بيانٌ هامٌ جداً لكل مسلمٍ يشهد أن لا إله إلا الله وأنّ محمداً رسول الله ويؤمن بكتاب الله والسُّنة النّبويّة الحقّ ..


Bayan muhimu sana kwa kila Muwislamu anae shuhudia kuwa Laillaha Ila Allah na amishihudia kuwa Muhammad Mtume wa Allah na ana'amini kitabu cha Allah na Anamini Alsuna Alnabawia Za Kweli..




بسم الله الرحمن الرحيم، والصلاة والسلام على محمدٍ رسول الله وكافة الأنبياء والمرسلين وجميع المؤمنين في كلّ زمانٍ ومكانٍ إلى يوم الدين، أمّا بعد..



Basi subirini kusadikisha bayana na kusmamisha hoja katika waqi3 hivi wakati hu wa sasa tuliko kwa mambo yanao tokea hivi tunaona Allah anamsadikishs bayana za Alimam Almahdi yule ambae amifafanuwa mambo yanao tendeka akazitoa moja hadi lingine kabla halijatendeka, Na je yamikuwa kweli, Ama ni ufafanuzi wa siyasa tu kwakudhania na kubahatisha ghaibu kama ufafanuzi wa wafafanuzi wa kisiyasa kwa dhana ambo haifali dhana kwa haki kitu? tuangalieni basi ufafanuzi ulio tamkwa ni upi una ukweli kwa haki na kwa ukaribu na kukata kauli ya dhana ambao haisaidi mbele ya haki kitu.
Basi hata hamuwezi kuwa wachaji, kwakuwa najuwa mimi ni Alimam Almahdi Almuntadhar nnae lingania kwa kuhukumu kwa kitabu cha Allah Alquran Al3adhim katika zama za ikhtilafu za ma hizbu, navile najuwa suna ya Allah kwa wale wanao pinga mwaliko wakuhukumu kwa kitabu hamtupata suna ya Allah ikibadilika wala hamtopata suna ya Allah kugauka, akwafanya mapoti na ma viyama ili muonjeshane ba'aasi mabaya nyinyi kwa nyinyi Hio kwenu ni katika adhabu ya Allah kutokana daraja ya tatu, vile alivopeana Ahdi kwa wanao pinga mwaliko wa Alihtikam kuhukumiana katika muhkam Alkitab kusdikisha kauli ya Allah Akisema:





{قُلْ هُوَ الْقَادِرُ عَلَىٰ أَن يَبْعَثَ عَلَيْكُمْ عَذَابًا مِّن فَوْقِكُمْ أَوْ مِن تَحْتِ أَرْجُلِكُمْ أَوْ يَلْبِسَكُمْ شِيَعًا وَيُذِيقَ بَعْضَكُم بَأْسَ بَعْضٍ ۗ انظُرْ كَيْفَ نُصَرِّفُ الْآيَاتِ لَعَلَّهُمْ يَفْقَهُونَ (65)}



صدق الله العظيم [الأنعام]،



Amesema Allah:{ Sema: Yeye ndiye Muweza wa kukuleteeni adhabu kutoka juu yenu au kutoka chini ya miguu yenu, au kukuleteeni fujo la mfarakano, na kuwaonjesha baadhi yenu jeuri ya wenzao. Tazama vipi tunavyo zieleza Aya ili wapate kufahamu (65)}



sadaqa Allahu Al3adhim:Alan3am]


Na Hivo inapatikana kwa waislamu pindi anapo mchaguwa Allah kwao imamu mwenye ilimu na anamongeza utawala zaidi kwenye ilmu Alkitab.




Na natowa qasam kwa Allah ambae ana 7huisha mifupa kutokana na ramim kuwa Allah katu hatowapa tawfik katika nyoo za mapoti na ma7izbu kwa kutafuta suluhisho kwa kadhia ya Yemen na zingine mpaka wasalimu kwa anae ita mwito wa haki Alimam Nasser Muhammad Alyamani wamsikilize na kufwata anacho sema wasalimu tasliman ilio kubwa mpaka wajuwe kuwa Allah atatimiza amri yake, na lakini wingi watu hawajuwi kuwa Allah anawafanyia hila dhidi yao na anapeleka mambo yanao endelea hivi sasa kwa qadara yake ilio qadiriwa katika kitabu kilio andikwa mpaka wasipate njia wala faraja kwa viyama vote ila wa itikie mwitu wa Alimam Almahdi wakuwahukumu kwa kitabu almuhkam kwa kukukanusha madhehebu tafauti na mapoti
Katika dini ya Allah wajisalimu tasliman mpaka afanye umma wa kislamu umma moja wanafwata njia ilio nyoka kitabu cha Allah Alquran Al3adhim na alsuna Alnabawia Al7haki za haki ambazo hazikhalifu ayat Almuhakamat katika Alquran Al3adhim, na ikiwa hawato itikia mwito wa anaolingania haki basi ishatangulia fatwa yangu kabla muda wa miyaka mengi kuwa. Allah atawavisha muwe mapoti na viyama mukionjana nyinyi kwa nyinyi,




Na kuhusu kiongonzi Ali Abdallah swaleh kwa akili na kiusawa wakishinda mahuti wakapata kushika kuhukumu yaman hapo itakuwa shida kubwa kwa chama cha islah na tandhim Alqaida na ikhwan Almuslimin na kwa kiongozi Ali Abdallah saleh, na wakipata chama cha Alislah na wanao waunga katika viyama wakaweza kuihukumu yaman basi shida kubwa itawapata mahuti na Kiongozi Ali Abdallah swaleh, na labda huwenda Kiongozi Ali AbdAllah swaleh kusema: "ewe Nasser Muhammad, na kwanini Ali AbdaAllah swaleh amiumia katika pande zote mbili iwe wamishinda chama cha Alislah na wanao unga katika viyama vingine ama wamishinda mahuti Ali AbdaAllah swaleh kwa pande zote amiumia? Kwa nini ewe Nasser Muhammad? alafu namjibu Kiongozi Ali AbdaAllah swaleh namjibu kwa haki na nasema: kuwa Allah ataka kufunga milango zote za kuokoka kwako na kwa familia yako mpaka Allah asadikisha ndoto ya Alimam Almahdi kwa haki na utamwambia yeye: nimikukabidhi uongozi na mimi na familia yangu tuko kwenye dhima yako, "na kuhusu mahuti ishatangulia fatwa zetu kuhusu wao kabla ya muda mwingi wa miyak na wawao bado walikuwa wako kwa jabali marwan kuwa chhama chenu hakitoisha mpaka akabidhiwe uongozi Alimam Almahdi Almuntadhar lakini wao hawakusudi kumwandalia Nasser Muhamad Alyamani bali wanamwandalia mahdi wao Muhammad ibnu Alhasan Alaskari,lakini Alkharasani atashtuka kuwa Alyamani ndio yeye dhati yake Almahdi Nasser Muhammad Alyamani ..





Na kwa maskitiko bado mahuti wako kwenye upotevu ulowazi, na kwa maskitiko bado Alislah na Alikhwan Almuslimin wako katika upotevu ulio wazi, na kwa maskitiko bado mfalme suleman ibnu Abdulaziz na waliomunga mkono wako katika upotevu ulio wazi. na kwa maskitiko bado waislamu wote walio tenganisha dini yao wakfanya mapoti na madhehebu na ma viyama wako katika upotevu ulio wazi, na kwa maskitiko bado kiongozi Ali AbdaAllah swaleh yuko katika upotevu ulio wazi mpaka amkabidhi uongozi Alimam Almahdi Nasser Muhammad Alyamani kwakuwa hakuna njia ya kuokoka yeye na familia yake ispokuwa hivo; bali hakuna njia yakuokoka mahuti na maislahi na wayamani wote ispokuwa wamkabidhi uongozi Alimam Almahdi Nasser Muhammad Alyamani kwajili kuwa ANAWEZA KUKANUSHA madhehebu na viyama mapoti katika dini ya Allah kwakuwahukumu katika ya masuna na mashi3a na baki za madhehebu na viyama vote,




Vita va yaman hakika vita hivo asili yake ni vita va kimadhehebu kati ya masuni na mashi3a na wala haitakiwe kwa Alimam Almhadi Almuntadhar amtumilize Allah mwanachama wa kishi3a ama mwana chama wakisuni awu yoyote kati ya wale walio tenganisha dini yao kwa madhehebu tafauti na viyama na mapoti,na namashuhudisha Allah na tosha Allah kuwa shahidi hakika mimi Almahdi Almuntadhar Nasser Muhammad Alyamani siko katika wao kwa kitu wote kutekeleza amri ya Mola wangu mlezi katika muhkam Alkitab katika Alquran Al3adhim katika kauli yake Allah Ta3ala:
{إِنَّ الَّذِينَ فَرَّقُوا دِينَهُمْ وَكَانُوا شِيَعًا لَّسْتَ مِنْهُمْ فِي شَيْءٍ ۚ إِنَّمَا أَمْرُهُمْ إِلَى اللَّهِ ثُمَّ يُنَبِّئُهُم بِمَا كَانُوا يَفْعَلُونَ (159)} صدق الله العظيم [الأنعام].
Allah anasema:{(hakika wale walio tenganisha dini yao wakawa ni vipoti siko na wao katika kitu chochote hakika jambo lao kwa Allah alafu atawanabaisha kwa yale walio kuwa wakitenda{(159)}sadaqa Allahu Al3adhim:Alan3am]





Bada kupat uongozi yaman hatotangaza vita Alimam Almahdi Nasser Nuhammad Alyamani kwa inchi yoyote katika ulimwengu kwakuwa Alimam Almahdi Almuntadhar Alhak Nasser Muhammad Alyamani Anakimbilia kuleta salam kati ya waislamu na kupatikane salama kwa watu wote mainchi zote na anaenda mbio kupatikane salama na kupatikane maisha kati ya mwislamu na kafiri,hakik Wallah lau ingekuwa kipoti katika yaman wanabudu ngombe ama jiwe ama juwa ama mwezi bada ya kushika uongozi yaman nisigetangaza vita ju yao;bali pekeyake nitawaita kumabudu Allah pekeyake ambAe hana mshirika na nismamisha hoja ju yao kutokana na muhkam Alquran Al3adhim Al7hak kutoka kwa mola mlezi wa ulimwengu,na mwenye kutaka Amini na mwenye kutaka Akufuru,kutekeleza amri ya Allah katika muhkam kitabu chake katika muhkam Alquran Al3adhim katika kauli ya Allah Ta3ala Akisema:



{وَقُلِ الْحَقُّ مِن رَّبِّكُمْ ۖ فَمَن شَاءَ فَلْيُؤْمِن وَمَن شَاءَ فَلْيَكْفُرْ ۚ إِنَّا أَعْتَدْنَا لِلظَّالِمِينَ نَارًا أَحَاطَ بِهِمْ سُرَادِقُهَا ۚ وَإِن يَسْتَغِيثُوا يُغَاثُوا بِمَاءٍ كَالْمُهْلِ يَشْوِي الْوُجُوهَ ۚ بأس الشَّرَابُ وَسَاءَتْ مُرْتَفَقًا (29)}





صدق الله العظيم [الكهف]



Allah anasema:{(Na useme haki kutoka kwa mola wenu mlezi hakika mwenye kutaka amini na mwenye kutaka akufuru hakika sisi tumianda kwa madhalimu moto inawazunguka suradikuha na wakitaka msada wanasaidiwa na maji kalmuhli yanachoma uso kinywaji kibaya mmno na wamimalizikia pabaya{(29)}sadaqa Allahu Al3adhim:Alkahf],kwakuwa sio ju ya Muhammad mtume wa Allah sallah Allahu aleyhi wa ala alihi wasalm hisabu wala ju ya Almahdi Almuntadhar,bali ju yetu ni kuwaita na kuwalingania katika njia ya Allah kwa basira kutoka mola wetu mlezi na hisabu yao iko kwa Allah kwajili yahio amifanya pepo kwa atakae kuamini na akajitakasa na akafanya moto kwa yule alie kufuru na akakanusha na ju yetu ni kufikisha na ju ya Allah hisabu ndio akafanya mwenye kuamini na akajitakasa atapata pepo na mwenye kukufuru na akakanusha atapata moto kusadiqisha kauli ya Allah katika muhakama Alkitabu akisema:
{وَقُلِ الْحَقُّ مِن رَّبِّكُمْ ۖ فَمَن شَاءَ فَلْيُؤْمِن وَمَن شَاءَ فَلْيَكْفُرْ ۚ إِنَّا أَعْتَدْنَا لِلظَّالِمِينَ نَارًا أَحَاطَ بِهِمْ سُرَادِقُهَا ۚ وَإِن يَسْتَغِيثُوا يُغَاثُوا بِمَاءٍ كَالْمُهْلِ يَشْوِي الْوُجُوهَ ۚ بأس الشَّرَابُ وَسَاءَتْ مُرْتَفَقًا (29)} صدق الله العظيم .
Allah Anasema:{(nasema haki kutoka kwa mola wako mlezi atakae atamini na atakae atakufuri hakika tumianda kwa madhalimu moto umiwazunguka wao suradiquha na wakitaka msaada wanasaidiwa na maji kalmuhli inachoma uso kinywaji kibaya mno na wamimalizikia pabaja{(29)}sadaqa Allah Alla3adhim:






Na kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:


{وَإِن مَّا نُرِيَنَّكَ بَعْضَ الَّذِي نَعِدُهُمْ أَوْ نَتَوَفَّيَنَّكَ فَإِنَّمَا عَلَيْكَ الْبَلَاغُ وَعَلَيْنَا الْحِسَابُ (40)} صدق الله العظيم [


Allah Ta3ala Asema: {(Na hakika yale tutakuonesha katika badhi yale tulikuwa tuliwa'ahidi ama tufishe hakika ju yako ni kufikisha pekeyake na ju yetu hisabu{(40)} sadaqa Allah Al3adhim:Alra3d], kwakuwa hakuna kulazimisha kwa dini ya Allah mpaka watu wawe waumini, na je mwajuwa kwanini? kwakuwa Allah hatokubali ibada yao kwa mola wao mlezi na wao wamilazimishwa wanachukia mpaka iwe kwa ikhlas ndani ya moyo zao kumogop mola wao sio kuogopa moja katika wanae mwabudu,kusadikisha kauli ya Allah ta3ala akisema:
{(
{إِنَّمَا يَعْمُرُ مَسَاجِدَ اللَّهِ مَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَأَقَامَ الصَّلَاةَ وَآتَى الزَّكَاةَ وَلَمْ يَخْشَ إِلَّا اللَّهَ ۖ فَعَسَىٰ أُولَٰئِكَ أَن يَكُونُوا مِنَ الْمُهْتَدِينَ (18)} صدق الله العظيم [التوبة].

Allah Anasema:{(Hakika anae dumisha nyumba za Allah nimwenye kuamini siku ya mwisho akasmamisha swala akatowa zaka na hakuogopa ispokuwa Allah na 3asaa wahakia wawe ni katika walio'ongoka{(18)} Sadaqa Allahu Al3adhim:Altauba]






Bali Amempa Allah amri Alimam Almahdi Almuntadhar Nasser Muhammad Alyamani hakika amtende uwadilifu kafiri na wema sawa kama mwenzake mumini na afanye uwadilifu kati ya pande zote mbili pindi waki'ikhtalifiana,na afanye uwadilifu kati ya pande zote mbili katika nyumba ya mali beitulmal kwa wote watu waulimwengu,na anachkuwa zaka kutokana na mali ya matajiri waumini na atachukuwa jizya kwa matajiri wakikafiri,tambueni kuwa jizya kiwangu chake ni sawa na kiwango chazaka ile ambao twachukuwa kutoka kwa waislamu,hakia mutambuwe hio itagawanywa kwa mafaqiri wa kislamu na mafaqiri wa kikafiri na kwenye makazi amimwamuru Allah kwa wote mwislamu na kafiri afanye kwa sawa na uwadilifu kusadikisha qauli ya Allah Ta3ala:


: {فَلِذَٰلِكَ فَادْعُ ۖ وَاسْتَقِمْ كَمَا أُمِرْتَ ۖ وَلَا تَتَّبِعْ أَهْوَاءَهُمْ ۖ وَقُلْ آمَنتُ بِمَا أَنزَلَ اللَّهُ مِن كِتَابٍ ۖ وَأُمِرْتُ لِأَعْدِلَ بَيْنَكُمُ ۖ اللَّهُ رَبُّنَا وَرَبُّكُمْ ۖ لَنَا أَعْمَالُنَا وَلَكُمْ أَعْمَالُكُمْ ۖ لَا حُجَّةَ بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمُ ۖ اللَّهُ يَجْمَعُ بَيْنَنَا ۖ وَإِلَيْهِ الْمَصِيرُ}





صدق الله العظيم [الشورى:15].



Amesema Allah Ta3akla {(N kwajili ya hio walinganie waite na uwe na msimamo istiqama vile ulivo amirishwa na usifate hawa zao matamanio yao na useme nimiamini yale yalio teremshawa na mola wangu katika kitabu na nimiamirishwa nifanye uwadilifu kati yenu Allah mola wetu na mola wenu tunao matendo yetu na munao matendo yenu hakuna hoja beina yetu na baina nyinyi Allah atakusanya baina yetu na kwake mwisho maregeo Almassir)} sadaqa Allahu Al3adhim:15]
Na wana haki katika betulmal ya wote kwa uwadilifu kuhusiana mipangilio yukuendesha maisha kwakuwa yachukuliwa zaka kwa mwislamu sawa na jizya kwa kafiri sawa sawa hatafautiani kwa kitu na hio inawekwa kwa betulmal kwa waislamu na kafiri wote wako sawa sawa na haki.




Na mfano wa Alimam Almahdi Almuntadhar Nasser Muhammad Kama mfano wa babu yake Muamad mtume wa Allah sallah Allahu aleyhi wasalm Amesema Allah Ta3allah :{(Na hatukukutuma ispokuwa ni ra7hma kwa ulimwengu)}sadaqa Allah Al3adhim:107:Alanmbiaa]mpaka waone watu uhakika wa hi dini uwadilifu ule ambao amiamirisha Allah mitume wake na maimamu wa kitabu na wote waislamu wawatende mema makafiri na wawafanyie qisti ju yao kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:
{لَّا يَنْهَاكُمُ اللَّهُ عَنِ الَّذِينَ لَمْ يُقَاتِلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَلَمْ يُخْرِجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ أَن تَبَرُّوهُمْ وَتُقْسِطُوا إِلَيْهِمْ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُحِبُّ الْمُقْسِطِينَ (8)} صدق الله العظيم [الممتحنة
Allah Ta3ala Asema:{(Hawakatazi Allah kwa wale hawajapigana na nyinyi katika dini na wala hawakuwatowa kwa nyumbazenu kuwafanyia wema hakika Allah anapenda wanao fanya usawai)} sadaqa Allahu Al3adhim:Almumtahana] na wakiona makafiri hu uwadilifu ambae amiuiusia mola wao kuwafanyia wema na uwadilifu kwa usawa japo kuwa wao ni makafiri hapo ndio inaonekana hikima ya kiungu wazi watasema:" hakika hi ni dini ya haki kutoka kwa mola mlezi wa watu wote ulimwenguni hakuna shaka wala hakuna raib".




Na wala na sitopigana yoyote katika walimwengu ila yule atakae tangaza vita kwa Alimam Almahdi Almuntadhar Nasser Muhammad Alyamani ili akataze mwaliko kwa kumwabudu Allah pekeyake hana mshirika hapo ndio aminiamirisha Allah kupigana nao kusadikisha kaulli ya Allah Ta3ala:


{لَّا يَنْهَاكُمُ اللَّهُ عَنِ الَّذِينَ لَمْ يُقَاتِلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَلَمْ يُخْرِجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ أَن تَبَرُّوهُمْ وَتُقْسِطُوا إِلَيْهِمْ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُحِبُّ الْمُقْسِطِينَ (8) إِنَّمَا يَنْهَاكُمُ اللَّهُ عَنِ الَّذِينَ قَاتَلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَأَخْرَجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ وَظَاهَرُوا عَلَىٰ إِخْرَاجِكُمْ أَن تَوَلَّوْهُمْ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُمْ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الظَّالِمُونَ (9)}





صدق الله العظيم [الممتحنة].



Allah Ta3ala Asema:{(hawakatazi Allah kwa wale ambao hawajapigana na nyinyi katika dini na hawakuwatowa mnyumba zenu muwafnyie wema na uwadilifu hakika Allah apenda anae fanya sawa uwadilifu(18)Kwa hakika amiwakataza Allah kwa wale waliwapiga vita kwa dini na wakawatowa makwenu wakajitolea kuwatowa muwafwate na mwenye kuwafata basi wao ndio madhalimu(19) sadaqa Allahu Al3adhim:Almumtahin]





Kwa maskitiko wale wanao dai kwao ndio mujahidin katika njia Ya Allah hawajui misingi katika jihad kwa njia ya Allah mpaka wamikimbiza watu kwa uwislamu na wawaharibia jina la uwislamu kwenye macho ya walimwengu kwakuwa Allah hawajawmuru kuwauwa makafiri ispokuwa walle wanawauwa wanapigana na yeye ili wazime nuru ya Allah na wakataze uliganizi wenu na mwito wenu wa kumwabudu Allah pekeyake bila mshirika,basi huyu amihalalisha Allah kupigana nawo, kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:

{وَقَاتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ الَّذِينَ يُقَاتِلُونَكُمْ وَلَا تَعْتَدُوا ۚ إِنَّ اللَّهَ لَا يُحِبُّ الْمُعْتَدِينَ (190)} صدق الله العظيم [البقرة



Amesema Allah Ta3ala:{(na mupigane kwa njia ya Allah wale wanao wapiga na musiwafanyie uwadui hakika Allah hapendi wanao fanya uwadui(190)}sadaqa Allah Al3adhim:AlbQara]

Kwa mana Allah hajatoa idhni kwa waislamu ila kuwapiga vita wale wanawapiga vita kuzuwia mwito na ulinganizi kwa dini yao kwa kumwabudo Allah pekeyake hana mshirika kwakuwa Allah amifanya watu uhuru beina yao basi hakuna kulazimishana kwa dini,na nakariri fatwa kwa haki na nasema:


Wallah yule ambae hapana mola abudiwa kwa haki ispokuwa yeye lau kunge tokezea poti katika yaman bada kupokea uongozi tukawaona wanabudu juwa na mwezi nisingewatangazia vita ju yao kusadikisha kauli ya Allah ta3ala akisema:


{قُلْ إِنِّي أُمِرْتُ أَنْ أَعْبُدَ اللَّهَ مُخْلِصًا لَّهُ الدِّينَ (11) وَأُمِرْتُ لِأَنْ أَكُونَ أَوَّلَ الْمُسْلِمِينَ (12) قُلْ إِنِّي أَخَافُ إِنْ عَصَيْتُ رَبِّي عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ (13) قُلِ اللَّهَ أَعْبُدُ مُخْلِصًا لَّهُ دِينِي (14) فَاعْبُدُوا مَا شِئْتُم مِّن دُونِهِ ۗ قُلْ إِنَّ الْخَاسِرِينَ الَّذِينَ خَسِرُوا أَنفُسَهُمْ وَأَهْلِيهِمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ ۗ أَلَا ذَٰلِكَ هُوَ الْخُسْرَانُ الْمُبِينُ (15) لَهُم مِّن فَوْقِهِمْ ظُلَلٌ مِّنَ النَّارِ وَمِن تَحْتِهِمْ ظُلَلٌ ۚ ذَٰلِكَ يُخَوِّفُ اللَّهُ بِهِ عِبَادَهُ ۚ يَا عِبَادِ فَاتَّقُونِ (16) وَالَّذِينَ اجْتَنَبُوا الطَّاغُوتَ أَن يَعْبُدُوهَا وَأَنَابُوا إِلَى اللَّهِ لَهُمُ الْبُشْرَىٰ ۚ فَبَشِّرْ عِبَادِ (17) الَّذِينَ يَسْتَمِعُونَ الْقَوْلَ فَيَتَّبِعُونَ أَحْسَنَهُ ۚ أُولَٰئِكَ الَّذِينَ هَدَاهُمُ اللَّهُ ۖ وَأُولَٰئِكَ هُمْ أُولُو الْأَلْبَابِ (18) أَفَمَنْ حَقَّ عَلَيْهِ كَلِمَةُ الْعَذَابِ أَفَأَنتَ تُنقِذُ مَن فِي النَّارِ (19)}
صدق الله العظيم [الزمر]
Allah amisema:{(Mimi nimiamrishwa ni mwabudu Allah na ikhlas ni yake dini(11)Na nimiamuriwa niwe wakwanza katika waislamu(12)Sema mimi naogopa nikimaaasi mola wangu mlezi adhabu ya siku kuu(13)Sema kwajili ya Allah nabudu na ikhlasi niyake dini(14)Na abuduni munao taka pasi na yeye sema hakika wenye kuhasirika ni wale walio pata hasara za nafsi zao na watu wao siku ya qiyama hakika hio ndio hasara kubwa mno(15)watapata kivuli cha moto ju yao na chini yao kivuli cha moto hivo anawatisha Allah waja wake basi enye waja wangu niogopeni(16)na wale walio jitenga na taghut na kuwabudu na wakataka kulekea kwa Allah basi wana bishara wabashirie waja wangu(17)wale wanao sikiza kauli wakafwata ilio bora hao ndio Amiwaongoza Allah na hawo ndio wenye akili(18)hakika yule ambae anastahiki moto kwa haki wewe utaweza kumtowa alioko motoni(19) sadaka Allah Al3adhim:Alzumur). kwajili ya hio Allah amifanya pepo na moto,ispokuwa Allah ametuamuru tusmamishe hoja ju yao kwa haki na tuwalinganie kwa kumwabudu Allah bila mshirika kwa hikima na mawaidha ilio bora na kuwa aliowaumba na akaumba juwa na mwezi yeye ndio mwenye haki kuabudiwa Allah mola wa walimwengu,mpaka tukismamisha hoja ju yao kwa basira kutoka kwa Allah hapo imishasmamishea hoja ju yao na maregeo yao motoni,kwa kuwa ju yetu ni kufikisha na ju ya Allah kufanya hisabu.




Na hajambiwa na Allah ku'uwa kafiri kwasababu ya kukufuru kwake,sema leteni burhani yenu ikiwa nyinyi wakweli,na nani aliowapa fatwa kwa hilo?hakuna kulazimisha katika dini ya Allah,nawambia wallahi yule ambae hakuna mungu ispoukuwa yeye mimi ni Almhdi Almuntadhar kwa haki kutoka mola wenu mlezi sito mhamisha kafiri hajanipiga vita kwa dini ya Allah,na mimi nitamfanyia wema na uwadilifu na nitamchukulia kama ninavo wachukulia ma Alansar Alsabiqin Alakhyar kuwapa hishima na kuwafanyia tabia njema,sababu najuwa atakavo ona kafiri kutokana na matendo mema kuhishimiwa na tabia njema na kumfanyia uwadilifu itawafanya wakinai ndani ya moyo zao kuwa hi dini ya haki na uwadilifu kutokana kwa mola mlezi wa ulimwengu,ama nije niwaoneshe uwadui na chuki na yeye sio aduwi wa Allah ilatu ni kafiri kwa yale alio teremsha mola mlezi lakini hawaingili wala kuwapiga vita wale walio mwamini Allah,na pindi akiona unavo mtendea wema na kumfanyia uwadilifu hapo atakiani kuwa hi dini imiteremshwa na mola mlezi waulimwengu,ndio bada hapo atasema;"Nashuhudia kuwa hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ispokuwa Allah na Muhammad mtume wa Allah na namini kwa hi Alquran Al3adhim ambao inamuru uwadilifu na wema hata kama anaikufuru Alquran",hapo mutaeeza kuwafanya watu waukubali na kuwa na kinaa kwa dini ya kislamu haki ni dini ya rehma kwa walimwengu,ama pindi wakiwaona munwachukia kwa hoja kuwa wanakufurisha Alquran Al3adhim lakini hawajawapiga vita wala hawajawazuwia da3wa yenu uliganizi wenu basi WAllah yule ambae hakuna mola ispokuwa yeye hamutowaongeza ila kuzidi kukufuru kwa Alquran Al3adhim wala hamtowaongoza kwa haki kabisa,je kwani mushasahau amri ya Allah kwenu katika muhkam ya kitabu chake kilio wazi katika kauli yake Allah Ta3ala Akisema:


{ادْعُ إِلَىٰ سَبِيلِ رَبِّكَ بِالْحِكْمَةِ وَالْمَوْعِظَةِ الْحَسَنَةِ ۖ وَجَادِلْهُم بِالَّتِي هِيَ أَحْسَنُ ۚ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ ۖ وَهُوَ أَعْلَمُ بِالْمُهْتَدِينَ (125)}



صدق الله العظيم [النحل]
Allah asema:{(lingania katika njia ya mola wako mlezi kwa hikima na mawaidha ilio bora na jadiliana nao kwa ile ilo zuri hakika mola wako mlezi anajuwa nani alio potea katika njia yake na yeye anajuwa wale walio ongoka)}125)sadaqa Allahu Al3adim:Alnahl]


Ama munaona kuwa mutawaongoza kwa kuva mikanda ya milipuko muwalipe ndani ya ma clabu zao?Bure yenu Bure yenu! Hakika wallahi hamutowazidisha ila uwaduwi na chuki katika dini ya rahma kwa ulimwengu,





Lakini tatizo kubwa pindi wakiwaona enye waislamu munamwaga damu yenu nyinyi kwa nyinyi,hapo ndio wanawambia ma'aduwi wa Allah katika mashetani wa kijini na mashetani watu;"watawambia hivi hamuoni waislamu wanavo uwana wenyewe kwa wenyewe na Alhali wao ni waislamu?mwaonaje kama khilafa yao ikismama ju ya walimwengu,kitu gani watawafanyia na nyinyi ni makafiri?",hapo ndio mutakapo wakimbiza walimwengu kuikinai na kuikata dini ya kislamu,na kukimbia pia kutotaka kujifundisha na kujuwa Alquran Al3adhim,na tena kuwaona muko kwenye upotevu ulio wazi,





Na nawauliza kwa jina la Allah Al3adhim yule ambae alifanya akilienu kuiogopa bayana hi kwa haki muamuwe kutangaza kusmamisha vita baina yenu na muitikie mwito wa Alimam Almahdi Nasser Muhammad Alyamani kwajili ya kuhukumiana kwa dini ya Allah kukanusha madhehebu na vyama katika dini ya Allah,na niwarudishe katika mnhaj Alnubuwa ya mwanzo vile alivo kuwa Muhammad na wale walio kuwa na yeye washupavu kwa makafiri wake wanao wapiga vita katika dini yao na wanahurumiana baina yao,kwa maskitiko makafiri kwenu wote ni sawa !Na WAllahi hawajawa sawa makafiri katika Alquran Al3adhim na wale wanao ingilia dini ya Allah na kuzuwia ulinganizi wake na ujumbe wake katika wale wanao taka kuzima nur ya Allah,lakini wengi katika makafiri wamiunga vita dhidi ya uwislamu na waislamu na makafiri wale ma'aduwi wa Allah kwakuwa wamiwatisha wakawambia:hamuoni waislamu wanauwana wao kwa wao japo kuwa wote wanashuhudia kuwa la ilaha ila Allah Muhammad rasul Allah na wanamini wote Alquran Al3adhim?je wata wafanya nini ukifkiria pindi khilafa yao ikismama ulimwengu mzima basi watawafanya nini yule Ambae hakushuhudia kuwa La ilaha ila Allah Muhamad rasul Allah na kuamini Quran?kitu gani watamfanya?",hakika wallahi yule ambae hakuna mola ispokuwa yeye hakika nyinyi mumiwatisha walimwengu kwa yale munao yafanya nyinyi kwa nyinyi kwakuwana na kusulubiana kutenganisha kichwa na mwili, je munajiona nafsi zenu nyinyi ni walinganizi wa haki na Nasser Muhammad Alyamani yule ambae anawaita na kuwalingania muje ili muhukumianie kwa kitabh cha Allah kwa haki Alquran Al3adhim na suna Alnabawaia za haki munamona yuko katika upotevu !!Basi Hukumu ni ya Allah na yeye ni mwenye haraka zaidi kuhisabu,




Basi WAllahi yule ambae hakuna mungu ispokuwa yeye hawatopata wote waislamu na makafiri suluhisho na njia ya kutoka kwenye hi fitna ambao alio sababisha wale wanao sema kauli ju ya Allah kile wasiokijuaa na wale wanaomzulia Allah na mtume wake mpaka waitike kwa hukumu ya Alimam Nasser Muhammad Alyamani katika yote yale walikuwa wakigombania,na sharti kwa Almhadi Nasser Muhammad awatole pekeyake istinmbat kwa ufafanuzi wa ndani kwa kina hukumu ya Allah baina yao kwa yale walio kuwa waki ikhtalifiana ndani ya diniyao kuwatolea hukmu ndani ya Alquran Al3adhim kwa sharti iwe aya katika Alymhakamata ilio wazi yabainika yaeleweka kwa wanazuoni wa ummah na waislamu kwa jumla,yani wazi kwa yule mwenye ulimi wa kiarabu ulio wazi awe ni mwarabu ama a3jami wenye luga isio ya kiyarabu na hio baina yangu na nyinyi,na hakuna kitu kwa Alimam Almahdi Nasser Muhammad Alyamani ispokuwa amisema Allah Amisema mtume wa Allah,na sijwalete wahi mpya hata kwa neno moja,na nikiwambia neno moja sio kutoka kwa Allah na mtuwe wake kwa haki basi mimi si Alimam Almahdi Almuntadhar Nasser Muhammad Alyamani,





Na enye ummah wa kislamu,hakika amifanya Allah habari ya Almahdi Almuntadhar katika jina lake(Nasser Muhammad)kusadikisha hadithi Alnabawi kwa haki khusu kuaashiria jina la Muhammad kuwa litawafikiana na jina la Alimam Almahdi Nasser Muhammad Kwakuwa neno la (Altawatou)kuwafikiana sio (Altatabuq)kufanana kama munavo zuwa,bali neno (altawatou) ni kuwafikiana linawafikiana,yani inawafikiana jina la Muhammad kwa jina la Alimam Almahdi Nasser Muhammad,kwa hio hadithi kuna hikma kubwa kwakuwa hatomtumiliza Allah Alimam Almahdi kwa dini mpya ama bada ya alio khitimisha manabi na mitume;bali atamtumiliza Allah Almahdi Almuntadhar Nasser Muhammad yani Nasseran mwenye kuinusuru yale yalio teremshwa kwa mtume Muhammad sallaAllahu aleihi wal Alihi wasalam,kwa hio nawambia sina wahiyu mpya ila amisema Allah amisema mtume wa Allah,basi na mpaka lini kukanusha ulinganiZi wakati imiwaweka saw akili zenu na imikubaliana na kusalimu kwake kuwa ni haki?alfu murudi tena musifwate akili zenu ambazo hapati upofu kuona hak,je nyinyi ni waislamu na waumini kwa yale yalio teremka kwa Muhammad mtume wa Allah Alquran wa Alsuna Alnabawia Alhak kwa haki zile ambazo hazikhtalifiani na Muhkam Alquran Al3adhim?basi itikieni mwito wa Alihtikam kuhukumu kwa kitabu Cha Allah Alquran Al3adhim walsuna Alnabawia Alhak kwasharti kuzipitisha Alahadithi Alnabawia katika muhkam Alquran Al3adhim zile ahadith zitakao khalifu yale yaloteremshwa na Allah katika muhakamat kutoka kwa Alquran Al3adhim basi hadithi hio imizuliwa katika Alsuna Alnabawia sio kutoka Kwa Allah na mtume wake,na hio basi baina yangu na baina nyinyi,





Basi fikisheni balighisheni enye ma3ashara Alansar Alsabiqina Alakhyar hi bayana kwa njia ya intarnet ya ulimwengu na mitandao yote ya kislamu na peji za facebook na whatsap na mukopi muziprint muzigawanye katika familia zenu na mara fiki zenu na munaowajuwa,lakin ispokuwa kugawanya makaratasi barbarani ili musiweke nafsi zenu kwenye hatari na kushukiwa,kulingana na mambo yanopita katika inchi za kislamu na mainchi za makafiri,bali yatakiwa muifanyie hi bayana uwangalifu ipatikane kugawanywa na kubalighisha kwa watu wingi,na wingine wanao subiri je atatowa uwongoI Ali AbdaAllah swaleh amkabidhishe Nasser Muhammad Alyamani?na kutoka hapo nawajibu kwa haki na nasema:hakika mimi najuwa sijamzulia Allah na lana ya Allah kwa wanaozuwa urongo kwa mola wao mlezi kwa kuwa masala ya kunikabidhi uongozi Ali AbdaAllah swaleh nimiona zaidi ya ndoto saba kutoka kwa Allah kuwa atambana kila njia ya kusalimika mpaka ataona hakuna njia mpaka amkabidhi Nasser Muhammad Alyamani uongozi ndio atasalumika yeye na familia yake mpaka asalimu uongozi kwa Alimam Nasser Muhammad Alyamani japo kuwa yeye mpaka sasa hajamini kuwa Nasser Muhammad Alyamani ndio Almahdi Almuntadhar hajasadikisha na hajakadhibisha,na wingine katika maviyama hawajakadhibisha wala hawajasadikisha,Alfu nawajibu kwa haki na nasema;hamutaki kuamini mpaka muone adhabu inaoumiza?na hatokhalifu Allah amri yake na mwisho uwema ni la wachaj,hakika nwatakia muokoke wala sio kuangamiza,wasabron jamil na subira njema,japokuwa umri wa ulinganizi wakimahdi umingia mwanzo wamiyaka kuminambili na mpaka sasa katika waislamu wengi bado wanakata mwaliko na ulinganizi wa kufwata kitabu Alquran Al3adhim na Alsuna Alnabawiha za haki ambazo hazikhalifu muhkam Alkitab Alquran Al3adhum ila wale walio hurumiwa na mola wangu mlezi Alanssar Alsabiqin Alakhyar,




Na mwisho wa kukhitimisha bayana yangu hi natagaza challenge kwa mfalme Suleman ibnu 3abdil3aziz Alsu3ud,na natangaza challenge kwa kiongozi 3ali3abdaAllah sawaleh,na natangaza challenge kwa bwana 3abdulmalik Alhuti na wote ma isla7hiyin na mahuti na baki va viyama vote viluoko Yaman na kando na Yaman kuwa hawapati njia ya suluhisho ispokuwa wakubali kumtambuwa Nasser Muhammad Alyamani imamu wa waislamu,na mwenye amikubali na kumtambuwa kuhusu jambo la Nasser Muhammad Alyamani kuwa analingania na kuwalika kwa haki na anaongoza kwa njia ilio nyoka na akpeana bey3a katika upande wa bey3a katika tovuti yetu basi amiwajibika Alimam Almahdi kwa jaza ya ihsani kumpa ihsani na amkitishe kwenye ufalme wake na atamzidishia utukufu ju ya utukufu wake,kwani je jaza ya ihsani ni hisan? Na salam kwa mitume wote na Alhamdulillah rabi Al3alamin.

Ndugu yenu Alimam Almahdi Nasser Muhammad Alyamani.
أخوكم الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.

۞منتديات البشرى الإسلامية۞
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=217187