya Ni Aduwi Mkuu Basi Hivi Ndivo Walivo Ma'Yahudi Kutoka Babu Na Ma'Babu Na Hakika Nimekujua Tangu Mwanzo Kulingana Na Kauli Za Nyimbo Zako Kutoka Mwanzo WA Jambo, Na Mfano Wako Kama Mfano Wa( Alzaman Alkadim)munazuwia Juu Ya Njiya Ilio Nyoka Na Dhidi Ya Ulinganizi WA Mwaliko WA Kuhukumu Kwa Al'Quran Al3adhim Na Mukamfanya Al'Shetan Al'Rajim Wali Mzuri, Na Kwa Allah Yaregea Mambo Anaejuwa Ukhaini WA Macho Na Kinaco Ficha Ma'Vifuwa Na Kwake Maregeo,


Na Ala Kuli Hali Kitu Muhimu Kabisa Kwetu Kwamba Uniahidi Kwa Mubahala, Eeee Wallah Ambae Hapana Mungu Ila Yeye Sito Sita Sita Kwa Kukufaniya Mubahala Kitu Ewe Muutabir Na Alafu Tunaibtihal Kwa Allah,Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
تصديقاً لقول الله تعالى: {فَمَنْ حَاجَّكَ فِيهِ مِنْ بَعْدِ مَا جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ فَقُلْ تَعَالَوْا نَدْعُ أَبْنَاءَنَا وَأَبْنَاءَكُمْ وَنِسَاءَنَا وَنِسَاءَكُمْ وَأَنْفُسَنَا وَأَنْفُسَكُمْ ثُمَّ نَبْتَهِلْ فَنَجْعَلْ لَعْنَةَ اللَّهِ عَلَى الْكَاذِبِينَ (61)} صدق الله العظيم [آل عمران].
Allah Ta3ala Asema{ Na Atakae Kukuhoji Ndani Yake Ba'Ada Imekujia Ilmu Basi Sema Njoni Tuwaite Watoto Wetu Na Watoto Wenu Na Wake Zetu Na Wake Zenu Na Nafsi Zetu Na Nafsi Zenu Alafu Tufanye Ibtihal Basi Tufanye Lana Ya Allah Juu Ya Wanao'kadhibisha(61)Sadaqa Allah Al3adhim [Alimran].


Na Salam Juu Ya Mitume, Na Al'Hamdulillah Rabi Al3alamin Mlinganizi Kwa Kuhukumu Kwa Al'Quran Al3adhim ili ikashifu Mahdithi Almakdhuba Katika Al'Sunna Al'Nabawia; Al'imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.

وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
الداعي إلى الاحتكام إلى القرآن العظيم لكشف الأحاديث المكذوبة في السُّنة النبويّة؛ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
ـــــــــــــــــــــــ

[URL]http://Read more: https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=14121]