✅30 MGONGANO wa MAHDITHI




- 3 -
الإمام ناصر محمد اليماني
04 - 05 - 1426 هـ
11 - 06 - 2005 مـ
ـــــــــــــــــــــ




{ وَعِبَادُ الرَّحْمَنِ الَّذِينَ يَمْشُونَ عَلَى الْأَرْضِ هَوْنًا وَإِذَا خَاطَبَهُمُ الْجَاهِلُونَ قَالُوا سَلَامًا }
Allah Ta3ala Asema:{Na waja wa Alra7hman wale ambao wanatembea katika Ardhi taratibu na pindi waki'wazungumzisha majahili wanasema salman}Sadaqa Allahu All3adhim




بسم الله الرحمن الرحيم {وَعِبَادُ الرَّحْمَنِ الَّذِينَ يَمْشُونَ عَلَى الْأَرْضِ هَوْنًا وَإِذَا خَاطَبَهُمُ الْجَاهِلُونَ قَالُوا سَلَامًا} صدق الله العظيم [الفرقان:63]، والسلام عليكم ورحمة الله وبركاته، والسلام علينا وعلى عباد الله الصالحين أجمعين، أما بعد..


Bismillah Alra7hman Alra7him
Allah Ta3ala Asema:{Na waja wa Alra7hman wale ambao wanatembea katika Ardhi taratibu na pindi waki'wazungumzisha majahili wanasema salman} Sadaqa Allahu All3adhim[Alfurqan:63].


Asalam 3alekum Wara7hmatu Allah Wabarakatuhu, Na salam ju yetu na waja wema wote wa Alla, Ama baad..




Nilikuwa niko kijijini na hakuna internt kwetu kijijini kwajili ya hivo imichelewa jibu langu kwa yule alio sifu khitab zangu kuwa "Bilkhoza'3balat"porojo tupu, Na Nasema: Allah Akupe afu ndugu mtukufu kwani wanakuwa sawa wale wanao juwa na wale hawajuwi? Hakika atakae kumbuka ni maenye Akili "ulilALBAB", Na yule mwenye kuta'Dabar kupeleleza khitab zangu na yeye anataka kufahamu Anasema: Mola wangu nizidishie ilimu, Itakuwa haki ju ya Allah Amfanyie furqani, Na hio ni nuru roho kutoka kwa Allah inateremka kwa moyo na hio ni Akili ilio endelea na darbini imipanuliwa wanaonea uzito wa kitone katika madhambi wanaiona ukubwa wake kama jabali kubwa kati ya majabali yote, Ikawa amikuwa ana Moyo in Akili anatafautisha haki na batil, Na hio ndio mana yake katika kauli ya Allah Ta3ala:
{يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنْ تَتَّقُوا اللَّهَ يَجْعَلْ لَكُمْ فُرْقَاناً} صدق الله العظيم [الأنفال: 29].
Allah Ta3ala Asema:{enye mulioamini hakika mukimcha Allah atawafanyia furqanan} Sadaqa Allah Al3adhim]Alanfal:29]




Na hio ndio Nur Albasira katika moyo wa waumini na ambae hakmfanyia yeke nur basi hana pakupata nur,
{فَإِنَّها لا تَعْمَى الأَبْصَارُ ولَكِن تَعْمَى القُلُوبُ الَّتِي فِي الصُّدُورِ} [الحج: 46].
Allah Ta3ala Asema:{hakika haiwi upofu kwa macho upofu huwa katika moyo ziliyoko katika vifuwa}[Al7haj:56]







Lakini nimikuta kwa hio hadithi inao'ipinga hadithi ingine ndefu kuhusu shafa3a asema: [Ana laha Ana laha]Mimi ndio nitweza mm ndio nitweza, Na tutajuwa vipi Ndugu mtukufu ipi ni sawa na ipi ni batel ile ili zushwa? Jikusanye uje nikuoneshe ipi ni ya haki ikiwa unataka haki Na Haitakikani kwangu niseme hi haki na hi batel kwa dhan'na kudhania haisaidi kitu mbele ya haki , bali naipokea hadithi kwangu na Alio itowa na ikiwa sio kutoka kwa Allah nitakuta baina yake na Alquran imitafautiana tafauti kubwa sana, Na kwakuwa mimi ni katika Uli Almari kwenu Njo nikuis'tinbatie kuikuchunguzia kutoka Alquran Al3adhim ipi katika hadithi mbili zilio pokelewa alafu zote mbili mutawatir tak'riban, ile nitakao kuta yzidisha Alquran mwangaza na ufafanuzi hio ni ya Mtume wa Allah alafu yatakiwa ujuwe mimi si hukumu kwa kupima bali nitastanbat nikutole aya yahusiana na hilo jambo haipiti unyele ziada Amesema Allah Ta3ala

{وَأَنذِرْ بِهِ الَّذِينَ يَخَافُونَ أَن يُحْشَرُواْ إِلَى ربّهم لَيْسَ لَهُم مِّن دُونِهِ وَلِيٌّ وَلاَ شَفِيعٌ لَّعَلَّهُمْ يَتَّقُونَ} صدق الله العظيم [الأنعام: 51].
Amesema Allah Ta3ala:{Na uwaonye kwa hi wale Ambao wanaogopa kuhushiriwa kwa mola wao hawana pasi na yeye wali wala shafi3 huwenda wakawa ni wachaji} Sadaqa Allah Al3adhim[Alna3am:52]


{لِيَقْطَعَ طَرَ‌فًا مِّنَ الَّذِينَ كَفَرُ‌وا أَوْ يَكْبِتَهُمْ فَيَنقَلِبُوا خَائِبِينَ ﴿١٢٧﴾ لَيْسَ لَكَ مِنَ الْأَمْرِ‌ شَيْءٌ أَوْ يَتُوبَ عَلَيْهِمْ أَوْ يُعَذِّبَهُمْ فَإِنَّهُمْ ظَالِمُونَ ﴿١٢٨﴾ وَلِلَّـهِ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْ‌ضِ ۚ يَغْفِرُ‌ لِمَن يَشَاءُ وَيُعَذِّبُ مَن يَشَاءُ ۚ وَاللَّـهُ غَفُورٌ‌ رَّ‌حِيمٌ ﴿١٢٩﴾} صدق الله العظيم [آل عمران].

Na Akasema Allah Ta3ala:{Ili Akate upande katika wale walikufuru ama awaumize wagauke na majuto(127)Huna uwezo wa kitu katika jambo ama awatubie Ama awadhibu hakika wao ni madhalimu(128)Na ni ya Allah kiliyomo katka Mbingu na kiliyomo katika Ardhi Anaghufiria Anae mtaka na Anadhibu mwenye kutaka na Hakika Allah mwenye wakusamehe na mwenye huruma(129)}Sadaqa Allah Al3adhim[Al3amran],





Na pindi Alipo shuka Jibril kwa hi aya kwa Mtume wa Allah na Alikuwa Ameka kwa kikao chake kinacho julikana pamoja na Masahaba wake Alafu Akaita Muhammad Mtume Wa Allah-Sallah Allahu Aleyhi wa Alihi wa Salam-mbele ya maskio ya Maswahaba wake walio kirimiwa, Akasema: [Ya Fatmah bint Muhammad] Akitika nyuma ya 7hijab Akasema: "Labeyk Ya Abati" Labek ooo Babangu, Akasema:[Fanya Hakika sina uwezo wakukusaidia mbele ya Allah kitu] Sadaqa Rasul Allah Sallah Allahu Aleyhi Wasalam,




Na yeye anataka Maswahaba wasikie kuwa yeye hawezi mushufa3ia Binti yake na nivipi atashufa3ia ummah wake? Bali wanataka Mayahudi mubaligh" mupitishe kwa Mtume wa Allah bila ya Haki kama walivo pitisha Manasara kwa Almasi7h Isa ibnu Maryam, Bali Shafa3a ni ya Allah yote Na Siri yake ni kubwa hakuna ajuwa ila Mja Moja pekeyake katika waja wa Allah inampasa kwake shafa3a na yeye ndio pekeyake Allah anamwezesha wasila, ila kwamba Mtume Wa Allah Amesema: Na tarajia kuwa ni mimi,Na huyu Mja Ni hajulikani hakuna ajuwae siri yake ila Alhayi Alqayum, Asema Allah Ta3ala:
{يَوْمَئِذٍ لَّا تَنفَعُ الشَّفَاعَةُ إِلَّا مَنْ أَذِنَ لَهُ الرَّ‌حْمَـٰنُ وَرَ‌ضِيَ لَهُ قَوْلًا ﴿١٠٩﴾ يَعْلَمُ مَا بَيْنَ أَيْدِيهِمْ وَمَا خَلْفَهُمْ وَلَا يُحِيطُونَ بِهِ عِلْمًا ﴿١١٠﴾ وَعَنَتِ الْوُجُوهُ لِلْحَيِّ الْقَيُّومِ وَقَدْ خَابَ مَنْ حَمَلَ ظُلْمًا ﴿١١١﴾}

صدق الله العظيم [طه

Allah Ta3ala Asema:{Siku hio haitofa shafa3a Ila Alio pewa Idhini na Alrahman Akaridhi Kauli yake(109)Anajuwa yale mbele ya mikon yao na nyuma yao wala hawana ilmu nae(110)Zikaohopa mauso kwa Alhayu Alqayum Na amiumia mwenye kubeba dhulma(111) Sadaqa Allah Al3adhim[TAha]




Na Allah hakusudi nafsi yake kusema kwake hawana ilimu nae: Bali ni huyu Mja Alio pewa idhni na Alrahman Akaridhia kwa kauli yake, Na ni matakawa ya Allah Ampa Idhini kwa amtakae na haikuwa kwa Mja asubutu mbele ya mikono ya Allah awe anasema Nishufa3ie: Bali zimiogopa Masauti kwa Al7hyu Alqayum husiki ila kimya, Na hapa tumipata hadithi ya haki imewafikiana na yale yalio kuja ndani ya Alquran, Na Ama Hadithi ya batil tumipata imitafautiana na Alquran na Hadithi ya haki kutoka kwa Mtume wa Allah katika jambo la shafa3a, Na eee Kustajabu kwangu kwa Ummah wanatowa riwaya za Mahadithi zinazopingana, Na lau wange tadabar kupeleleza Alquran wangeweza kutafautisha baina haki na batel, Ndio watapata baina ya Alquran na baina ya Hadithi ambao sio kutoka kwa Allah tafauti nyingi, Na ma'ana qauli yake kusema haitoki kwa Allah Yani Mayahudi na viongozi wao kutokana na mashetani wale Ambao walio kuja kwa Mtume wa Allah, Amesema Allah Ta3ala:

{إِذَا جَاءَكَ الْمُنَافِقُونَ قَالُوا نَشْهَدُ إِنَّكَ لَرَ‌سُولُ اللَّـهِ وَاللَّـهُ يَعْلَمُ إِنَّكَ لَرَ‌سُولُهُ وَاللَّـهُ يَشْهَدُ إِنَّ الْمُنَافِقِينَ لَكَاذِبُونَ ﴿١﴾ اتَّخَذُوا أَيْمَانَهُمْ جُنَّةً فَصَدُّوا عَن سَبِيلِ اللَّـهِ إِنَّهُمْ سَاءَ مَا كَانُوا يَعْمَلُونَ ﴿٢﴾}
صدق الله العظيم [المنافقون
Allah Ta3ala Asema:{Pindi wakikujia wanafik wanasema tunashuhudia kuwa wewe ni mtume wa Allah Na Allah Anajuwa kuwa Wewe ni Mtume Wake Na Allah anshuhudia kuwa wanafik hakika ni warongo(1)Wanefanya Imani yao ni ngao wakaziwia njia ya Alah hakika ni maovu mno yale wanao yafaya(2)Sadaqa Allah Al3adhim[Almunafiqun]






Na wakapoteza waislamu kwa njia ya mahadithi mpaka wakawarudisha bada imani yao ukafiri na hao ndio Amewahadharisha Allah ju yao,


{يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِن تُطِيعُوا فَرِ‌يقًا مِّنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ يَرُ‌دُّوكُم بَعْدَ إِيمَانِكُمْ كَافِرِ‌ينَ ﴿١٠٠﴾ وَكَيْفَ تَكْفُرُ‌ونَ وَأَنتُمْ تُتْلَىٰ عَلَيْكُمْ آيَاتُ اللَّـهِ وَفِيكُمْ رَ‌سُولُهُ وَمَن يَعْتَصِم بِاللَّـهِ فَقَدْ هُدِيَ إِلَىٰ صِرَ‌اطٍ مُّسْتَقِيمٍ ﴿١٠١﴾}


صدق الله العظيم [آل عمرن
Allah Ta3ala Asema:{Enye wale walio Amini hakika mukiwaskiza kundiu katika wale walio pewa kitabu watawarudisha bada ya imani yenu makafiri(100)Na vipi mutakufuru na nyinyi inasomwa kwenu kitabu cha Allah na yuko ndani yenu Mtume Wa Allah na mmwenye kujifunga na Allah basi amiongozwa kwenye njia ilio nyoka(101)} Sasaq Allah Al3adhim[Al3imran]





Na Akasema Allah Ta3ala:


{أَفَلَا يَتَدَبَّرُ‌ونَ الْقُرْ‌آنَ ۚ وَلَوْ كَانَ مِنْ عِندِ غَيْرِ‌ اللَّـهِ لَوَجَدُوا فِيهِ اختلافا كَثِيرً‌ا ﴿٨٢﴾ وَإِذَا جَاءَهُمْ أَمْرٌ‌ مِّنَ الْأَمْنِ أَوِ الْخَوْفِ أَذَاعُوا بِهِ ۖ وَلَوْ رَ‌دُّوهُ إِلَى الرَّ‌سُولِ وَإِلَىٰ أُولِي الْأَمْرِ‌ مِنْهُمْ لَعَلِمَهُ الَّذِينَ يَسْتَنبِطُونَهُ مِنْهُمْ ۗ وَلَوْلَا فَضْلُ اللَّـهِ عَلَيْكُمْ وَرَ‌حْمَتُهُ لَاتَّبَعْتُمُ الشَّيْطَانَ إِلَّا قَلِيلًا ﴿٨٣﴾}

صدق الله العظيم [النساء

Allah Ta3ala Asema:{Hivi hawatadabar kupeleleza Alquran na lau inge kuwa haitoki kwa Allah wange kuto ndani yake tafauti nyingi(82)Na ikwajia Amri la usalama Ama khufu wataitangaza na wange rudisha kwa Mtume Ama kwa wanao miliki amri ju yao wangeijuwa wanao istinbat kwa undani kati yao Na lau fadhala ya Allah ju yenu na rehma yake mungemfata shetan ila kidogo(83)}Sadaqa Allah Al3adhim[Alnisaa]




Na maana kauli yake Alla Ta3ala: {وَإِذَا جَاءَهُمْ أَمْرٌ‌ مِّنَ الْأَمْنِ}
Kauli yake Allah Ta3ala:{Na pindi ikiwajia Amri katika usalama}Yani Hadithi kutoka kwa Mtume wa Allah-sala Allahu Aleyhi walihi wasalam-Na mwenye kumti Allah na Mtume wake atakuja siku ya qiyama amesalimika na Adhabu ya Allah, Na maana kauli yake (Ama khofu) Nayo ni yule mwenye kuwati3i Mayahudi Mashetani atakuja ana khofu siku ya qiyama bali moyo zao zimijawa na upepo kwa khofu, Na mana (wanatangaza) Nayo ni kutafautiana kwa waislamu kwa hi hadithi ambao yatoka kwa Mtume wa Allah, Poti linasema yatoka kwa Mtume wa Allah na lingine linakanusha kuwa si kutoka kwa Mtume wa Allah, Na maana ya kauli yake (Lau wangei'rudisha kwa Mtume)Yani kwa Mahadithi za Mtume je inatafuti hadithi kwa kitu, Na maana ya kauli (wlio miliki Amri kati yenu)
Nawao ni walio na msingi madhbuti katika ilimu wale walio pewa na Allah ilmu ya kitabu ndio wakaweza ku'istinbat kwa undani hukmu kwa Ma'aya ya Alquran Al7hakim ndio wanapata katika Alquran yale yanatafautiana na hi hadithi ikiwa haitoki kwa Allah na Mtume wake,Awu anastanbat kwa undani ma'aya yanatfikiana na hadithi hi alafu inakuwa burhan kuwa hi hadithi ni kutoka kwa Allah na mtume wake,Na maana kauli ya Allah Ta3ala: {وَلَوْلَا فَضْلُ اللَّـهِ عَلَيْكُمْ وَرَ‌حْمَتُهُ لَاتَّبَعْتُمُ الشَّيْطَانَ إِلَّا قَلِيلًا}
Maana kauli ya Allah Ta3ala:{Na lau fadhla ya Allah ju yenu na rahma yake mungefwata shetani ila kidogo}, Na hapa ndio bishara kubwa kwa muokozi wa watu wote kwa shetan rajim hatomfwata ila waliojimiliki kwake na wao wanajuwa kuwa ni shetan rajim na wanakufuru haki na wao wajuwa kuwa ni haki na wao wanachukia haki hawo ndio Anawalani Allah na wanawalani na wenye kulani, Na ishakuja haki lakini wengi wenu hamujuwi wanajadili kwa batil ili wazime haki na wao hawajuwi, Na nani ana ukweli kuliko Allah, basi hadithi gani bada ya hio wata'amini?,




Na pindi itakapo smama Mmwezi mbele ya juwa kwenye kusuf itakao kuja katika mwanzo wa ramadhani (1426) Na hio ni alama kutoka kwa ,Mola wa walimwengu labda huwenda mukamini haki, Na wingi wenu kwa haki munachukia,
Na kitu gani kitanifanya nijuwe kuwa Mwezi itasmama mbele ya Juwa bali hio ndio mana ya kauli yake Ta3ala:
{أَلَمْ تَرَ‌ إِلَىٰ رَ‌بِّكَ كَيْفَ مَدَّ الظِّلَّ وَلَوْ شَاءَ لَجَعَلَهُ سَاكِنًا ثُمَّ جَعَلْنَا الشَّمْسَ عَلَيْهِ دَلِيلًا ﴿٤٥﴾ ثُمَّ قَبَضْنَاهُ إِلَيْنَا قَبْضًا يَسِيرً‌ا ﴿٤٦﴾}

صدق الله العظيم [الفرقان].
Allah Ta3ala Asema:{hivi hujaona kwa mola wako vile Alivo Inyosha kivuli na lau agetaka akifanya imiesmama alafu tukafanya Juwa Kwake dalili(45)Alafu tukalishika kwetu kidogo(46)} Sadaqa Allah Al3adhim[Alfurqan]




Na hi Aya imishuka bada kusuf ya Juwa katika Ahdi ya Mtume wa Allah-Sallah Allahu Aleyhi wa Alihi wa salam-Na alikuwa Mtume wa Allah mra ya kwanza kuona kusuf ya Juwa Akasema Allah Ta3ala anamzungumzia Mtume wake:
{أَلَمْ تَرَ‌ إِلَىٰ رَ‌بِّكَ كَيْفَ مَدَّ الظِّلَّ}
{hivi huoni kwa mola wako alivo nyosha kivuli}
Na inavo julikana kivuli ni kivuli cha kitu ambao inafinika mwangaza wa juwa nayo ni mwezi, Na ilikuwa Makka kumifinikika na kivuli cha mwezi katika hio kusuf Alafu Akasema:
{وَلَوْ شَاءَ لَجَعَلَهُ سَاكِنًا}
{Na lau angetaka Angeifanya imis'mame}


Na huo mwezi kusmamisha mbele ya juwa wakati ikipita imilekeana nae mpaka pindi ikifinika mwangaza wa juwa wakaona watu wa Makka na vitongoji vake Mwezi inafinika mwangaza wa Juwa,Alafu anathibitisha anakitisha kwa Amri yake kuwa na linakuwa,Na Ma'ana ya kauli yake Allah Ta3ala:
{ثُمَّ جَعَلْنَا الشَّمْسَ
عَلَيْهِ دَلِيلًا}
{Alafu tumilifanya Juwa kwake dalili}


,Kwakuwa Juwa limikashifu Mwezi kwa watu kwajili Juwa limipita mbele yake ikafinika mwangaza wake ikajulisha kwakupita Mwezi mbele ya Juwa,Alafu linakaa mbele ya Juwa mpaka ifinike kivuli Makka na vitongoji vake katika kufinikwa na kivuli mpaka atakapo Allah kwa ile muda,
{ثُمَّ قَبَضْنَاهُ إِلَيْنَا قَبْضًا يَسِيرً‌ا} .
{Alafu tumilishika kwetu kushika kidogo},
Na Hapo watainamisha Majabari mashingo zao na alhali wao ni wanyonge,





Na Billah enye Ma3ashara ya Waislamu vipi niwaeleze Mimi nawa nani na mumi'ni7harami'shia kujitambulisha kwa nafsi yangu, Na lau nigijitambulisha kwenu kwa nafsi yangu munge ni kadhibisha, Na ikiwa amiwa'ahidi kwa Adhabu mutasema tutangalia umisema ukweli Ama ni kati ya warongo,
Na Ajabu yangu sana kwa mambo yenu! Na kwani ina manufa gani imani ba'ada ya kuja Adhabu kawajili ya hivo anawajulisha utu wangu kati yenu Juwa na Mwezi ikiwa kweli katika wakweli, Na Al7hamdulillah yule alio ifanya jina langu habari yangu sina haja ya kujitambulisha, Na Allah ajazi hi muntada kwa kheri kuliko alio wajazi katika waja wake wema Na ikiwa mimi ni mrongo basi juyangu urongo huo.




Enye watu siwamuru ila yale alio wamiru Muhammad Mtume wa Allah-Sallah Allah Aleyhi wa Alihi wasalam-Na Mitume wote kutoka kwa Mola wao kuwa Mumwabudu Allah pekeyake hana mshirika na yeye huwenda mukafaulu, Na hamuamini wengi wenu kwa Mola wao ila mpaka mumshirikishe, Na mbona hamutaraji kwa Allah waqara na Amiwaumba atwara na akawafadhilisha kwa viumbe wengi Tafdhila, Na alikuwa Mtu kwa Mola wake ni mwenye kumpa mgongo Na Nawusia kwa kitabu cha Allah na Suna za Mtume Wa Allah ila ilio tafautiana na Alquran basi shikilieni Alquran na nani anao ukweli zaidi ya Allah kuzungumza? Na sina haja ya nusra yenu Allah ndio mwenye kuninusuru na atanidhihirisha hata kama watachukia mushrikina, Hakika Allah hakhalifu magano yake, Hakika Allah ni mwenye kutimiza Nuru Yake hata kama watachukia mushrikina,

وَيَمْكُرُونَ وَيَمْكُرُ اللَّهُ وَاللَّهُ خَيْرُ الْمَاكِرِينَ‏} [الأنفال: 30].
Allah Ta3ala Asema:{Na wanafanya vitimbi na Allah anawafanyia vitimbi na Allah ni mbora wa vitimbi}



Na nataraji kuwa iongezwe hi maelezo kwa yale yalio pita na mimi nimisafiri kwenda ubeduwini In Sha Allah, na tutakutana karibu kwa idhini ya Allah, Na tutasubiri ushahidi wa Juwa na Mwezi kwa Idhni ya Allah mwanzo wa ramadhani (1426) kizungu (2005) Katika mwaka wenu hu kwa Idhni yake Allah, Na wala musiseme wewe fulani bali tungoje Juwa Na Mwezi kwa Idhni ya Allah, Na wala si miujiza kujuwa wakati wa kusuf nyinyi mwajuwa wakati wa kusuf na khusuf kwa dakika na nukta lakini miujiza ni kusmama Mwezi katikati ya juwa na nyinyi mwangalia, Na ndio mutaona yale mutakao yaona na ni ya Allah amri kutoka mwanzo na badae, Na Allah kwa kila kitu anauwezo,
Na Salam Ju Ya Mwenye kufwata uongofu..


Ndugu yenu kwa Allah anae penda Mawali wa Allah Na khatim Makhalifa wa Allah wote "AlNasaer Li khatem Alnabiyin"mwenye kumnusuru alio khitimisha Unabi;


Nasser Muhammad Alyamani.




، والسلام على من اتّبع الهُدى..


أخوكم في الله المحب لأولياء الله وخاتم خلفاء الله أجمعين الناصر لخاتم النَّبيّين؛ ناصر محمد اليماني.
ــــــــــــــــــــــ


Read more: https://nasser-alyamani.org/showthread.php?2087