Nini Hio Msimamo Wa Yule Atakae Mfisha Allah Katika Ma Al'Anssar Kabla Kifo Cha Al'Imam Al'Mahdi Juu Yake Swala Na Salam



Bismillah Al'Rhman Al'Rahim, Na Salam Juu Ya Mitume, Na Al'Hamdulillah Rabilalamin, Na Salam Za Allah Juu Yenu..
Na Watakua Mfano Walio Lala Ba'ada Ya Kufa Na Kulala Kwao Ni Kama Mfano Wa Kulala Wale Walio Kufa Kabla Kutumilizwa Mitume Basi Wao Hawahisi Kwa Maisha Ba'ada Kufa Kwao Ni Kama Kwamba Walikua Wamelala, Na Hawakua Wana Habari Ya Kufufuliwa Kwajili Walikufa Kabla Kutumilizwa Mitume Wa Allah Kwa Vijiji Vao, Kwajili Ya Hivo Walisema Kwenye Siku Ya Kufufuliwa:
{قَالُوا يَا وَيْلَنَا مَن بَعَثَنَا مِن مَّرْقَدِنَا} صدق الله العظيم [يس:٥٢].
Allah Ta3ala Asema:{ Wakasema Olewtu Nani Alio Tufufua Kutoka Kwa Usingizi Wetu} Sadaqa Allah Al3adhim [Yasin:52].


Alafu Wakawajibu Wale Ambao Walio Kuweko Wakati Wa Kutumilizwa Mitume Wakasema:

{هَٰذَا مَا وَعَدَ الرَّحْمَٰنُ وَصَدَقَ الْمُرْسَلُونَ}
صدق الله العظيم [يس:٥٢].
{ Hi Ndio Alio Ahidi Al'Rahman Na Wakawa Wakweli Mitume} Sadaqa Allah Al3adhim [Yasin:52].


Ispokua Mimi Nawapigia Mfano Kwa Walio Lala Hawakuhisi Kitu Ba'Ada Kufa Kwao Kama Kwamba Wamelala, Na Kadhalika Wale Ambao Wameharamisha Juu Ya Nafsi Zao Janna Pepo Ma'Bustani Ya Mola Wao Mlezi Mpaka Awatimizie Neema Kuu "Al'Na3im'Al'A3dham" Kuliko Hio Basi Hatimai Allah Atawafanya Kama Walio Lala, Lakini Mimi Nataraji Kutoka Kwa Allah Kwamba Aongeze Umri Wenu Nyote Mpaka Itimu Kupatikane "Al'Na3im Al'A3dham" Neema Kuu, Na Kuweni Wakweli Kwa Allah Atawasadiki.


Na Salam Juu Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabilalamin..
Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani.








ما هو موقف الذي يتوفاه الله من الأنصار قبل وفاة الإمام المهدي عليه الصلاة والسلام؟


بسم الله الرحمن الرحيم، وسلامٌ على المُرسلين، والحمدُ لله ربّ العالمين، وسلام ُالله عليكم..
وسوف يكونون كمثل النائمين من بعد الموت ونومتهم كمثل نومة الذين ماتوا من قبل بعث الرسل فهم لم يشعروا بالحياة من بعد موتهم وكأنهم كانوا نائمين، ولم يكُن عندهم خبر عن البعث لأنهم ماتوا قبل مبعث رسل الله إلى قراهم، ولذلك قالوا في يوم البعث: {قَالُوا يَا وَيْلَنَا مَن بَعَثَنَا مِن مَّرْقَدِنَا} صدق الله العظيم [يس:٥٢].


ومن ثم ردّ عليهم الذي حضروا بعث الرُسل وقالوا: {هَٰذَا مَا وَعَدَ الرَّحْمَٰنُ وَصَدَقَ الْمُرْسَلُونَ} صدق الله العظيم [يس:٥٢].


وإنما أضرب لكم مثلاً للنائمين الذين لم يشعروا بشيء من بعد موتهم وكأنهم كانوا نائمين، وكذلك الذين حرّموا على أنفسهم جنّة ربّهم حتى يحقق لهم النعيم الأعظم منها حتماً سوف يجعلهم الله كالنائمين، ولكني أرجو من الله أن يُطيل أعماركم جميعاً حتى يتحقق النعيم الأعظم، وأصدُقوا الله يصدقكم.


وسلامٌ على المُرسلين، والحمدُ لله ربّ العالمين..
الإمام ناصر محمد اليماني.